Huyu mtoto alijifanya mjanja, pesa anataka mzigo anasema mpaka tuzoeane kwanza

Huyu mtoto alijifanya mjanja, pesa anataka mzigo anasema mpaka tuzoeane kwanza

Sema mwanangu una roho nzuri ukampa na buku 5 ya nauli. Mimi kuna mmoja nilimwita geto akasema hana nauli nikamtumia mpesa ile kapata tu muamala akaanza visingizio akanitumia sms wazazi wake ndo wamerudi kwaiyo hawezi kutoka. Mimi nikarudisha muhamala wangu then nikamjibu poa basi tufanye siku nyingine., alinipolomoshea makasiliko kibao
Umepata ajira tayari au bado?
 
Sema mwanangu una roho nzuri ukampa na buku 5 ya nauli. Mimi kuna mmoja nilimwita geto akasema hana nauli nikamtumia mpesa ile kapata tu muamala akaanza visingizio akanitumia sms wazazi wake ndo wamerudi kwaiyo hawezi kutoka. Mimi nikarudisha muhamala wangu then nikamjibu poa basi tufanye siku nyingine., alinipolomoshea makasiliko kibao
Ahahaha 😭😭😭😭
Umetisha
 
Back
Top Bottom