Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Huwezi kukaa eneo lile kama wewe si mgeni MaalumBy the way, lile eneo ndani ya bunge ni eneo la wageni wote wanaofika bungeni.
Sawa, lakini mbona kama ni zaidi ya tunayemfahamu?!Huyo ni Hajj Manara
Sawa, lakini mbona kama ni zaidi ya tunayemfahamu?!
Binafsi namfahamu kama mpiga kelele wa Yanga lakini anavyositiriwa na Mamlaka unahisi kabisa si mpiga kelele na huenda ni Monitor ๐Kwani nyie mnamfahamu vipi!?
Usijekuta hata hamumfahamu ila mnadhani mnamfahamu๐๐๐
Kolo unatema povuHana lolote huyo ni bwege tu hana lolote zaidi ya anatafuta sifa tu.
Tunajadili mtu again.View attachment 2361357
Huyu mtu mbona Mamlaka za nchi hii zinazo heshima kubwa kwake?
Yupo bungeni leo lakini unaweza kuona mara zote hukaa kwenye viti vya watu mashuhuli kabisa!
Ni nani huyu mtu kwenye siasa za Tanzania?!
Ana nguvu gani mtu huyu kwenye siasa zetu hapa Tanzania?!
Ingekuwa ni mtafuta sifa tungeona akipuuzwa.Hana lolote huyo ni bwege tu hana lolote zaidi ya anatafuta sifa tu.
Binafsi namfahamu kama mpiga kelele wa Yanga lakini anavyositiriwa na Mamlaka unahisi kabisa si mpiga kelele na huenda ni Monitor ๐
AminaWacha tujenge nchi Suzy
Uwe na wiki yenye baraka
He is nobody believe me, attention seeker tu.
Angekuwa mjanja asingeenda kulia nyumbani kwa Karia.