Huyu mtu ni nani hasa katika siasa za Tanzania?

Huyu mtu ni nani hasa katika siasa za Tanzania?

Binafsi namfahamu kama mpiga kelele wa Yanga lakini anavyositiriwa na Mamlaka unahisi kabisa si mpiga kelele na huenda ni Monitor 😆
Kwani kuna ajabu mtu kualikwa bungeni!?? Hata wewe kama unamshkaji mbunge mpigie hata simu leo mwambie akualike na wewe utakaa hapo kama yeye..By the way Manara alikuwa Mwenezi wilaya ya Ilala hadi hapo ni Cv kubwa tu inayomfanga deserve kuwa hapo na kutambulishwa
 
View attachment 2361357

Huyu mtu mbona Mamlaka za nchi hii zinazo heshima kubwa kwake?

Yupo bungeni leo lakini unaweza kuona mara zote hukaa kwenye viti vya watu mashuhuli kabisa!

Ni nani huyu mtu kwenye siasa za Tanzania?!

Ana nguvu gani mtu huyu kwenye siasa zetu hapa Tanzania?!
Bungeni kaenda pierre,kaenda poshy, kaenda mondi.....kwanini manara kwenda unaona ajabu
Na soon mandonga ataalikwa huko

Hilo ndiyo bunge lend

Ova
 
Back
Top Bottom