Huyu mtu ni nani hasa katika siasa za Tanzania?

Binafsi namfahamu kama mpiga kelele wa Yanga lakini anavyositiriwa na Mamlaka unahisi kabisa si mpiga kelele na huenda ni Monitor ๐Ÿ˜†
Kwani kuna ajabu mtu kualikwa bungeni!?? Hata wewe kama unamshkaji mbunge mpigie hata simu leo mwambie akualike na wewe utakaa hapo kama yeye..By the way Manara alikuwa Mwenezi wilaya ya Ilala hadi hapo ni Cv kubwa tu inayomfanga deserve kuwa hapo na kutambulishwa
 
Bungeni kaenda pierre,kaenda poshy, kaenda mondi.....kwanini manara kwenda unaona ajabu
Na soon mandonga ataalikwa huko

Hilo ndiyo bunge lend

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ