Huyu mtu ni zawadi ya kipekee kwa Tanzania, ambayo Mungu ametupa. tusimkwaze na harakati zake. tushikamane naye

Huyu mtu ni zawadi ya kipekee kwa Tanzania, ambayo Mungu ametupa. tusimkwaze na harakati zake. tushikamane naye

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Screenshot_20250102-205248.png
 
Kibaraka wa wazungu jichanganyeni
Ameuza kipandenchochote cha ardhi nchi hii? Bandari kauza yeye? Gesi yetu ya songosongo kauza yeye?! Migodi yote ya dhahabu na tanzanite kauza yeye?! Benki zetu za biashara? Loliondo, vitalu vyauwindsji? Hoteli za kitalii? Kwanini hao waliuza hizo rasimali zetu wasiitwe vibaraka Leo tumwite mtu ambaye anapigania uongozi ndani ya chama cha upinzani awe kibaraka,?
 
Back
Top Bottom