Huyu Mtumishi wa Mungu Dickson Cornel Kabigumila ameniamsha imani Upya, kweli Mungu yupo

Huyu Mtumishi wa Mungu Dickson Cornel Kabigumila ameniamsha imani Upya, kweli Mungu yupo

Huu ndiyo ukweli kwani alikuwa myahudi. Ni kama Adamu asivyomtambua mtume Muhammad kwani hajawahi kumuona na hakifahamu kitabu chake cha Quran.
Mradi Yesu si Mungu hakuna shida.

Adam hata wewe na mimi.

Naona lugha inakupiga chenga, adam siyo jina ni sifa.
 
Naona lugha inakupiga chenga, adam siyo jina ni sifa.
Adamu

mtu anayeaminika kuwa wa kwanza kuumbwa na Mwenyezi Mungu

Mradi Yesu si Mungu hakuna shida.
Mradi mtume alioa zaidi ya wanawake wanne hakuna shida! Hivi Mungu alisemaje kwani kuhusu idadi ya wanawake??

How Many Wives Did The Prophet Muhammad Have?​


In summary, the Prophet Muhammad PBUH had eleven wives.

 
Jamani huyu ni yeye mwenyewe anatafuta wateja wa kumpelekea laki laki.
Hivi mtu tangu uzaliwe mpaka ufike umri wa miaka 20+ eti wahubiri wote hujawahi kuwaelewa ila huyu. Aki expire anakuja mwingine unahemka.
Mtu afundishwe kusoma na kuandika shuleni halafu asome biblia kwa kiswahili halafu aje akwambie kajazwa upako akuhadithie vile vile bila kuongeza nukta wala kupunguza(mimic au immitation) .
Kwa nini hakuna wanaopata upako bila kujua kusoma kisha wapate ufunuo bila kuisoma hio biblia. Upako upo provided unajua kusoma biblia.
Kwa nini msiseme tu kuwa mtu kaisoma biblia hivyo kaikariri na anauwezo mkubwa wa kutema madini bila kubabaika.
kama computer programming au kitabu cha ushairi Jinsi unavyo soma code na kuzi chapa ndivyo unakuwa muandishi mzuri. Jinsi unavyosoma mashairi kwa wingi ndivyo unavyokariri na kupata uwezo wa kutunga mashairi. Hata mziki ndio hivyo hivyo.
Kama ni hivyo basi unabii upo kwenye kika kitu hata soka.
 
Mimi Bushdokta kwa muda mrefu sasa nimekuwa msomaji wa Biblia na kufatilia mafundisho ya Neno la Mungu na Ibada mabli mbali pamoja n harakati za injili.

Ktk kufanya hivyo ilifika mahali nikataka kukata tamaa. Kulikuwa na hofu kwamba huenda huyu Mungu anayehubiriwa ni Mungu Dhaifu asiyeweza vitu vya muhimu kwa Wanadamu na vinavyodhihirika.

Hii inatokana na kuibuka kwa matapeli wengi kwa jina la unabii na uinjilist kumbe ni nia yao tu ya kutimiza ndoto zao za kiuchumi na umaarufu.

Hata hivyo Usiku Huu nikiwa nasikiliza Redio Wapo FM redio yuko huyu Mtu anaiwa Dickson Cornel Kabigumila na sikuwa nimemjua jina.

Nimeanza kumsikiliza juzi kwa haraka haraka kichwa kika click kwanza. Nilisikia akifundisha neno la Mungu aliyehai.

Sasa leo amethibitisha kazi halisi za uwepo wa Mungu na nguvu zake

Amesema yeye na harakati zake za Uamsho zina lengo la kumthibitisha Yesu ktk maisha Halisi. To verify Jesus into Reality of life.

Mpango wa ibada zake zinashughulilia mambo kadhaa

1. Kuponya wagonjwa wale waliothibitishwa nahospitalini na amewataka waenda na ushahidi wa kidaktari au dawa wanazotumia au Shahidi awe rafiki, mzazi au muuguzi.

2. Kuwainua watumishi wa Mungu ambao huduma zao hazikui ili Mungu awape nguvu na wakawe mashuhuda wa kazi za Yesu.

3. Wale wenye shida za ndoa na mahusiano ya halali.

4. Wale ambao hawana shida yoyote lakini wanataka Mungu awatumia kuinua watu wengine.

Amewakaribisha wagonjwa wa Ukimwi, Kansa, Ulenavu, Pumu, vidonda vya tumbo, presha na kwamba siku hiyo ndio mwisho wa kumeza madawa na magonjwa yao pia.

Amesema hakuna mchango bali kuna Sadaka tu na mtu atatoa kadiri ya alivyojaliwa.

Amesema Ibada za Uamsho zinafanyika ktk Viwanja vya Sabasaba Temeke Jijini Dar Es Salaam Mchana Jumapili saa Nane ili watu wapatw fursa ya kuhudhuria baada ya kutoka kwenye Ibada ya makanisa yao

Ndani ya Muda kama Dakika 20 hivi tayari watu zaidi ya 200 wamejisajiri ktk Huduma hiyo wengi wao Wakitaja wana Maambukizi ya VVU. Kwa Takwimu zangu wanafika takribani 40%.
Mazee Ukimwi Upo tuwe makini😅😅.

Nilitamani kuhudhuria bahati mbaya siku hiyo Tare 27 nitakuwa safarini.

Lakini naamini kwa Nguvu za Mungu nitahudhuria by proxy na nitazipokea neema na uponyaji wa Mungu.

Pastor Dickson Cornel ni mbobevu ktk neno la Mungu.

Kila anachotaja anatoa reference ya Maandiko matakatifu ktk Biblia.

Ndugu zangu kama unachangamoto yoyote tafadhali hudhuria Ibada ya uamsho huyu ni Mtumishi wa Mungu, ni Elia wa nyakati zetu

Mimi Bushdokta kwa muda mrefu sasa nimekuwa msomaji wa Biblia na kufatilia mafundisho ya Neno la Mungu na Ibada mabli mbali pamoja n harakati za injili.

Ktk kufanya hivyo ilifika mahali nikataka kukata tamaa. Kulikuwa na hofu kwamba huenda huyu Mungu anayehubiriwa ni Mungu Dhaifu asiyeweza vitu vya muhimu kwa Wanadamu na vinavyodhihirika.

Hii inatokana na kuibuka kwa matapeli wengi kwa jina la unabii na uinjilist kumbe ni nia yao tu ya kutimiza ndoto zao za kiuchumi na umaarufu.

Hata hivyo Usiku Huu nikiwa nasikiliza Redio Wapo FM redio yuko huyu Mtu anaiwa Dickson Cornel Kabigumila na sikuwa nimemjua jina.

Nimeanza kumsikiliza juzi kwa haraka haraka kichwa kika click kwanza. Nilisikia akifundisha neno la Mungu aliyehai.

Sasa leo amethibitisha kazi halisi za uwepo wa Mungu na nguvu zake

Amesema yeye na harakati zake za Uamsho zina lengo la kumthibitisha Yesu ktk maisha Halisi. To verify Jesus into Reality of life.

Mpango wa ibada zake zinashughulilia mambo kadhaa

1. Kuponya wagonjwa wale waliothibitishwa nahospitalini na amewataka waenda na ushahidi wa kidaktari au dawa wanazotumia au Shahidi awe rafiki, mzazi au muuguzi.

2. Kuwainua watumishi wa Mungu ambao huduma zao hazikui ili Mungu awape nguvu na wakawe mashuhuda wa kazi za Yesu.

3. Wale wenye shida za ndoa na mahusiano ya halali.

4. Wale ambao hawana shida yoyote lakini wanataka Mungu awatumia kuinua watu wengine.

Amewakaribisha wagonjwa wa Ukimwi, Kansa, Ulenavu, Pumu, vidonda vya tumbo, presha na kwamba siku hiyo ndio mwisho wa kumeza madawa na magonjwa yao pia.

Amesema hakuna mchango bali kuna Sadaka tu na mtu atatoa kadiri ya alivyojaliwa.

Amesema Ibada za Uamsho zinafanyika ktk Viwanja vya Sabasaba Temeke Jijini Dar Es Salaam Mchana Jumapili saa Nane ili watu wapatw fursa ya kuhudhuria baada ya kutoka kwenye Ibada ya makanisa yao

Ndani ya Muda kama Dakika 20 hivi tayari watu zaidi ya 200 wamejisajiri ktk Huduma hiyo wengi wao Wakitaja wana Maambukizi ya VVU. Kwa Takwimu zangu wanafika takribani 40%.
Mazee Ukimwi Upo tuwe makini😅😅.

Nilitamani kuhudhuria bahati mbaya siku hiyo Tare 27 nitakuwa safarini.

Lakini naamini kwa Nguvu za Mungu nitahudhuria by proxy na nitazipokea neema na uponyaji wa Mungu.

Pastor Dickson Cornel ni mbobevu ktk neno la Mungu.

Kila anachotaja anatoa reference ya Maandiko matakatifu ktk Biblia.

Ndugu zangu kama unachangamoto yoyote tafadhali hudhuria Ibada ya uamsho huyu ni Mtumishi wa Mungu, ni Elia wa nyakati zetu.
Bila kuppesa
Mimi Bushdokta kwa muda mrefu sasa nimekuwa msomaji wa Biblia na kufatilia mafundisho ya Neno la Mungu na Ibada mabli mbali pamoja n harakati za injili.

Ktk kufanya hivyo ilifika mahali nikataka kukata tamaa. Kulikuwa na hofu kwamba huenda huyu Mungu anayehubiriwa ni Mungu Dhaifu asiyeweza vitu vya muhimu kwa Wanadamu na vinavyodhihirika.

Hii inatokana na kuibuka kwa matapeli wengi kwa jina la unabii na uinjilist kumbe ni nia yao tu ya kutimiza ndoto zao za kiuchumi na umaarufu.

Hata hivyo Usiku Huu nikiwa nasikiliza Redio Wapo FM redio yuko huyu Mtu anaiwa Dickson Cornel Kabigumila na sikuwa nimemjua jina.

Nimeanza kumsikiliza juzi kwa haraka haraka kichwa kika click kwanza. Nilisikia akifundisha neno la Mungu aliyehai.

Sasa leo amethibitisha kazi halisi za uwepo wa Mungu na nguvu zake

Amesema yeye na harakati zake za Uamsho zina lengo la kumthibitisha Yesu ktk maisha Halisi. To verify Jesus into Reality of life.

Mpango wa ibada zake zinashughulilia mambo kadhaa

1. Kuponya wagonjwa wale waliothibitishwa nahospitalini na amewataka waenda na ushahidi wa kidaktari au dawa wanazotumia au Shahidi awe rafiki, mzazi au muuguzi.

2. Kuwainua watumishi wa Mungu ambao huduma zao hazikui ili Mungu awape nguvu na wakawe mashuhuda wa kazi za Yesu.

3. Wale wenye shida za ndoa na mahusiano ya halali.

4. Wale ambao hawana shida yoyote lakini wanataka Mungu awatumia kuinua watu wengine.

Amewakaribisha wagonjwa wa Ukimwi, Kansa, Ulenavu, Pumu, vidonda vya tumbo, presha na kwamba siku hiyo ndio mwisho wa kumeza madawa na magonjwa yao pia.

Amesema hakuna mchango bali kuna Sadaka tu na mtu atatoa kadiri ya alivyojaliwa.

Amesema Ibada za Uamsho zinafanyika ktk Viwanja vya Sabasaba Temeke Jijini Dar Es Salaam Mchana Jumapili saa Nane ili watu wapatw fursa ya kuhudhuria baada ya kutoka kwenye Ibada ya makanisa yao

Ndani ya Muda kama Dakika 20 hivi tayari watu zaidi ya 200 wamejisajiri ktk Huduma hiyo wengi wao Wakitaja wana Maambukizi ya VVU. Kwa Takwimu zangu wanafika takribani 40%.
Mazee Ukimwi Upo tuwe makini😅😅.

Nilitamani kuhudhuria bahati mbaya siku hiyo Tare 27 nitakuwa safarini.

Lakini naamini kwa Nguvu za Mungu nitahudhuria by proxy na nitazipokea neema na uponyaji wa Mungu.

Pastor Dickson Cornel ni mbobevu ktk neno la Mungu.

Kila anachotaja anatoa reference ya Maandiko matakatifu ktk Biblia.

Ndugu zangu kama unachangamoto yoyote tafadhali hudhuria Ibada ya uamsho huyu ni Mtumishi wa Mungu, ni Elia wa nyakati zetu.
wewe umetumwa na huyo nanii ako uje kutafuta wafuasi humu,
yani mtu umemskia redioni hata hujaonana nae, tena hata kusanyiko lenyewe halifanyika tayari unaamini na unatuamisha eti ni nabii wa kweli mmmmh?
km kuna watu watakuamini basi nao ni wagonjwa pengine zaid yako
Hv nikuulize ni kipi umefanyiwa au ni mabadiliko yapi umeyashuhudia hadi kututaka na nasisi kumuamini huyo nanii wako?
 
Mimi Bushdokta kwa muda mrefu sasa nimekuwa msomaji wa Biblia na kufatilia mafundisho ya Neno la Mungu na Ibada mabli mbali pamoja n harakati za injili.

Ktk kufanya hivyo ilifika mahali nikataka kukata tamaa. Kulikuwa na hofu kwamba huenda huyu Mungu anayehubiriwa ni Mungu Dhaifu asiyeweza vitu vya muhimu kwa Wanadamu na vinavyodhihirika.

Hii inatokana na kuibuka kwa matapeli wengi kwa jina la unabii na uinjilist kumbe ni nia yao tu ya kutimiza ndoto zao za kiuchumi na umaarufu.

Hata hivyo Usiku Huu nikiwa nasikiliza Redio Wapo FM redio yuko huyu Mtu anaiwa Dickson Cornel Kabigumila na sikuwa nimemjua jina.

Nimeanza kumsikiliza juzi kwa haraka haraka kichwa kika click kwanza. Nilisikia akifundisha neno la Mungu aliyehai.

Sasa leo amethibitisha kazi halisi za uwepo wa Mungu na nguvu zake

Amesema yeye na harakati zake za Uamsho zina lengo la kumthibitisha Yesu ktk maisha Halisi. To verify Jesus into Reality of life.

Mpango wa ibada zake zinashughulilia mambo kadhaa

1. Kuponya wagonjwa wale waliothibitishwa nahospitalini na amewataka waenda na ushahidi wa kidaktari au dawa wanazotumia au Shahidi awe rafiki, mzazi au muuguzi.

2. Kuwainua watumishi wa Mungu ambao huduma zao hazikui ili Mungu awape nguvu na wakawe mashuhuda wa kazi za Yesu.

3. Wale wenye shida za ndoa na mahusiano ya halali.

4. Wale ambao hawana shida yoyote lakini wanataka Mungu awatumia kuinua watu wengine.

Amewakaribisha wagonjwa wa Ukimwi, Kansa, Ulenavu, Pumu, vidonda vya tumbo, presha na kwamba siku hiyo ndio mwisho wa kumeza madawa na magonjwa yao pia.

Amesema hakuna mchango bali kuna Sadaka tu na mtu atatoa kadiri ya alivyojaliwa.

Amesema Ibada za Uamsho zinafanyika ktk Viwanja vya Sabasaba Temeke Jijini Dar Es Salaam Mchana Jumapili saa Nane ili watu wapatw fursa ya kuhudhuria baada ya kutoka kwenye Ibada ya makanisa yao

Ndani ya Muda kama Dakika 20 hivi tayari watu zaidi ya 200 wamejisajiri ktk Huduma hiyo wengi wao Wakitaja wana Maambukizi ya VVU. Kwa Takwimu zangu wanafika takribani 40%.
Mazee Ukimwi Upo tuwe makini😅😅.

Nilitamani kuhudhuria bahati mbaya siku hiyo Tare 27 nitakuwa safarini.

Lakini naamini kwa Nguvu za Mungu nitahudhuria by proxy na nitazipokea neema na uponyaji wa Mungu.

Pastor Dickson Cornel ni mbobevu ktk neno la Mungu.

Kila anachotaja anatoa reference ya Maandiko matakatifu ktk Biblia.

Ndugu zangu kama unachangamoto yoyote tafadhali hudhuria Ibada ya uamsho huyu ni Mtumishi wa Mungu, ni Elia wa nyakati zetu.
Muhimu hapo jitahidi ukutane na Mungu mwenyewe aitwaye Yesu Kristo.

Huyo mtumishi ni WA kupita tu, lakini Yesu ni WA milele na milele.

Aamin
 
Bila kuppesa

wewe umetumwa na huyo nanii ako uje kutafuta wafuasi humu,
yani mtu umemskia redioni hata hujaonana nae, tena hata kusanyiko lenyewe halifanyika tayari unaamini na unatuamisha eti ni nabii wa kweli mmmmh?
km kuna watu watakuamini basi nao ni wagonjwa pengine zaid yako
Hv nikuulize ni kipi umefanyiwa au ni mabadiliko yapi umeyashuhudia hadi kututaka na nasisi kumuamini huyo nanii wako?
Imani ni kuwa na hakika ya mambo usiyoyaoni na ni Bayana ya mambo yatarajiwayo.
 
Jamani huyu ni yeye mwenyewe anatafuta wateja wa kumpelekea laki laki.
Hivi mtu tangu uzaliwe mpaka ufike umri wa miaka 20+ eti wahubiri wote hujawahi kuwaelewa ila huyu. Aki expire anakuja mwingine unahemka.
Mtu afundishwe kusoma na kuandika shuleni halafu asome biblia kwa kiswahili halafu aje akwambie kajazwa upako akuhadithie vile vile bila kuongeza nukta wala kupunguza(mimic au immitation) .
Kwa nini hakuna wanaopata upako bila kujua kusoma kisha wapate ufunuo bila kuisoma hio biblia. Upako upo provided unajua kusoma biblia.
Kwa nini msiseme tu kuwa mtu kaisoma biblia hivyo kaikariri na anauwezo mkubwa wa kutema madini bila kubabaika.
kama computer programming au kitabu cha ushairi Jinsi unavyo soma code na kuzi chapa ndivyo unakuwa muandishi mzuri. Jinsi unavyosoma mashairi kwa wingi ndivyo unavyokariri na kupata uwezo wa kutunga mashairi. Hata mziki ndio hivyo hivyo.
Kama ni hivyo basi unabii upo kwenye kika kitu hata soka.
Huhitaji kubishana......Nenda Saba saba kesho kwa imani moja utuletee mrejesho
 
Mimi Bushdokta kwa muda mrefu sasa nimekuwa msomaji wa Biblia na kufatilia mafundisho ya Neno la Mungu na Ibada mabli mbali pamoja n harakati za injili.

Ktk kufanya hivyo ilifika mahali nikataka kukata tamaa. Kulikuwa na hofu kwamba huenda huyu Mungu anayehubiriwa ni Mungu Dhaifu asiyeweza vitu vya muhimu kwa Wanadamu na vinavyodhihirika.

Hii inatokana na kuibuka kwa matapeli wengi kwa jina la unabii na uinjilist kumbe ni nia yao tu ya kutimiza ndoto zao za kiuchumi na umaarufu.

Hata hivyo Usiku Huu nikiwa nasikiliza Redio Wapo FM redio yuko huyu Mtu anaiwa Dickson Cornel Kabigumila na sikuwa nimemjua jina.

Nimeanza kumsikiliza juzi kwa haraka haraka kichwa kika click kwanza. Nilisikia akifundisha neno la Mungu aliyehai.

Sasa leo amethibitisha kazi halisi za uwepo wa Mungu na nguvu zake

Amesema yeye na harakati zake za Uamsho zina lengo la kumthibitisha Yesu ktk maisha Halisi. To verify Jesus into Reality of life.

Mpango wa ibada zake zinashughulilia mambo kadhaa

1. Kuponya wagonjwa wale waliothibitishwa nahospitalini na amewataka waenda na ushahidi wa kidaktari au dawa wanazotumia au Shahidi awe rafiki, mzazi au muuguzi.

2. Kuwainua watumishi wa Mungu ambao huduma zao hazikui ili Mungu awape nguvu na wakawe mashuhuda wa kazi za Yesu.

3. Wale wenye shida za ndoa na mahusiano ya halali.

4. Wale ambao hawana shida yoyote lakini wanataka Mungu awatumia kuinua watu wengine.

Amewakaribisha wagonjwa wa Ukimwi, Kansa, Ulenavu, Pumu, vidonda vya tumbo, presha na kwamba siku hiyo ndio mwisho wa kumeza madawa na magonjwa yao pia.

Amesema hakuna mchango bali kuna Sadaka tu na mtu atatoa kadiri ya alivyojaliwa.

Amesema Ibada za Uamsho zinafanyika ktk Viwanja vya Sabasaba Temeke Jijini Dar Es Salaam Mchana Jumapili saa Nane ili watu wapatw fursa ya kuhudhuria baada ya kutoka kwenye Ibada ya makanisa yao

Ndani ya Muda kama Dakika 20 hivi tayari watu zaidi ya 200 wamejisajiri ktk Huduma hiyo wengi wao Wakitaja wana Maambukizi ya VVU. Kwa Takwimu zangu wanafika takribani 40%.
Mazee Ukimwi Upo tuwe makini😅😅.

Nilitamani kuhudhuria bahati mbaya siku hiyo Tare 27 nitakuwa safarini.

Lakini naamini kwa Nguvu za Mungu nitahudhuria by proxy na nitazipokea neema na uponyaji wa Mungu.

Pastor Dickson Cornel ni mbobevu ktk neno la Mungu.

Kila anachotaja anatoa reference ya Maandiko matakatifu ktk Biblia.

Ndugu zangu kama unachangamoto yoyote tafadhali hudhuria Ibada ya uamsho huyu ni Mtumishi wa Mungu, ni Elia wa nyakati zetu.
LIPIA TANGAZO ALAFU NDIO TWENDE
 
Kuna mapori mengi yanahitaji watu, kwa nini tusilime tukawa tunawauzia Ulaya mahindi na ngano?

Tusiwakamue walala hoi kwa kile kidogo walichonacho kwa maigizo; tufanye kazi.

Maandiko; Yesu aliwalisha wafuasi wake mikate, ila nyakati hizi wafuasi ndio wanaotakiwa kuwalisha wahubiri mikate, hii haiko sawa kabisa; tufanye kazi inayozalisha, mapori ni mengi yanahitaji nguvu kazi.​
 
Back
Top Bottom