Huyu muhudumu wa kaunta ni kama ananimezea mate

Huyu muhudumu wa kaunta ni kama ananimezea mate

Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Hizo dalili za kuanza kulewa,we unavyofikiri kakupendea nini,au umekuwa handsome ghafla....
 
Haki ndio hali napitia sahivi ngoja niende tu maskani nisiuponzee, serious kabisa kaja mdada kauanika mbele yangu nmempotezea muda ila mdau kaniuliza mbona kama huyu dada wa kaunta kakuanikia Mkuu
Trust me broo we‘re in the same situation. Nilipanga kuondoka mapema ila naona nitachelewa kuondoka. Naomba na wewe usitoke hapo so we can share what‘s happening
 
Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Itakuwa ushaanza kulewa mkuu. Kama huwa unaendesha, ita mtu aendeshe akurudishe nyumbani.

Ova
 
Back
Top Bottom