Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Tutaangaliaga hapohapo namna ya kulichezesha !😅🤣 January Kuna ada
Kesho itajihangaikia 😂!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaangaliaga hapohapo namna ya kulichezesha !😅🤣 January Kuna ada
Mrejesho ukae Kule kweny kimasihara 🤣🤣🤣Kwa tulipofikia siwezi kumwacha
I miss youSUBIRINI MUONE
SUBIRINI MUONE
😅🤣Tutaangaliaga hapohapo namna ya kulichezesha !
Kesho itajihangaikia 😂!
Kaka nimeshakubali kwamba huu mtego siruki hapa nimemnong‘oneza unatumia kinywaji gani? Kasema nimpe redd‘s tano.Mrejesho ukae Kule kweny kimasihara 🤣🤣🤣
Wewe pombe zishaanza kukupanda kichwani Sasa una mmisije MWANAMUME??🤔🤔🤔I miss you
Hizo dalili za kuanza kulewa,we unavyofikiri kakupendea nini,au umekuwa handsome ghafla....Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Huyu mwamba pombe zishamjaa tayari eti anamiss wanaumeHizo dalili za kuanza kulewa,we unavyofikiri kakupendea nini,au umekuwa handsome ghafla....
Trust me broo we‘re in the same situation. Nilipanga kuondoka mapema ila naona nitachelewa kuondoka. Naomba na wewe usitoke hapo so we can share what‘s happeningHaki ndio hali napitia sahivi ngoja niende tu maskani nisiuponzee, serious kabisa kaja mdada kauanika mbele yangu nmempotezea muda ila mdau kaniuliza mbona kama huyu dada wa kaunta kakuanikia Mkuu
Itakuwa ushaanza kulewa mkuu. Kama huwa unaendesha, ita mtu aendeshe akurudishe nyumbani.Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
To you too broPoa kabisa. Merry Christmas!
Jilie mchumba huyoKwa tulipofikia siwezi kumwacha
Uwakika wew butua tu team fisi Kambi popoteKaka nimeshakubali kwamba huu mtego siruki hapa nimemnong‘oneza unatumia kinywaji gani? Kasema nimpe redd‘s tano.
Nimeona kama id ya kike ila sorry we‘re togather broo iWewe pombe zishaanza kukupanda kichwani Sasa una mmisije MWANAMUME??🤔🤔🤔