Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Cc. min -me , wasituharibie taswira njema kabisaaa.Ndiomaana nasema.....
Wasio iweza pombe, waache kuliko kutuharibia taswira njema hapa ndaniš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc. min -me , wasituharibie taswira njema kabisaaa.Ndiomaana nasema.....
Wasio iweza pombe, waache kuliko kutuharibia taswira njema hapa ndaniš
hilo kundi ndio linahitaji kufungiwa novena ya maombi fikiria mtu anakula kitu hakileti chooWavuta sigara wote ni mataahira quoted from ney wa mitego , dar es salaam, Tanzania.
Mimi hu staajabu na kushangaa wavuta sigaraaa yaan sijui huwazaga ninihilo kundi ndio linahitaji kufungiwa novena ya maombi fikiria mtu anakula kitu hakileti choo
Kuacha hawaweziNdiomaana nasema.....
Wasio iweza pombe, waache kuliko kutuharibia taswira njema hapa ndaniš
Vuta fegi wewe huna muda wa kutukana mtu mlevi akilewa atatukana mtaa mzima mpaka baba yake mzazi anaweza akamnyea usichezee pombeWavuta sigara wote ni mataahira quoted from ney wa mitego , dar es salaam, Tanzania.
ā¤ļøā¤ļøā¤ļøšmerry Christmas lovesweery merry Christmas š mpenzii
Kibiriti chanini kama una vuta sigara acha mara moja huo ni utoto na upumbavu ...kutumia sigara ni upumbavu mkubwa sana bora kunywa pombeNimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
kama huvuti kaa pembeni usitukere tunaovuta wewe mwenyewe ni mpumbavu tu fala kabisa shwainKibiriti chanini kama una vuta sigara acha mara moja huo ni utoto na upumbavu ...kutumia sigara ni upumbavu mkubwa sana bora kunywa pombe
Nilikula yule manzi kaondoka kwangu leo saa sita mchana kachezea miti sio kitotoBosi utakuwa umelewa kapumzije
Nawewe si umezee mate ili mwende sawa?Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Manzi aliliwa vilivyo kandoka kwangu saa sita mchanaMtego huo..... shauri yako
Nilimtafuna kaondoka kwangu saa sita mchana leo hiiMrejesho au ndio ulizima?
Labda kwake hakuna na hawezi kukwambia kama mwenza wake hakuna kitu, nikula na kushiba kisha kutoa cabon tu,Manzi aliliwa vilivyo kandoka kwangu saa sita mchana
Mbona nimejibu hapo juu manzi nilimkamua kaondoka kwangu mchana wa leoKwahiyo mkuu, baada ya huu uzi jana ulimla? Au ulileta chai huku
Saaaafi kabisaMbona nimejibu hapo juu manzi nilimkamua kaondoka kwangu mchana wa leo
Mwaka umeumaliza vyema kabisaNilimtafuna kaondoka kwangu saa sita mchana leo hii