Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa mbinu kali za pori hizi ,mimi mwenyewe nilifundishwa na mpuuzi mhuni mmoja hivi 😁😁😁Una akili kama zangu ndo mambo yangu hayo kuna kaunta nishawahi kumpiga mashine ofisini kwake hapo hapo. Alafanya tu kufunga milango kwa ndani ili kwa nje paonekane pamefungwa kumbe ndani mtu kainamishwa kwenye sofa la humo ndani huku mziki wa blues unapiga mdogo mdogo. It was so fantastic. Yule manzi ananipendaga mpaka leo.
Anajaribu kutest kuona kama umeshakolea, ili akubambikie bili ya vinywaji.Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Mimi nipo bado sana hapa, uzuri ni club ya karibu na maskani. Nataka kuona mwisho wa haya mamboTrust me broo we‘re in the same situation. Nilipanga kuondoka mapema ila naona nitachelewa kuondoka. Naomba na wewe usitoke hapo so we can share what‘s happening
Mtego huo..... shauri yakoNimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Uzi tayari...!!!Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
😂 dah noma sana siri imefichukawalevi wajinga sana kumbe wao ndio wanakunya usiku huku mabarabarani alafu wanasingizia ni vichaa asubui
Valuer ni nomaValeur izo zimepanda kichwani unasema counter anakumezea mate kumbe anakushangaa jinsi ulivyo umemeza chupa mzima na kinusu na fegi juu uyo dada anakuchora tuuu any way valeur haijawai kukuacha mtu salama punguza ulevi ndugu
Kunywa pombe achana na misigara.Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
kuelekea mwisho wa mwaka nimewafuma kama watatu ivi..hawa jamaa wabadilike mambo walevi wanayafanya wakiwa wamelewa ni matando ya aibu wallah😂 dah noma sana siri imefichuka
Hapo kashaunguza maini na kuharibu figo angalau 78%Unapiga valuer kubwa unaimaliza na unaongeza tena
Valuer ni kali mno
Ujumbe wao wameupata mwakilishi wao Ushimen atafikisha kwenye vikao vyao.kuelekea mwisho wa mwaka nimewafuma kama watatu ivi..hawa jamaa wabadilike mambo walevi wanayafanya wakiwa wamelewa ni matando ya aibu wallah
Wavuta sigara wote ni mataahira quoted from ney wa mitego , dar es salaam, Tanzania.Bora avute fegi ila asinywe pombe au sio?