Huyu muhudumu wa kaunta ni kama ananimezea mate

Huyu muhudumu wa kaunta ni kama ananimezea mate

Una akili kama zangu ndo mambo yangu hayo kuna kaunta nishawahi kumpiga mashine ofisini kwake hapo hapo. Alafanya tu kufunga milango kwa ndani ili kwa nje paonekane pamefungwa kumbe ndani mtu kainamishwa kwenye sofa la humo ndani huku mziki wa blues unapiga mdogo mdogo. It was so fantastic. Yule manzi ananipendaga mpaka leo.
Hahaaaa mbinu kali za pori hizi ,mimi mwenyewe nilifundishwa na mpuuzi mhuni mmoja hivi 😁😁😁
 
Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Anajaribu kutest kuona kama umeshakolea, ili akubambikie bili ya vinywaji.

Ukishaanza kutabasamu hovyo tu kama kichaa hapo tayari anajua ushakolea
 
Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Mtego huo..... shauri yako
 
Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Uzi tayari...!!!
 
Valeur izo zimepanda kichwani unasema counter anakumezea mate kumbe anakushangaa jinsi ulivyo umemeza chupa mzima na kinusu na fegi juu uyo dada anakuchora tuuu any way valeur haijawai kukuacha mtu salama punguza ulevi ndugu
 
Valeur izo zimepanda kichwani unasema counter anakumezea mate kumbe anakushangaa jinsi ulivyo umemeza chupa mzima na kinusu na fegi juu uyo dada anakuchora tuuu any way valeur haijawai kukuacha mtu salama punguza ulevi ndugu
Valuer ni noma
Yaani ni nusu sumu
Ina hangover mbaya mno
 
Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
Kunywa pombe achana na misigara.

Wanasayansi wanasema wavuta sigara ni watu wenye uwezo mdogo sana wa akili.
 
Back
Top Bottom