Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Video Vixen aliyetumia fursa vizuri , hawa maslay queen wanakuwa waongo sana ,hivi kwa akili ya kawaida binti kama huyo below 30s amiliki mijengo ya maana mitatu kwa nguvu zake? Naye Basilisa EATV anaingia kichwa kichwa kumpa airtime na kupotosha umma.

Binti anawezeshwa na Aposto halafu wanakuja kuwapa pressure mabinti wanaohustle kwa nguvu zao kitaani.

Ndiyo maana mimi hawa wanaojiita manabii sijui mitume huwa siwaamini 100% ,wengi ni matapeli na wapigaji ,hivi mtu kama Gwajima ,Mwamposa,Mzee wa upako,mwingira unaenda kabisa kumpa sadaka zako?

-Gwajima Mkono wa baunsa akimla Kondoo
-Mwamposa aliacha mke ,anazaa na wadangaji -video vixen
-Mzee wa Upako - Mlevi wa Konyagi ,anatukana hovyo hovyo
-Mwingira amezaa na mke wa mtu.
Walishaambiwa watawatambua kwa matendo yao.

Ila watu hawaelewi
 
Nimeangalia kipindi cha Ujenzi EATV nikamuona dada mdogo kiumri akiwa tayari kashajenga nyumba tatu Kubwa jijini Dar.

Anadai yeye huwa hapendi sana starehe ila starehe yake ni kujenga nyumba nzurinzuri. Kisa cha kuja hapa ni umri wake na vitu anavyomiliki.

Bahati mbaya Mtangazaji wa kipindi hicho cha ujenzi Basilisa John hakumuuliza siri ya mafanikio yake ili wanawake wengine wajitume pia. Hakuulizwa jina pia, zaidi ni kuonesha tu mijengo yake.

Japo Sina uhakika, Anaonekana hajaolewa. Aaaaaaaaaahhhhhhh
Hizo ni porojo tu kwani unadhani wote waliojenga hawafanyi starehe,unakumbuka wale jamaa wa biashara ya vibubu? kumbe nyuma ya pazia ni wauza sembe, bahati mbaya waandishi wa habari wetu ni kama vihiyo shida yake yeye ahoji mashwali ya kishikaji apewe bahasha aondoke, hakuna kudadisi kuhusu kipato na chanzo cha mapato. Usijeshangaa hizo nyumba ni za jamaa yupo pembeni.
 
IMG_4591.jpg
 
Huyu binti kazi kubwa iliyokuwa inampa kula hapa town ni massage. Sasa jifikirie mwanamke ameanza kufanya kazi kwenye massage masaki ya miriam na wazungu wageni wanavyopenda kurahisisha huwa wanaenda massage shops baadae na yeye akaanzisha massage parlour zake zinaitwa Milano kule msasani na mikocheni na ndiko alikomnasa mchunga kondoo wa bwana bulldozer alikuwa mteja wake uteja ukawa uteja kweli, mtumishi akajaza na mimba kabisa na nyumba akamjengea mwanae anaitwa zuriii.

Huyo demu ni malaya hamna kitu hapo.
 
Huyu binti kazi kubwa iliyokuwa inampa kula hapa town ni massage. Sasa jifikirie mwanamke ameanza kufanya kazi kwenye massage masaki ya miriam na wazungu wageni wanavyopenda kurahisisha huwa wanaenda massage shops baadae na yeye akaanzisha massage parlour zake zinaitwa Milano kule msasani na mikocheni na ndiko alikomnasa mchunga kondoo wa bwana bulldozer alikuwa mteja wake uteja ukawa uteja kweli, mtumishi akajaza na mimba kabisa na nyumba akamjengea mwanae anaitwa zuriii.

Huyo demu ni malaya hamna kitu hapo.
Wana mnazidi tu kuanika mapya
 
Namheshimu Mwakasege sijawahi skia skendo yake Ht Moja sijuii anafanyia wapiiii na ntashangaaa mnooo
Anawala sio poa
Mwakasege ni mwalimu wa dini,yeye sio manabii matapeli hawa,anasali kkkt mjini kati arusha.
Hana kanisa lake kama hao matapeli
 
Back
Top Bottom