Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Walishaambiwa watawatambua kwa matendo yao.

Ila watu hawaelewi
 
Hizo ni porojo tu kwani unadhani wote waliojenga hawafanyi starehe,unakumbuka wale jamaa wa biashara ya vibubu? kumbe nyuma ya pazia ni wauza sembe, bahati mbaya waandishi wa habari wetu ni kama vihiyo shida yake yeye ahoji mashwali ya kishikaji apewe bahasha aondoke, hakuna kudadisi kuhusu kipato na chanzo cha mapato. Usijeshangaa hizo nyumba ni za jamaa yupo pembeni.
 
Huyu binti kazi kubwa iliyokuwa inampa kula hapa town ni massage. Sasa jifikirie mwanamke ameanza kufanya kazi kwenye massage masaki ya miriam na wazungu wageni wanavyopenda kurahisisha huwa wanaenda massage shops baadae na yeye akaanzisha massage parlour zake zinaitwa Milano kule msasani na mikocheni na ndiko alikomnasa mchunga kondoo wa bwana bulldozer alikuwa mteja wake uteja ukawa uteja kweli, mtumishi akajaza na mimba kabisa na nyumba akamjengea mwanae anaitwa zuriii.

Huyo demu ni malaya hamna kitu hapo.
 
Wana mnazidi tu kuanika mapya
 
Namheshimu Mwakasege sijawahi skia skendo yake Ht Moja sijuii anafanyia wapiiii na ntashangaaa mnooo
Anawala sio poa
Mwakasege ni mwalimu wa dini,yeye sio manabii matapeli hawa,anasali kkkt mjini kati arusha.
Hana kanisa lake kama hao matapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…