Huyu mwanadada member wa JF napenda sana tabia yake

Huyu mwanadada member wa JF napenda sana tabia yake

Mimi matusi hapana, napenda ke mkali, kamsimamo flani. Mwenye kuhoji hoji, sipendi ke wa kuitikia ndioo tu huwezi kuendelea. Mke/ mpenzi ni zaidi ya kujamiana ujue...ni msaidizi na msaidizi lazima awe na haiba flani inayoendana na mimi
Vipi ingetokea mara paaaaaaaaaaaap! Mange Kimambi ndio mwenzi wako
 
Ni kweli nimebadilika hata mimi najishangaa. Sijui ni huu utu uzima au ni huu ulokole ninao utamani.
Yaani jukwaa la wakubwa nalipita kama silioni vile, halafu silipendi linanikera mno.
Mods please niondoeni jukwaa la wa kubwa.
.
.
This is so serious!
Cc : Mods
Aisee kumbe unajijua ahsante kwa hilo.
Hutaamini ila nipo makini na wewe
 
Back
Top Bottom