Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Akiwa Ndio yule kuna kosa gani?

Kawaida sana bwashee wengine wanauza madafu wengine wanauza Siasa huko Ufipani πŸ˜‚
Hakuna kosa. Ila nadhani hatuelewani au umeamua kutonielewa.

Ninachosema Mimi, hao ni watu wawili tofauti. Haijalishi yule kuuza dafu Ile ni cover au uhalisia.
 
acha umbeaπŸ˜‚
Acha basiiiii mi nataka nijue kama ni huku ngerengere nikaombe pale mahojiano nae
Kuna vitu anavyo nimemuelewa kwakweli 🀣🀣🀣
 
Hata huyo jamaa aliyevaa jezi ya NMB sio raia huyo ni askari kabisa, angalia mwili ulivyokakamaa, Kisha angalia huo unyoaji wake wa ndevu.
 
Looks like watu wawili tofauti kisura. 😎

-Kaveli-
 
Acha basiiiii mi nataka nijue kama ni huku ngerengere nikaombe pale mahojiano nae
Kuna vitu anavyo nimemuelewa kwakweli 🀣🀣🀣
kama kawaida ni tall kiasi, mweusi , mshahara mnono nyota 3 c mchezoπŸ˜‚
 
Hadi jumatatu,.ayo TV itamtafuta huyu muuza madafu na huyu captain ili utata uishe..may be ni ndugu yke japo hata huyu muuza madafu nae ni kitengo..
 
H
Hapo ndio nimeona upuuzi
 
Daaah ukisikia viongozi kutugeuza sisi mataahira basi ndo hii sasa, Hii ni kutudharau kulikon pita kiasi. haikubaliki hii kudadeki zao.
 
Wengi tulishaona hao jamaa wote wawili walionekana kuwa wakakamavu kuliko wauza madafu wa kawaida huku wakiwa na haiba ya watu ambao wako very alert.Kwa watu wamedani ukiwatazama tu unaona kabisa kwamba ni watu ambao ni PSU.

Any way ni sehemu ya majukumu yao.
 
Yaani hata wewe ulitegemea muuza madafu kama Mimi nijiendee Ikulu kumuuzia the First Citizen madafu? Kuna behind the scenes nyingi tu mnapaswa kujiongeza!
Siasa ni Sanaa!
Ikulu wanaingia watu wangapi? Kila anayeingia ni mwanausalama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…