Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kwamba kwa chini ya Mwezi mmoja awe tayari kapata nyota 3 za u-Liutenant?au jamaa alipewa kitengo baada ya kuuza madafu matamu pale ikulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kwa chini ya Mwezi mmoja awe tayari kapata nyota 3 za u-Liutenant?au jamaa alipewa kitengo baada ya kuuza madafu matamu pale ikulu
Halafu mbona alikawia sana kufungua kamba pindi alipotua chini kutoka kwenye Chopa. Kama ingekuwa ndio kwenye battle mbona ni rahisi kutunguliwa na aduiKijana anaonekana ni mwenye ukakamavu wa Hali ya juu Sana.
Au Mimi macho yangu ndio mabovu Wakuu?
View attachment 2974806View attachment 2974808View attachment 2974809View attachment 2974810
Tatizo maigizo yako wazi sana.Kila sehemu maigizo tu[emoji2][emoji2]
3 star siku hizi ni Lieutenant?Kwamba kwa chini ya Mwezi mmoja awe tayari kapata nyota 3 za u-Liutenant?
Acha Unaa DogoNimefanya uchunguzi baada ya kuona uzushi unaenezwa sana na watu bila kufanya uchunguzi.
Ili ujifunze kitu inabidi ukosee ili uoneshwe usahihi. Twende kazi3 star siku hizi ni Lieutenant?
Lazima ujichetue kidogo.Kwa kweli huwa nashangaa sana kuona kuba watu wanapoteza mda kumfollow na kamsikiliza, hasa magentlemen
Inawezkana wawili tofauti ila picha zina angle tofauti.Tujipe muda Captain ataenda waoige picha wakiwa 2 ...tutaishia kubishia hizo picha again....
Naunga mkono hojaSuala la Ulinzi wa Nchi hii uko very complicated.
Miaka ya zamani ilikuwa wanatumiwa watu wenye kuonekana kama machizi Mtaani
Ikaja Kwa Walimu
Na sasa wamehamia kwenye Boda Boda na Wauza madafu hapo Mtaani kwako
Ushawahi kuona popote pale serikali inafanya jambo kwa ajili ya wananchi wake, alafu inaweka bango likisema "Ili jambo limefanyika kwa msaada wa serikali ya awamu fulani?"Uliwahi kuona Komandoo anahutubia Uwanjani?! 🐼
Komando anaweza kuuza madafu, na muuza madafu anaweza kuwa komando.Kwa Akili zako Komandoo hawezi kuuza madafu au Muuza madafu Ndio hawezi kuwa Komandoo? 🐼
Muda ni mwalim mkuu.....Inawezkana wawili tofauti ila picha zina angle tofauti.
Kesho jumapili ilitakiwa kuwe na tukio. Ngoja tuoneKama ni yeye 3 stars captain then full bawa na hio age yake basi jamaa yupo vizuri
UPSTAIRS
PHYSICAL
MEDANI
WHAT IF TUMEONYESHWA TENA ILI TUANZE KUMJADILI YEYE?
hakika watu 2 tofautiKomando anaweza kuuza madafu, na muuza madafu anaweza kuwa komando.
Ila ninachokataa Mimi ni kusema huyo komando ndio yule kuuza dafu. Ilo nakataa
Mkuu…huyo ni yuleyuleKomando anaweza kuuza madafu, na muuza madafu anaweza kuwa komando.
Ila ninachokataa Mimi ni kusema huyo komando ndio yule kuuza dafu. Ilo nakataa
Watu hawataki kuumiza akiliHakika ni whakika watu 2 tofauti
Akiwa Ndio yule kuna kosa gani?Komando anaweza kuuza madafu, na muuza madafu anaweza kuwa komando.
Ila ninachokataa Mimi ni kusema huyo komando ndio yule kuuza dafu. Ilo nakataa