Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ulshapata akili? Siku za nyuma ulikuwa jingajingaSasa si ujibu tu hayo maswali niliyokuuliza!
🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] pia nimenunua bodaboda kwa biashara yangu ya madafu,niliyouza ikulu
mim naona haina maana ata ya kumjadili badala nchi iongeze kasi ya kuwekeza kweny Technological intelligence na kuboresha Cyber Security huko tumenganana sjui anauza madafu sjui mwenyewe kama Starlink zinashika bila ata kikwazo.Na TCRA wamezuia kuna usalama gani apo watu kama wana nia mbaya si wana collect information zenu vizuri tu na miji kama DSM si wafanye kama walivofanya Posta Piga Advancement CCTV kamera mji mzima pia tuwekeze kweny reconnaisse satellite aya mambo ya kutumia wauza mapanga sjui madafu ni mbinu za kale izoHIyo habari imeshachakaa sasa leteni nyingine.
Sasa JeAkina Dotto Biteko?
Mwenzio alianza na dafu 200NILIANZA KWA KUUZA MADAFU SITA SASA NI KOMANDOO WA JESHI
Kila akiulizwa hili swali anapotezea, lkn siku yaja ukweli utajulikana tu,Sawa.Lakini,Ben Saanane yuko wapi?
Kahojiwa leo😄😄Kuondoa ulakini wakutanishwe! Japo hilo mmsahau...
Huyo anayehojiwa lazima ni wa mchongo.Kahojiwa leo[emoji1][emoji1]
Naaam mi nilijaribu kumuuliza ndiyo alikuja na majibu hayo. Nimependa sana hoja yako kama askari wa kawaida tu ndiyo anapewa basics za hand to hand combat yani tena askari wa SF apewe basics za mapigano?Sikuzungumza kulinganisha fighting skills za Special forces na MMA.. Nilichokataa ni kusema Special Forces wanapewa basic. Hiyo research ya wapi bro. Mwanajeshi wa kawaida atapewa nini pia kama special Forces akipewa Basics?. Wanaweza wasiwe bora wote inategemea pia na kichwa chako katika mapokeo ya skills. Lakini msipende kuleta hoja za kudanganya watu humu ndani.. Achana na mtu anayeitwa Special Forces.
Yani unataka kuniambia askari aliye kozi ya awali kabisa ya mafunzo ya kivita ile sanaa yake haina utofauti wowote na kwa mtu anayekuja kufanya kozi ya CDO?Special forces hawana advanced skills za mixed martial arts.
Mixed martial arts kwenye special forces ni supplemental tu.
Sijawahi kuona advanced training [ya hand to hand combat] ile kwa special forces.
Hakuna tofauti yoyote ya mixed martial arts training wanayopata special forces na vikosi vingine vya kawaida.
Ni Chanel ya comedyhiii nchi ina maigizo sana aise
Tatizo la Tanzania ni kuwa utaalam uko nyuma na siasa iko mbele. Kwetu, mwanasiasa ndiye mtaalam wa kila jambo na ndiye anayepanga. Nchi za wenzetu, wataalam ndiyo hutoa miongozo ya mambo yote muhimu. Waziri anaweza kuwa mtu yeyote mwenye weledi na elimu nzuri mradi tu awe na wataalam.Tushukuru Kwa tulichonacho hata sasa..Kulinda nchi na mipaka ni zaidi ya Silaha pia mbinu Za Kibona Damu..Uzalendo unaoonyeshwa na majeshi yetu ktk level mbalimbali si jambo la kubezwa Bali kutukuzwa..
Tunahitaji uwekezaji mkubwa ktk teknolojia na kuongezwa upya Kwa vitengo vya kimkakati Kwa kuzingatia matakwa ya dunia ya leo..
Mathalani jeshi letu lapaswa kuwa na vitengo vya Information Support Force, the Aerospace Force and the Cyberspace Force.Vitengo hivi vihusishe uwekezaji wa kiteknolojia Za Kisasa yanayohusisha AI,Robotics instruments and cybersecurity systems.
Ni wakati sasa baadhi ya nafasi Za uongozi ikiwamo Uwaziri,Unaibu Waziri na Ukatibu mkuu ktk Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa,Mambo ya ndani wapewe wanajeshi wastaafu Kwa ngazi ya Ujenerali (Generals)..Hili litaimarisha sana weredi na ustawi wa usimamiaji uzalendo Kwa maslahi ya taifa letu.