Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
uhalisia ni kitu muhimu mwisho wa siku kwa mtindo huu kila kifanyikacho kitaonekana ni maigizo na kukosa mashiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao tiss wa kawaida mtu anasoma hand to hand fighting miaka mitano,itakua special forces!!..hapo kasoma nje miaka mitano achilia mbali ile miaka miwili ya tissBasic training ni kwenye hand to hand combat.
Hawana skills za kuweza kulinganisha na amateur fighters wala professional fighters.
Ni wapi hao special forces huwa wanapigana kikweli kweli? Ni kwenye mashindano gani?
Halafu unadhani ni nani huwa anawapa hao special forces hizo hand to hand training?
Au wewe niambie ni training gani ya hand to hand combat ambayo special forces wanapata ambayo wanajeshi wengine hawapati?
Achana nae huyoSikuzungumza kulinganisha fighting skills za Special forces na MMA.. Nilichokataa ni kusema Special Forces wanapewa basic. Hiyo research ya wapi bro. Mwanajeshi wa kawaida atapewa nini pia kama special Forces akipewa Basics?. Wanaweza wasiwe bora wote inategemea pia na kichwa chako katika mapokeo ya skills. Lakini msipende kuleta hoja za kudanganya watu humu ndani.. Achana na mtu anayeitwa Special Forces
Kwahiyo unataka waje kupigana mbele yako ndio ujue kwamba wana hizo skills. Special Forces sio athletes wanaweza kudisplay uwezo wao public. Ni pale anapokuwa kwenye majukumu mama. Pengine huna hata uelewa maana ya Special Forces ndio maana unataka kuleta usambamba wa special Forces na Mwanajeshi wa kawaida
Tatizo lipo kwenye vyombo vyetu vya habari havifiatilii haviandiki habari kamili. Sasa inawezekana pia NIT ambapo tuliambiwa muuza madafu anasoma hakuna mwanaJF chuo kizima? Au anayesoma nae darasa moja?Hata huyo mwingine sura zinaonyesha sio wauza madafu for real
Sasa si ukomado ni kazi ya ziada?
Yeye kazi yake ya msingi ni kuuza madafu.
Special forces hawana advanced skills za mixed martial arts.Sikuzungumza kulinganisha fighting skills za Special forces na MMA.. Nilichokataa ni kusema Special Forces wanapewa basic. Hiyo research ya wapi bro. Mwanajeshi wa kawaida atapewa nini pia kama special Forces akipewa Basics?. Wanaweza wasiwe bora wote inategemea pia na kichwa chako katika mapokeo ya skills. Lakini msipende kuleta hoja za kudanganya watu humu ndani.. Achana na mtu anayeitwa Special Forces
Kwahiyo unataka waje kupigana mbele yako ndio ujue kwamba wana hizo skills. Special Forces sio athletes wanaweza kudisplay uwezo wao public. Ni pale anapokuwa kwenye majukumu mama. Pengine huna hata uelewa maana ya Special Forces ndio maana unataka kuleta usambamba wa special Forces na Mwanajeshi wa kawaida
Mkuu Gentamicine tatizo siyo ambavyo umeliweka ila tusiyo na uelewa wa masuala ya usalama tulionyesha kutokuamini kama muuza madafu wa ikulu ni kapuku wa mtaani. Ila wengi huku labda na wewe ukiwemo ukatuhakikishia yule ni muuza madafu kweli.Kuna vitu vingine sometimes ni vya Kitoto na huwa tunapotezeana tu muda Kuvijadili hapa Jukwaani. Hivi kabisa kuna Mtanzania ambaye aliamini kuwa wale Wauza Madafu ni Wauza Madafu kweli na siyo Watu wa Mfumo na Medani za Kivita? Kwahiyo sasa mnavyomshangaa huyo sijui Muuza Madafu hayo mliyemuona kwaniyo labda nyie mnaomshangaa huyo Jamaa mlitaka Rais alindwe na nani labda ili mridhike?
Ni mara ngapi hapa JamiiForums Wabobezi na haya Masuala huwa wanawapeni Elimu Kubwa juu ya Masuala mazima ya Ulinzi wa Viongozi / Marais? Yaani kabisa kwa jinsi Watanzania sasa Walivyochanganyikiwa na Maisha magumu kweli Idara ya TISS kupitia PSU iachie tu Watu wa Kawaida na hata Wasiowajua wamsogelee Rais wa nchi ili pengine wazimalizie Hasira zao Kwake?
Mlioelewa huyu jirani ni yupikiufupi hapo Jirani panafuka Moshi na zipo taarifa amabazo sio rasmi Tz wanataka chomoa better
Kwa hili tunakosea sana sababu watu Hawa ni muhimu sana Tena Sana kwa taifa letu. Baada ya pale kwenye madafu Basi. Wasingemuweka kwenye maonyesho haya na mpaka anahutubia sidhani Kama ni sawa maana watu walishamuona kwenye madafu na magazetini aliandikwa na picha na mahojiano. Kiusalama na kwa usiri wa idara yetu ya ujasusi angeishia pale tu kwenye madafu. Ili aendelee kutumikia idara bila kujulikana.
Kikachero wapi wanashindwa kuwadhibiti wakimbizi wanaingia mpka kwenye ma vyeo makubwa Serikalini na Utumishi wa Umma Halafu wanaleta Telemundo za Kifilipino na MUUZA NAZI😂😂 Ndo mana Ba hima Empire wanatuona kiusalama na kiinjelijensia weupee peee labda kijeshiNchi imekaa kikachero Sana Hii😊
Yani wewe kuhusishwa na mauwaji ndio ukajiaminisha kila mtu ni mjinga hapa JF?Awali ya yote wanakidoni Binafsi Huwa hatupendi kushabikia jambo bila kujuwa nyuma ya pazia Kuna Nini?
Siku zote ukiona mtu wa operation ana expose ile operation basi ktk jicho lakijasusi maswali Huwa mengi ila pia Huwa na majibu.
Sio jambo lakawaida mtu alie undercover kuwa exposed sio rahisi.
Mossad ambao chini ya vikosi vyao maalumu vya assassination wamekuwa na haka katabia ila mara zote Huwa wanatoa hizo taarifa baada ya miongo kadhaa. Mfano nikatikamiaka ya hivi karibuni Dunia imeweza kujuwa vile Mossad walifanya mauwaji ya kulipiza kwa viongozi wa Hamas kutokana na mauwaji ya Munich German ambapo Waziri Mkuu wa wakati ule aliapa kila alie panga au kutekeleza Yale mauwaji lazima auwawe. Hii ni moja ya operation ngumu sana ilio tekelezwa na Mossad chini ya special force Kidon🤔.
Ktk Dunia ya ujasusi kila kitu kinawezekana. Ikumbukwe ktk Taifa lolote duniani Kuna special walinzi wa Rais ambao hawa hutoka ktk idara nyeti za usalama na jeshi. Ni team ambayo wanasema Huwa inabadilika baada ya muda wa Rais kuisha.🤔
Nikatika team hii ambayo imesheheni wadunguaji na viumbe hatari ktk Tasinia ya usalama ndio Huwa na aina hii ya watu, wauza mahindi, matunda au kuchoma nyama yes hawa ni special unit ya ulinzi wa Rais ambao huratibu usalama wa Rais na vile wanaweza cheza na hisia zenu.
Inasemekana huko miaka ya nyuma jeshi kilikuwa halina intelligence yake jambo lilikuwa likileta shida ktk mambo ya taarifa. Hivyo chini ya wanakidoni wa Tz ikaanzishwa hiyo military intelligence ambayo matokeo yake ndio hayo mnaona sasa. Nadhani mnanielewa.
Twende kwenye awali why mchoma mahindi amegeuka kuwa komando japo yeye anakataa jambo Hilo kitu ambachobni sahihi maana hatokubali. Haya Yesu ashuke maana kukiri kwake kwaweza kuwa ndio mwisho wa safari yake.😭🤐.
Kuna somo kubwa sana ktk ulimwengu wakijasusi lazima wa Tanzania mjifunze nakuamka sasa. Kiufupi Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tz ametuma msg ngumu sana kwa watanzania na wale wanamzunguka.
Msg yake nifupi sana Mimi ni mama ila msinichukue poa. Nimevaa gauni ila ndani Nina combat ya kikomando na tusifanyiane mchezo.
Ndugu zangu kiufupi hapo Jirani panafuka Moshi na zipo taarifa amabazo sio rasmi Tz wanataka chomoa better 🤐
Ila wanashauriwa kabla ya kuchomoa yatawakuta mambo magumu sana hivyo mna pewa wosia muwe makini. Ndio sura ni ya mchoma mahindi ila Yeye sie mchoma mahindi mmemfananisha🤐🤔
Kumbe haujawahi kuona... Nilijua haipo kabisa. Ndio ipo Advanced Training ambayo wewe unataka kuaminisha watu fikra zako kwamba haipoSpecial forces hawana advanced skills za mixed martial arts.
Mixed martial arts kwenye special forces ni supplemental tu.
Sijawahi kuona advanced training [ya hand to hand combat] ile kwa special forces.
Hakuna tofauti yoyote ya mixed martial arts training wanayopata special forces na vikosi vingine vya kawaida.
Hakuna cha ujasusi cha maaana kilichofanyika hapo, ni ujinga, utoto wa darasa la kwanza, pale ikulu kulikuwa hakuna maana ya kupeleka muuza madafu mchafu mchafu, kwa nia ya kuonyesha samia anajari saaaana, maisha ya watu,Awali ya yote wanakidoni Binafsi Huwa hatupendi kushabikia jambo bila kujuwa nyuma ya pazia Kuna Nini?
Siku zote ukiona mtu wa operation ana expose ile operation basi ktk jicho lakijasusi maswali Huwa mengi ila pia Huwa na majibu.
Sio jambo lakawaida mtu alie undercover kuwa exposed sio rahisi.
Mossad ambao chini ya vikosi vyao maalumu vya assassination wamekuwa na haka katabia ila mara zote Huwa wanatoa hizo taarifa baada ya miongo kadhaa. Mfano nikatikamiaka ya hivi karibuni Dunia imeweza kujuwa vile Mossad walifanya mauwaji ya kulipiza kwa viongozi wa Hamas kutokana na mauwaji ya Munich German ambapo Waziri Mkuu wa wakati ule aliapa kila alie panga au kutekeleza Yale mauwaji lazima auwawe. Hii ni moja ya operation ngumu sana ilio tekelezwa na Mossad chini ya special force Kidon🤔.
Ktk Dunia ya ujasusi kila kitu kinawezekana. Ikumbukwe ktk Taifa lolote duniani Kuna special walinzi wa Rais ambao hawa hutoka ktk idara nyeti za usalama na jeshi. Ni team ambayo wanasema Huwa inabadilika baada ya muda wa Rais kuisha.🤔
Nikatika team hii ambayo imesheheni wadunguaji na viumbe hatari ktk Tasinia ya usalama ndio Huwa na aina hii ya watu, wauza mahindi, matunda au kuchoma nyama yes hawa ni special unit ya ulinzi wa Rais ambao huratibu usalama wa Rais na vile wanaweza cheza na hisia zenu.
Inasemekana huko miaka ya nyuma jeshi kilikuwa halina intelligence yake jambo lilikuwa likileta shida ktk mambo ya taarifa. Hivyo chini ya wanakidoni wa Tz ikaanzishwa hiyo military intelligence ambayo matokeo yake ndio hayo mnaona sasa. Nadhani mnanielewa.
Twende kwenye awali why mchoma mahindi amegeuka kuwa komando japo yeye anakataa jambo Hilo kitu ambachobni sahihi maana hatokubali. Haya Yesu ashuke maana kukiri kwake kwaweza kuwa ndio mwisho wa safari yake.😭🤐.
Kuna somo kubwa sana ktk ulimwengu wakijasusi lazima wa Tanzania mjifunze nakuamka sasa. Kiufupi Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya Tz ametuma msg ngumu sana kwa watanzania na wale wanamzunguka.
Msg yake nifupi sana Mimi ni mama ila msinichukue poa. Nimevaa gauni ila ndani Nina combat ya kikomando na tusifanyiane mchezo.
Ndugu zangu kiufupi hapo Jirani panafuka Moshi na zipo taarifa amabazo sio rasmi Tz wanataka chomoa better 🤐
Ila wanashauriwa kabla ya kuchomoa yatawakuta mambo magumu sana hivyo mna pewa wosia muwe makini. Ndio sura ni ya mchoma mahindi ila Yeye sie mchoma mahindi mmemfananisha🤐🤔
Hakika mkuuKwani kuna agenda gani inataka kupita comrade?
Maana nna hakika kumpeleka comando mwenye rank ya captain kwenye kuuza madafu tena mbele ya public, then kuja kumu expose kwenye shughuli ya halaiki haikuwa bahati mbaya.
Then next day tunaona tukio la aliyekuwa waziri mstaafu kudhalilishwa at the same time wahalifu/watendaji kukamatwa na kutangazwa in public.
I hope its time to change the old techniques let's made the modern one ni hayo tu
Jb