Huyu mwanamke alikuwa anaonyesha u-wife material ila baada ya kumwambia sitafuti business partner nataka mke basi kaanza kutafuta njia ya kuondoka

Huyu mwanamke alikuwa anaonyesha u-wife material ila baada ya kumwambia sitafuti business partner nataka mke basi kaanza kutafuta njia ya kuondoka

mwanzoni nilimsapoti ila nimegundua ana michepuko 3.... huyu jamaa mkoloni 😂
Ngoja jioni nitajibu comment zenu wote. Ila kiufupi mie nimekulia kwenye family mzee alikua na wake watano na wote aliwamanage vizuri sana hadi leo wanaheshimiana, na watoto tuko 13. Nitawajibu vizuri jion
 
Safi....
kuna wanawake wao wamejaaliwa kuwa wamama wa nyumbani tu kulea watoto, ila story za mashoga ndo wanapambishana eti wawe watafutaji, utafutaji wenyewe sasa utacheka ufe, kila kitu atahitaji kutoka kwako, mtaji umpe wewe, akipata loss atakupiga mzinga wewe ili akafidie loss aloisababisha yeye kwenye biashara yake mwenyewe.
Ukiwa mjanja ukamkwepa mizinga hakawii kwenda kukopa au vicoba, akikosa cha kurejesha hakubali kudhalilika hapo lazima uchapiwe ndugu ataitembeza hiyo mbunye mwenyewe mpaka apate marejesho, mwisho wa siku anakuwa concord akiona hiyo teknik inalipa.

Acha niendelee kuwa ndugu mtazamaji na upole wangu huu watanionea sana, japo hawajuagi upole ni kilo 1 ila hasira tani 1000 kwa hiyo staki kesi.
 
Yaani nimesoma uzi wake nilichogundua ni mmimi sana.
Deal zangu, biashara zangu, hela zangu, kibanda changu na nipo zangu.


Ni mtu wa zangu ili mtu aweze kuishi nae inabidi kumvumilia sana.
Acha siasa ndugu.

Binadamu sote ni wa-mimi au wabinafsi. Na ubinafsi unaongozwa na nyie wanawake.

Sasa unataka niseme deal za nani wakati nachora kila kitu mimi?

Je wewe sio mbinafsi? (Jijibu wewe na roho yako hilo swali)
 
Safi....
kuna wanawake wao wamejaaliwa kuwa wamama wa nyumbani tu kulea watoto, ila story za mashoga ndo wanapambishana eti wawe watafutaji, utafutaji wenyewe sasa utacheka ufe, kila kitu atahitaji kutoka kwako, mtaji umpe wewe, akipata loss atakupiga mzinga wewe ili akafidie loss aloisababisha yeye kwenye biashara yake mwenyewe.
Ukiwa mjanja ukamkwepa mizinga hakawii kwenda kukopa au vicoba, akikosa cha kurejesha hakubali kudhalilika hapo lazima uchapiwe ndugu ataitembeza hiyo mbunye mwenyewe mpaka apate marejesho, mwisho wa siku anakuwa concord akiona hiyo teknik inalipa.

Acha niendelee kuwa ndugu mtazamaji na upole wangu huu watanionea sana, japo hawajuagi upole ni kilo 1 ila hasira tani 1000 kwa hiyo staki kesi.
Exactly, yaani wewe umemaliza kabisa.

Kuna wanawake wanajua business sikatai, ila kuna baadhi ni wa kukaa nyumbani tu, sasa hawa wa nyumbani kama mme wake ana kauwezo fln basi wanakua wanadanganywa sana na mashoga zao.

Hii cycle ya kufail biashara hadi kuliwa mbunye umeielezea vizuri sana

Castr njoo uchukue notes hapa
 
Ni ngumu sana kumpenda mtu usiyemheshimu.

Kwa hii kauli yako we huyo mwanamke humheshimu.

Na ile kumwambia hutaki business partner ni same path.

Mahusiano yenu yanashikiliwa na utayari wa huyo mwanamke kuvumilia dharau zako. Wewe pia hutaki awe independent ili uzidi kumdharau.
Yaani kumwambia mtu ukweli ndio kutomuheshimu.

Mie ni business professional kwa zaidi ya miaka tisa sasa, naweza kuspot mtu mwenye uwezo wa kufanya business na kuspot mtu magumashi.

Nilishamuuliza kabla ya kumfungulia business ya ya saloon mara ya kwanza kwamba unataka uuze nini na nini pembeni ya kusuka? Alichojibu kiukweli kilinikatisha tamaa ila bado nikapiga moyo konde na kumfungulia, hana plan bali anafanya kwa kuiga failures wenzie.

Sasa kama kutomwambia mwezi wako ukweli ndio heshima kwenye mahusiano basi fvck that heshima
 
KATAA NDOA CARTEL....Wazee wa kusaga kunguni wanazidi kupepea,ndoa zina changamoto kiukwel
 
Exactly, yaani wewe umemaliza kabisa.

Kuna wanawake wanajua business sikatai, ila kuna baadhi ni wa kukaa nyumbani tu, sasa hawa wa nyumbani kama mme wake ana kauwezo fln basi wanakua wanadanganywa sana na mashoga zao.

Hii cycle ya kufail biashara hadi kuliwa mbunye umeielezea vizuri sana

Castr njoo uchukue notes hapa
Hii hapa ni possible scenario ya mahusiano yako na ya shemeji.

Hua unamshusha sana mkiongea, utamshusha kuanzia kila kitu mpaka kwenye maswala ya kiuchumi.

Kwakua shemeji anakupenda anajaribu kujipotray katika image ambayo utaridhika nayo. Anajaribu kukuprove wrong kwamba haupo sahihi unavyosema kwamba hawezi hiki au kile.

Hii saloon ilikua ni namna yake ya kukuthibitishia kitu.

Lakini hii rabsha ndogo umeshindwa jizuia umekuja toa maneno ya dharau hadi online.

Nilichoandika mwanzo bado kina maana.
 
Back
Top Bottom