Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
.Pesa sio kitu kidogo.Keep calm hivo ni vitu vidogo vya kukaa chini mkayajenga
amna bhanaπ ππΌumeanza kunitisha aisee π unazungumzia vimbola au....
Soma uzi vzr na commentsUsitumie hasira utakuja kulia. Sheria nyingi zinawapa kombe.
1: Mfungulie biashara ya kwake na wala usiifuatilie ila ukiweza weka katika maandishi, fedha , vifaa na kodi ulizowekeza hapo na wala usimpe maneno magumu bali ya kumtia moyo.
2: Mpe uhuru na wala usimfuatilie ila mshauri vile ungetaka familia yenu iwe.
3: Ukiona hana muelekeo, wekeza katika kesho ya watoto wako (fungua akaunti za ada zao, nk)
4: Kama hata penzi unateseka, TULIZA kichwa na utafute demu mmoja mwelewa sana( jitahidi uchuje ili umpate mwenye vigezo utakavyo), huyu atakusaidia usiue au kumng'oa mtu meno.
5: Jitahidi usirudi nyumbani ukiwa na njaa sana au umekasirika ikibidi pitia pahala ule japo kidogo na taraaaatibu rudi nyumbani
Sawa.Unaonekana ni Mnyanyasaji wa hali ya juu
Hauna heshima kwa Mwanamke wako
Umejawa dharau na kiburi uko na full EGO
Hutopata Mke bora..unless otherwise upate zwazwa wako wa kumburuza atakaekubali kejeli zako na kuridhika na dharau zako
Kuna watu sijui hamjui kusoma, hebu rudia tena kusoma uzi.badala ya kumuacha mkeo afanye biashara asiwe tegemezi unakuwa mbabe
Maisha yanabadilika haraka sana Kuna leo na kesho haupo unafikir
Ataishije na watoto bila ya kipato
Hebu na hilo ukalitizame
Mie mwanzo nilimkatalia kabisa khs swala la biashara sababu najua madhara yake, nna rafiki yangu ana lori za kusafirisha mazao, sasa hawa wanawake wanaojidaigi fighters kufanya hio business ni anawatomber kama nini, wengine wanakuja hadi bar tunakunywa kumbe ni mke wa mtu.Kuna kitu jamaa kaongea kuna mda aliamua kupima DNA na watoto hapa kuna kitu kinakujia kichwani shemeji ni wa aina gani kiufupi tabia zake zinamfanya awe na uaminifu mdogo kwa bwana yake
Kingne kuruhusu mwanamke kuwa na biashara inayomlipa na kuwa na uwezo wa kujikimu hilo ni bomu kwenye ndoa ndugu yangu ni bora mke wako afanye biashara zako wewe mme uwe boss sharti hela ya matumizi ya nyumbani asichukue kwenye biashara. Kwenye biashara ifungwe hesabu ili kujua faida au hasara. Ila matumizi ya nyumbani pesa atoe mme nasisitiza na sio mwanamke kuchukua ya kwenye biashara utalizwa mapema sana.
Wanawake wanaojiweza kwenye ndoa ni mwiba sana na wengi wao ni wachepukaji wakubwa sana katika deal zao za business huku akikwepa majukumu fulani. Ipo hivi wanaume wanaomliki frame, business connection, car transportation goods wanawala sana hawa wanawake ndo hapo nipoanzaga kumdharau mwanamke hata kama nimezaliwa nao
wanaume tunataka mke mwenye sifa ya kuwa mke kama hizi...
Kinachotufikirisha kingne wanaume ni kwamba hawa wanawake wa business mara nyingi wanatumia ngono kurahisha mambo kwenye biashara zao tunawaona na wengi wao wameolewa. swali linakuja namana hata mke wangu atafanya hivi hapo ndo ukiwa na uwezo wa kumkontrol asifanye biashara unafanya ivo
Mwisho heshima kwa mwanamke mwenye pesa ni maji na mafuta kwa sababu biashara yoyote ikisimama lazima uwe bussy nayo na hapa mwanamke anapoteza ule u mke hata unyumba huwa tunaanza kupata kwa shida ukipata napo unapimiwa ila mlipa kodi atakula ajichokee maana anajua akizingua kodi hailipwi kikamilifu
Tutaendelea............
Yaan mtu biashara yake, loss anabook yeye, mikopo anachukua yeye, then wewe ndo unalipa. Afu unasikia watu kila siku wanamuimbia nyimbo mama bila kujua mateso mababa tunayopitiaVipo vichwa hatari sana havifundikishi, vinamiliki biashara na madeni tunalipa sisi tuone huruma, hahahaha
Kuna msemo wanasema usichanganye mapenzi na biashara zamani nilijua wanaongelea michepuko kumbe hata mke hatakiwi kumchanganya na biasharaNina rafiki zangu watatu wamelizwa na wake zao na they never saw it coming sababu maisha walokua wanaishi ni upendo hadi unaona jamaa anakula pepo duniani, wote walifanya mistake moja ambayo ni kuwafanya wanawake zao kuwa kama business partner, hio ni mistake wanaume wenzangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]zamani sana, nishajua hapa sina wife material tena. Ndo umuhimu wa michepuko, kuna sub tatu zipo benchi
Kufeli kwa biashara aliyo anzisha sio kwamba hajui biashara tatizo unamkatia tamaa mapema mwanzishie biashara nyingine hapo home auze nyanya vitunguu mbogamboga kwa kuanzia huenda akajifunza na ikaenda sawaKuna watu sijui hamjui kusoma, hebu rudia tena kusoma uzi.
Huyu ka-run biashara ya saloon miezi saba bila kuonekana faida, na hapo hajakoma anachukua hela kwenye biashara zangu nyingine kisa wanamjua tu ni mama watoto wangu, na kibaya anachukua hataki mm nijue akidai atawarudishia, kibaya zaidi ameshindwa kurudisha na kusababisha hasara,
Sasa huyo mtu aina hio biashara gani anaweza kufanya asiwe tegemezi?
We ndo unamkatisha tamaa,yaani mapema hii ulishaona ana uwezo mdogo?kwa nini usimsimamie akasimama,sijapenda acha ubabeSio la kwanza..
Ana tabia ya kutaka kuwa business woman lkn hawezi, ana uwezo mdogo sana ila haelewi
HahahahahahahaaMwanaume ndio chanzo Cha kuwaharibu wanawake, pale alipowaaminisha kuwa mbususu zao Ni tamu!
Tuwaambie ukweli Sasa kuwa utamu anaopata mwanamume Ni kutoka ndani ya mkuyenge wake!
Utamu ule wanagugumia wanaume Ni internal sio external!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni mateso hasa, mfano unamkamua ng'ombe wako maziwa wanakuja watu wanakwambia tumekuja chukua dhamana ya mkopo mke wako amekopea., pembeni wapo na mwenyekit wa Kijiji na mgambo kadhaa,Yaan mtu biashara yake, loss anabook yeye, mikopo anachukua yeye, then wewe ndo unalipa. Afu unasikia watu kila siku wanamuimbia nyimbo mama bila kujua mateso mababa tunayopitia
[emoji23][emoji23][emoji23] punguza kuangalia tamthilia chief.Hii hapa ni possible scenario ya mahusiano yako na ya shemeji.
Hua unamshusha sana mkiongea, utamshusha kuanzia kila kitu mpaka kwenye maswala ya kiuchumi.
Kwakua shemeji anakupenda anajaribu kujipotray katika image ambayo utaridhika nayo. Anajaribu kukuprove wrong kwamba haupo sahihi unavyosema kwamba hawezi hiki au kile.
Hii saloon ilikua ni namna yake ya kukuthibitishia kitu.
Lakini hii rabsha ndogo umeshindwa jizuia umekuja toa maneno ya dharau hadi online.
Nilichoandika mwanzo bado kina maana.
Aisee, Mungu akubariki kwakuwa mpenda ukweli maana wanawake wengine wanafikiri ni gender inequality[emoji1787][emoji1787]wanawake wengi hatujui kuendesha biashara baada ya maendeleo Inakuwa kurudisha nyuma hakuna mwanaume anakataa mkewe kujishughulisha mtu ujana wake hajawah hata kujua kumanage 50000 aliyotafuta ikazaa hawez kufanya biashara hata ukimpa million 10 ni uongo na ushahidi upo mwingi tu sio Kila mtu ni business woman kiukweli
Japo mtoamada alitakiwa ampe nafas pia ya kujirekebisha huenda mambo yangekuwa mazuri
Asante mdogowanguAisee, Mungu akubariki kwakuwa mpenda ukweli maana wanawake wengine wanafikiri ni gender inequality[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app