Huyu mwanamke alikuwa anaonyesha u-wife material ila baada ya kumwambia sitafuti business partner nataka mke basi kaanza kutafuta njia ya kuondoka

Huyu mwanamke alikuwa anaonyesha u-wife material ila baada ya kumwambia sitafuti business partner nataka mke basi kaanza kutafuta njia ya kuondoka

Usitumie hasira utakuja kulia. Sheria nyingi zinawapa kombe.
1: Mfungulie biashara ya kwake na wala usiifuatilie ila ukiweza weka katika maandishi, fedha , vifaa na kodi ulizowekeza hapo na wala usimpe maneno magumu bali ya kumtia moyo.
2: Mpe uhuru na wala usimfuatilie ila mshauri vile ungetaka familia yenu iwe.
3: Ukiona hana muelekeo, wekeza katika kesho ya watoto wako (fungua akaunti za ada zao, nk)
4: Kama hata penzi unateseka, TULIZA kichwa na utafute demu mmoja mwelewa sana( jitahidi uchuje ili umpate mwenye vigezo utakavyo), huyu atakusaidia usiue au kumng'oa mtu meno.
5: Jitahidi usirudi nyumbani ukiwa na njaa sana au umekasirika ikibidi pitia pahala ule japo kidogo na taraaaatibu rudi nyumbani
Soma uzi vzr na comments
 
Unaonekana ni Mnyanyasaji wa hali ya juu

Hauna heshima kwa Mwanamke wako

Umejawa dharau na kiburi uko na full EGO

Hutopata Mke bora..unless otherwise upate zwazwa wako wa kumburuza atakaekubali kejeli zako na kuridhika na dharau zako
Sawa.
 
badala ya kumuacha mkeo afanye biashara asiwe tegemezi unakuwa mbabe
Maisha yanabadilika haraka sana Kuna leo na kesho haupo unafikir
Ataishije na watoto bila ya kipato
Hebu na hilo ukalitizame
Kuna watu sijui hamjui kusoma, hebu rudia tena kusoma uzi.

Huyu ka-run biashara ya saloon miezi saba bila kuonekana faida, na hapo hajakoma anachukua hela kwenye biashara zangu nyingine kisa wanamjua tu ni mama watoto wangu, na kibaya anachukua hataki mm nijue akidai atawarudishia, kibaya zaidi ameshindwa kurudisha na kusababisha hasara,

Sasa huyo mtu aina hio biashara gani anaweza kufanya asiwe tegemezi?
 
Kuna kitu jamaa kaongea kuna mda aliamua kupima DNA na watoto hapa kuna kitu kinakujia kichwani shemeji ni wa aina gani kiufupi tabia zake zinamfanya awe na uaminifu mdogo kwa bwana yake

Kingne kuruhusu mwanamke kuwa na biashara inayomlipa na kuwa na uwezo wa kujikimu hilo ni bomu kwenye ndoa ndugu yangu ni bora mke wako afanye biashara zako wewe mme uwe boss sharti hela ya matumizi ya nyumbani asichukue kwenye biashara. Kwenye biashara ifungwe hesabu ili kujua faida au hasara. Ila matumizi ya nyumbani pesa atoe mme nasisitiza na sio mwanamke kuchukua ya kwenye biashara utalizwa mapema sana.

Wanawake wanaojiweza kwenye ndoa ni mwiba sana na wengi wao ni wachepukaji wakubwa sana katika deal zao za business huku akikwepa majukumu fulani. Ipo hivi wanaume wanaomliki frame, business connection, car transportation goods wanawala sana hawa wanawake ndo hapo nipoanzaga kumdharau mwanamke hata kama nimezaliwa nao
wanaume tunataka mke mwenye sifa ya kuwa mke kama hizi...

Kinachotufikirisha kingne wanaume ni kwamba hawa wanawake wa business mara nyingi wanatumia ngono kurahisha mambo kwenye biashara zao tunawaona na wengi wao wameolewa. swali linakuja namana hata mke wangu atafanya hivi hapo ndo ukiwa na uwezo wa kumkontrol asifanye biashara unafanya ivo

Mwisho heshima kwa mwanamke mwenye pesa ni maji na mafuta kwa sababu biashara yoyote ikisimama lazima uwe bussy nayo na hapa mwanamke anapoteza ule u mke hata unyumba huwa tunaanza kupata kwa shida ukipata napo unapimiwa ila mlipa kodi atakula ajichokee maana anajua akizingua kodi hailipwi kikamilifu

Tutaendelea............
Mie mwanzo nilimkatalia kabisa khs swala la biashara sababu najua madhara yake, nna rafiki yangu ana lori za kusafirisha mazao, sasa hawa wanawake wanaojidaigi fighters kufanya hio business ni anawatomber kama nini, wengine wanakuja hadi bar tunakunywa kumbe ni mke wa mtu.

Lkn kwa kuwa biashara ya saloon wahusika ni wanawake nikaona nijaribu nae, ila ni upuuzi mtupu nilioona,
 
Vipo vichwa hatari sana havifundikishi, vinamiliki biashara na madeni tunalipa sisi tuone huruma, hahahaha
Yaan mtu biashara yake, loss anabook yeye, mikopo anachukua yeye, then wewe ndo unalipa. Afu unasikia watu kila siku wanamuimbia nyimbo mama bila kujua mateso mababa tunayopitia
 
Nina rafiki zangu watatu wamelizwa na wake zao na they never saw it coming sababu maisha walokua wanaishi ni upendo hadi unaona jamaa anakula pepo duniani, wote walifanya mistake moja ambayo ni kuwafanya wanawake zao kuwa kama business partner, hio ni mistake wanaume wenzangu.
Kuna msemo wanasema usichanganye mapenzi na biashara zamani nilijua wanaongelea michepuko kumbe hata mke hatakiwi kumchanganya na biashara
 
Kuna watu sijui hamjui kusoma, hebu rudia tena kusoma uzi.

Huyu ka-run biashara ya saloon miezi saba bila kuonekana faida, na hapo hajakoma anachukua hela kwenye biashara zangu nyingine kisa wanamjua tu ni mama watoto wangu, na kibaya anachukua hataki mm nijue akidai atawarudishia, kibaya zaidi ameshindwa kurudisha na kusababisha hasara,

Sasa huyo mtu aina hio biashara gani anaweza kufanya asiwe tegemezi?
Kufeli kwa biashara aliyo anzisha sio kwamba hajui biashara tatizo unamkatia tamaa mapema mwanzishie biashara nyingine hapo home auze nyanya vitunguu mbogamboga kwa kuanzia huenda akajifunza na ikaenda sawa
 
Mwanaume ndio chanzo Cha kuwaharibu wanawake, pale alipowaaminisha kuwa mbususu zao Ni tamu!

Tuwaambie ukweli Sasa kuwa utamu anaopata mwanamume Ni kutoka ndani ya mkuyenge wake!

Utamu ule wanagugumia wanaume Ni internal sio external!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume ndio chanzo Cha kuwaharibu wanawake, pale alipowaaminisha kuwa mbususu zao Ni tamu!

Tuwaambie ukweli Sasa kuwa utamu anaopata mwanamume Ni kutoka ndani ya mkuyenge wake!

Utamu ule wanagugumia wanaume Ni internal sio external!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahahahahahaa

Kwa hili napinga, kyuma zina utamu ndugu yangu, kyuma ni dawa hasa kwa marijali kama sie.

Ndo maana inabidi uwe na vyanzo vingi (michepuko)
 
Yaan mtu biashara yake, loss anabook yeye, mikopo anachukua yeye, then wewe ndo unalipa. Afu unasikia watu kila siku wanamuimbia nyimbo mama bila kujua mateso mababa tunayopitia
Ni mateso hasa, mfano unamkamua ng'ombe wako maziwa wanakuja watu wanakwambia tumekuja chukua dhamana ya mkopo mke wako amekopea., pembeni wapo na mwenyekit wa Kijiji na mgambo kadhaa,
Utafanyaje sasa unaamua uuze vimbuzi sita ulipe deni, baada ya wiki anakumbusha kuwa watoto wanataka ada.
 
Hii hapa ni possible scenario ya mahusiano yako na ya shemeji.

Hua unamshusha sana mkiongea, utamshusha kuanzia kila kitu mpaka kwenye maswala ya kiuchumi.

Kwakua shemeji anakupenda anajaribu kujipotray katika image ambayo utaridhika nayo. Anajaribu kukuprove wrong kwamba haupo sahihi unavyosema kwamba hawezi hiki au kile.

Hii saloon ilikua ni namna yake ya kukuthibitishia kitu.

Lakini hii rabsha ndogo umeshindwa jizuia umekuja toa maneno ya dharau hadi online.

Nilichoandika mwanzo bado kina maana.
[emoji23][emoji23][emoji23] punguza kuangalia tamthilia chief.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake wengi hatujui kuendesha biashara baada ya maendeleo Inakuwa kurudisha nyuma hakuna mwanaume anakataa mkewe kujishughulisha mtu ujana wake hajawah hata kujua kumanage 50000 aliyotafuta ikazaa hawez kufanya biashara hata ukimpa million 10 ni uongo na ushahidi upo mwingi tu sio Kila mtu ni business woman kiukweli

Japo mtoamada alitakiwa ampe nafas pia ya kujirekebisha huenda mambo yangekuwa mazuri
Aisee, Mungu akubariki kwakuwa mpenda ukweli maana wanawake wengine wanafikiri ni gender inequality[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom