Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji1787] unafanana na mie kwa kila kitu Hana utu huyo mpuuuziNmekutana nae kwenye gari natoka mikoa ya kaskazini mwa nchi hii, nmepanda Basi nimekuta kwenye siti kakaa peke yake kaweka begi lake alivyoniona kalitoa tukaa wote nikampa salaam akaitikia kidharau nikasema powa nami nikawa bize na simu zangu
Tumefika korogwe Basi ikacmama kuchimba dawa ndo demu akashuka kumcheki vzr amejaaliwa nyuma na ndo ugonjwa wangu alivorudi bado nikaendelea kuwa bize na simu zangu sijamwongelesha
Pembeni yangu kuna jamaa wakaanzisha story za mpira na siasa tukaanze kula stori ubishi Safari ikawa tamu gafla
Tumefika msata ndo demu ananiuliza unashuka wapi nikamwambia na yeye akanambia ikibidi tuanze kufahamina kiasi tukapeana namba tukafika mwisho wa Safari yetu..
Asubuhi nikamcheki umeamkaje kaanza oooh njaa sijala nikamrushia cha ten km baada ya siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana kanichek Niko wapi nikamwambia bunju akanambia anatak kuniona nikamjibu njoo demu kaja kavaa kimitego nika kaa nae bar kidogo nikamwambie twende chumbani kajifanya kukataa kataa lkn mwisho kakubali huyo tukaelekea chumbani tukafany yetu, tumemaliza nikampa 10 nauli akasepa
Cha ajabu alivofika kwake kanitumia text eti yaan umenigaragaza ivo unanipa 10tu hata sabuni ya kufulia chupi na kuogea haitoshi nikauliza kwani tulikua tunauziana na je hizo nilizokua nakutumia uko juzi nilikua napata nini eti nisamehe nimeamua kuachana nae tangu juzi linatuma sms na kupiga silijibu Mimi. Limenikosa halinipati teeena shenzi saana
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Nmekutana nae kwenye gari natoka mikoa ya kaskazini mwa nchi hii, nmepanda Basi nimekuta kwenye siti kakaa peke yake kaweka begi lake alivyoniona kalitoa tukaa wote nikampa salaam akaitikia kidharau nikasema powa nami nikawa bize na simu zangu
Tumefika korogwe Basi ikacmama kuchimba dawa ndo demu akashuka kumcheki vzr amejaaliwa nyuma na ndo ugonjwa wangu alivorudi bado nikaendelea kuwa bize na simu zangu sijamwongelesha
Pembeni yangu kuna jamaa wakaanzisha story za mpira na siasa tukaanze kula stori ubishi Safari ikawa tamu gafla
Tumefika msata ndo demu ananiuliza unashuka wapi nikamwambia na yeye akanambia ikibidi tuanze kufahamina kiasi tukapeana namba tukafika mwisho wa Safari yetu..
Asubuhi nikamcheki umeamkaje kaanza oooh njaa sijala nikamrushia cha ten km baada ya siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana kanichek Niko wapi nikamwambia bunju akanambia anatak kuniona nikamjibu njoo demu kaja kavaa kimitego nika kaa nae bar kidogo nikamwambie twende chumbani kajifanya kukataa kataa lkn mwisho kakubali huyo tukaelekea chumbani tukafany yetu, tumemaliza nikampa 10 nauli akasepa
Cha ajabu alivofika kwake kanitumia text eti yaan umenigaragaza ivo unanipa 10tu hata sabuni ya kufulia chupi na kuogea haitoshi nikauliza kwani tulikua tunauziana na je hizo nilizokua nakutumia uko juzi nilikua napata nini eti nisamehe nimeamua kuachana nae tangu juzi linatuma sms na kupiga silijibu Mimi. Limenikosa halinipati teeena shenzi saana
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Thamani ya mwanamke inazidi kushukaNi kweli, sio kwamba wanaume tunaongeza chumvi, yani ni shida tupu, ila kwa mm nikimtongoza Mdada leo, kesho akiniomba hela na papuchi hajanipa, namkimbia huyo mdada, nafuta namba yake, Na mahusiano yetu yanakufa hapo hapo Niwaheri
Kahaba mkuu huyo sasa kaja kuwatetea makahaba wadogo wadogo sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wanatoa mamilioni na anapiga goli moja kwa miez 6 ww unalalamika hzo hela za vocha ulizoombwa?? Mkuu kuwa serious basii.
Zipo mbususu hadi za buku 3 mkuu , siku hizi mbususu zimeshuka thamani aiseeKwa huu ubahili, mbususu utaziskia tu redioni, utaoa sabuni[emoji23][emoji23][emoji2088]
Daah! Kijana anaonekana ni mgeni wa hizi mambo za kuhonga.Tafuta hela mkuu
Utelezi umepewa ila bado unalia lia.
Hizo ndo mbishe zangu naweza nikakutumia hela hata mara nne kabla sijala mbususu siku nikiamka hovyo nafuta namba utajitumisha sms wala sisomi ni mwendo wa kudelete tu
Pesa yangu umekula
Mbususu yako sijala
Na maumivu wayapata
Sijui nini cha kuuma
Ah kisa mfereji umekata
Mimi pesa yangu utakula baada ya kula mbususu hii mizinga mingine sijui sina vocha nakwambia mi si ndiyo nakupigia huwa najua vizuri sana kuipanchi ila ule mzinga wa nauli kutaka kuja geto ni dk 2 nimesha tuma.huwa ina niuma sana demu ale ela yangu na mbususu sijala ina nikata sana.
Daah! Kijana anaonekana ni mgeni wa hizi mambo za kuhonga.
Njoo pm nikuelezee vizuriEmbu nielezee wewe mwenyeji
Hahahaha!umetuma msg kwa kubisha nkafikir ulienda cha ten..kumbe viwili tu
Mbususu za buku 3 ni zile zenye michanga mkuu ila mbususu classic inayonukia huwezi pata kw buku 3😂 ataishia kula zenye michanga tuZipo mbususu hadi za buku 3 mkuu , siku hizi mbususu zimeshuka thamani aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilivokua wanawaza lile tako nilikua naona pesa sio kitu cha maana over tako
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sasa hizo hela utahongaje mtu ambaye hashtuki mkuu? Utaanzaje kumpa hizo pesa?Kama tukikutana njiani Hata hushtuki na hujui kama umepishana na mwanaume, unaangalia zako pembeni, si itabidi nitumie hela nipate attention yako financial services
Njoo pm nikuelezee vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo ndo mbishe zangu naweza nikakutumia hela hata mara nne kabla sijala mbususu siku nikiamka hovyo nafuta namba utajitumisha sms wala sisomi ni mwendo wa kudelete tu
Pesa yangu umekula
Mbususu yako sijala
Na maumivu wayapata
Sijui nini cha kuuma
Ah kisa mfereji umekata