Huyu mwanamke kanikosa na njaa zake

Huyu mwanamke kanikosa na njaa zake

Vipi ulitumia kondomu maana huyo anajiuza atakuwa kawapanga wengi Yani kukutana tu kwenye gari na mshavuana chupi?
Be careful
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea mie stak ujue. Lol
 
Tafuta pesa acha kulia lia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana"

Kiufupi amekuona danga na umenunua malaya kwa bei ndefu.
 
Bora kuepuka zinaa, ukalinda tupu zako ukapata mume wa kheri akakuoa na kukuweka ndani akakutunza na kukuhudumia kwa kila kitu. Hata awe masikini atakuhudumia kwa uwezo wake.

Kuliko kuhangaika na dunia kuja kupewa tujisenti ambato hatukusaidia zaidi ya kukushusha thamani yako kukuongezea dhambi na possibly kupata maradhi.

Just thinking out loud. Its a harsh world ukiwa na tamaa na njaa za kijinga.
Kusema haya ni rahisi lakini kuyatenda ndo Shida
 
Wenye matege hawajiamini kwani ?😂😂
Screenshot_20211212-234805_1.jpg


Nafikiri una macho , 😁😁
 
Mbususu za buku 3 ni zile zenye michanga mkuu ila mbususu classic inayonukia huwezi pata kw buku 3[emoji23] ataishia kula zenye michanga tu
Mbususu ni mbususu tu, unaweza ukakuta mbususu inanukia , ukiaanza mbiringe mbiringe ukashangaa ghafla hali ya hewa ndani inaanza kubadilika , mwisho Wa siku ukaanza kujutia pesa yako
 
Mademu hata ukimtumia lako kila siku kwa ajiki ya matimizi wao hawafikirii lolote. Siku ukilalanae anakudai tena hela
 
Mi kuna mwali nimelala nae Jana usiku nimemtia goli 4 heavy asubuhi Nampa buku 3 ya nauli anagoma eti ndo hela gani unanipa ,nilichofanya nlimbeba kinguvu nikamtupia nje nikafunga mlango nikaendelea kuuchapa usingizi kumalizia weekend.
[emoji23][emoji23] dah mabibie sometimes wanateseka. Ila huwa wanajitakia wenyew.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8] unanikumbusha kuna siku nilikuwa natoka zangu job TANGA KANGE narudi zangu home likizo makambako kuicheki familia ila nitapita Dar kwanza sasa nipo kwnye kigari changu kipya ki crown nilichonunua juzi kati hapa sasa nikampitia jamaa yangu mmoja ivi kwao MUHEZA yy alisema ataenda Dar nilivyofika MUHEZA mjini nikamcheki jamaa nikamwambia nipo muheza town hapa njoo nilivyopaki gari kuna kidada kilikuwa kinasafiri kinaenda Dar sasa bhana kikaniomba lift nikamwambia sawa twende lkn tumsubiri rafiki yangu anakuja hee tukanza story aisee kidada cha kizigua iko kinashepu balaa.

Sasa bhana mwana akaja nikampa jamaa funguo aendeshe mm nikakaa pembeni kumbuka nilichukua no story story tulafika dar vzr tu c nikachukua no yake aisee nilivyompigia tu simu siku ya kwanza akaniomba elfu 30 akasuke kwanza ndo aje tuonane mana nilimuomba tuonane nikamtumia lkn akuja ila kesho yake akanicheki akaja aisee nilikaa nacho pale Mabibo mwisho kuna bar inaitwa IBUNGU nilikanywesha we nikasepa nacho LODGE nilikapiga mashine sana kesho yake nikasepa mapema sana nikakaacha LODGE kamelala kanaamka akanikuti na sikukiachia hata shi 10 mana niliamka saa 11 ndo nilitoka Dar saa 11 Alfajiri nafika ruvu mida ya saa 1 na nusu ivi ndo kinapiga simu eti umeondoka hata ujaniaga dah ujaniachia hata ela ya matumizi nikamwambia nilikupa ila ela ya kusuka elfu 30 inatosha kalimaind sana[emoji13][emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....
Ela ya matumizi kwani ni mke wako huyo, safi sana ulikanyoosha baharia, hawana akili wakipata mtu wanahisi wamepata ajira.
 
Nimekutana nae kwenye gari natoka mikoa ya kaskazini mwa nchi hii, nimepanda Basi nimekuta kwenye siti kakaa peke yake kaweka begi lake alivyoniona kalitoa tukaa wote nikampa salaam akaitikia kidharau nikasema powa nami nikawa bize na simu zangu.

Tumefika Korogwe Basi ikacmama kuchimba dawa ndo demu akashuka kumcheki vzr amejaaliwa nyuma na ndo ugonjwa wangu alivorudi bado nikaendelea kuwa bize na simu zangu sijamwongelesha.

Pembeni yangu kuna jamaa wakaanzisha story za mpira na siasa tukaanze kula stori ubishi Safari ikawa tamu gafla.

Tumefika msata ndo demu ananiuliza unashuka wapi nikamwambia na yeye akanambia ikibidi tuanze kufahamina kiasi tukapeana namba tukafika mwisho wa Safari yetu.

Asubuhi nikamcheki umeamkaje kaanza oooh njaa sijala nikamrushia cha ten km baada ya siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana kanichek Niko wapi nikamwambia Bunju akanambia anatak kuniona nikamjibu njoo demu kaja kavaa kimitego nika kaa naye bar kidogo nikamwambie twende chumbani kajifanya kukataa kataa lkn mwisho kakubali huyo tukaelekea chumbani tukafany yetu, tumemaliza nikampa 10 nauli akasepa.

Cha ajabu alivofika kwake kanitumia text eti yaan umenigaragaza ivo unanipa 10tu hata sabuni ya kufulia chupi na kuogea haitoshi nikauliza kwani tulikua tunauziana na je hizo nilizokua nakutumia uko juzi nilikua napata nini eti nisamehe nimeamua kuachana nae tangu juzi linatuma sms na kupiga silijibu Mimi. Limenikosa halinipati teeena shenzi saana.
0719 ulimla?
 
Back
Top Bottom