Huyu mwanamke kanikosa na njaa zake

Point nzur kabsa but kwa wadada wengi haitekelezeki.
 
Wewe ndo umemkosa kwa uboya wako hela zote hizo halafu anaenda kulala kwake.Huna nguvu za kiume ndo maana umemwachia mapema wenzako tunapiga hadi inatoa vumbi na atalala akishtuka saa nane inabidi alale na hapo hakuna tena kulala.Asubuhi anaenda kwake anatembea kama senta bolt umekatika.Hizo ndo zetu huku uswazi, tunashusha godoro
 
mademu ya hivyo achana nayo tu hain aakili....kama anauza aseme..wakatu unamjali unatuma bila kumuomba mzigo aliwaza nini........au alijua hapa kuna pesa kama laki apewe akiliwa....nyambaf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…