Huyu mwanamke kanikosa na njaa zake

Huyu mwanamke kanikosa na njaa zake

Bora kuepuka zinaa, ukalinda tupu zako ukapata mume wa kheri akakuoa na kukuweka ndani akakutunza na kukuhudumia kwa kila kitu. Hata awe masikini atakuhudumia kwa uwezo wake.

Kuliko kuhangaika na dunia kuja kupewa tujisenti ambato hatukusaidia zaidi ya kukushusha thamani yako kukuongezea dhambi na possibly kupata maradhi.

Just thinking out loud. Its a harsh world ukiwa na tamaa na njaa za kijinga.
Point nzur kabsa but kwa wadada wengi haitekelezeki.
 
Wewe ndo umemkosa kwa uboya wako hela zote hizo halafu anaenda kulala kwake.Huna nguvu za kiume ndo maana umemwachia mapema wenzako tunapiga hadi inatoa vumbi na atalala akishtuka saa nane inabidi alale na hapo hakuna tena kulala.Asubuhi anaenda kwake anatembea kama senta bolt umekatika.Hizo ndo zetu huku uswazi, tunashusha godoro
 
Nimekutana nae kwenye gari natoka mikoa ya kaskazini mwa nchi hii, nimepanda Basi nimekuta kwenye siti kakaa peke yake kaweka begi lake alivyoniona kalitoa tukaa wote nikampa salaam akaitikia kidharau nikasema powa nami nikawa bize na simu zangu.

Tumefika Korogwe Basi ikacmama kuchimba dawa ndo demu akashuka kumcheki vzr amejaaliwa nyuma na ndo ugonjwa wangu alivorudi bado nikaendelea kuwa bize na simu zangu sijamwongelesha.

Pembeni yangu kuna jamaa wakaanzisha story za mpira na siasa tukaanze kula stori ubishi Safari ikawa tamu gafla.

Tumefika msata ndo demu ananiuliza unashuka wapi nikamwambia na yeye akanambia ikibidi tuanze kufahamina kiasi tukapeana namba tukafika mwisho wa Safari yetu.

Asubuhi nikamcheki umeamkaje kaanza oooh njaa sijala nikamrushia cha ten km baada ya siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana kanichek Niko wapi nikamwambia Bunju akanambia anatak kuniona nikamjibu njoo demu kaja kavaa kimitego nika kaa naye bar kidogo nikamwambie twende chumbani kajifanya kukataa kataa lkn mwisho kakubali huyo tukaelekea chumbani tukafany yetu, tumemaliza nikampa 10 nauli akasepa.

Cha ajabu alivofika kwake kanitumia text eti yaan umenigaragaza ivo unanipa 10tu hata sabuni ya kufulia chupi na kuogea haitoshi nikauliza kwani tulikua tunauziana na je hizo nilizokua nakutumia uko juzi nilikua napata nini eti nisamehe nimeamua kuachana nae tangu juzi linatuma sms na kupiga silijibu Mimi. Limenikosa halinipati teeena shenzi saana.
mademu ya hivyo achana nayo tu hain aakili....kama anauza aseme..wakatu unamjali unatuma bila kumuomba mzigo aliwaza nini........au alijua hapa kuna pesa kama laki apewe akiliwa....nyambaf
 
Back
Top Bottom