Huyu Mwanamke ni mfano wa kuigwa na wadangaji

Huyu Mwanamke ni mfano wa kuigwa na wadangaji

HIVI JAMANI MBONA KILA UZI WATU WANASEMA CHAI HIVI SHIDA NI NINI?

HAYA PICHA HII HAPA, HII TABIA INANIKWAZA SANA SASA KAMA KILA UZI NI UJI NYUZI ZIPI NI ZA KWELI? MNABOA MNAJIFANYA WAJUAJI SANA.
SISI WABONGO TUNASHIDA SANA, UJUAJI MWINGI NA UPUUZI NDO USISEME NDOMANA HATA TUNATAWALIWA KAMA MA MBUMBUMBU NA HATUFANYI CHOCHOTE KAZI KUFARIJIANA NA MAMBO YA KIJINGA.
SASA KUKOSEA TAREHE TU TYPING ERROR JITU LISHACOMMENT UJINGA, HUU NI UPUUZI WAPUUZI NYIE.


View attachment 3037205
Mkuu Tuendelee Na Story Achana Na Hao Wajuaji
 
Habari zenu!!!! Na habari ya siku nyingi!!!

Nianze kwa kuwapa salamu kutoka kwa Mercy na Mage wote ni wazima.

Twende......

Jana tarehe 08/07/2024 nilienda kumtembelea mshikaji wangu, idol wangu katika harakati, nilienda dukani kwake. Anaduka kubwa tu la electronics na vitu vingine.

Huyu jamaa kanifundisha kazi, ni m katu ya watu naowakubali sana, kani inspire mpka namm nikapambana nikafungua kijiofic changu cha electronics kwahiyo ni mtu muhimu sana kwangu. Kupitia huyu jamaa nimejifunza kwamba ukiwa na rafiki anayefanya vitu vikubwa vya kimaendeleo usikae naye hovyo kwani utampoteza katika maisha yako, unatakiwa nawew uwe na mawazo na matamanio kama yake ndo mtaenda sawa na utapata vingi vizuri kupitia yeye.

Twende kwenye mada!!!!!

Nilipofika oficin kwake, huwa nipo free hata mteja akija huwa nauwezo wa kumuattend kumuuzia na mshikaji ananiamini sana hata anaweza kaa pembeni kabisa ananiachia mimi show, mwenyew anadai nipambane na wateja nipate uzoefu zaidi.

Sasa akaja mwanamke mmoja alionekana kuwa na umri kati ya 22-25, huyu mwanamke ni mjamzito. Kipindi anaingia dukani mshikaji alikuwa ametoka kaenda kwenye duka lake jingine jirani na hilo duka lake alokuwa kaniacha (duka mama).

Huyu binti au mwanamke alivoingia nilivomtazama nikagundua hayupo sawa kichwani yani ana wenge kwa mbali, alikuwa kavaa shati kubwa kama watu wa chuga, skirt ya njano chini yeboyebo za kijani kabeba na mfuko wa mambo poa una vitu vitu huko ndani.

Mara nyingi watu wa hivo huwa tuna assume siyo wateja kwahiyo huwa hatuwapi attention kubwa na wakizingua huwa tunawatoa baru waondoko.
Lakini yule binti alinikuta pekeangu kwa wakati ule, nilivomtazama nikajua hapa hamna mteja ila nikaaamua nimsikilize anasemaje.

Alivofika akanisalimia then akaulizia bei za cm, nikamtajia bei zote za cm zilizokuemo kwenye kabati.
Nilivumilia kwakweli kwasababu alikuwa anaulizia bei kwa kurudia rudia yani ukimaliza kumtajia bei ya cm ya mwisho kutoka kulia anarudi mwanzo tena anauliza umesema hii shingap ukimtajia tena anarudi katikati na hii shingap kifupi alinichosha alikuja kununua cm ya tsh 27k ya laini tatu. Nilipumua kwakweli maana shughuli ilihitaji uvumilivu sivyo unaweza mfukuzia mbali atokomee.

Wanati namfungia ile cm na kumuandikia risit jamaa akafika, alivoniona nipo na yule mteja akasimama kama mita tatu away then akarudi nyuma akawa anatuangalia. Nikamfungia then akakaa pembeni kwenye kisofa cha oficn akaanza kuweka laini zake na kuikagua kagua cm yake.

Kwakuwa hakukuwa na wateja wengi muda ule bas namm nilitoka dukani nikakaa naye pale nje akawa ananiuliza maswali juu ya ile cm, of course maswali mengine yalikuwa yanaboa lakini kama mfanya biashara nilitakiwa kumjibu tu, mara anauliza mbona hii cm haina camera ya mbele, mara haina earphones, mara mbona ni nyepesi siyo nzito kwahyo nikavumilia tu maswali yakaisha tukaingia kwatika stors zingine.

Tuchukue brek kidogo..........
Nimekumbuka Ile tamthilia ya ISIDINGO "THE NEED"

Tuweni na subra wadau maana subra ya vita kheri.
 
HIVI JAMANI MBONA KILA UZI WATU WANASEMA CHAI HIVI SHIDA NI NINI?

HAYA PICHA HII HAPA, HII TABIA INANIKWAZA SANA SASA KAMA KILA UZI NI UJI NYUZI ZIPI NI ZA KWELI? MNABOA MNAJIFANYA WAJUAJI SANA.
SISI WABONGO TUNASHIDA SANA, UJUAJI MWINGI NA UPUUZI NDO USISEME NDOMANA HATA TUNATAWALIWA KAMA MA MBUMBUMBU NA HATUFANYI CHOCHOTE KAZI KUFARIJIANA NA MAMBO YA KIJINGA.
SASA KUKOSEA TAREHE TU TYPING ERROR JITU LISHACOMMENT UJINGA, HUU NI UPUUZI WAPUUZI NYIE.


View attachment 3037205
Kuwa serious basi wengine hatutoki hapa Hadi umalizie hiki kisa!!
 
Kijana unakasirika ukiambiwa chai kwani hiyo siku tulikua wote ukimhudumia huyo dada mpaka kila mtu utake akuamini??

We leta story, hao wanaosema chai chai hiyo ni kawaida, kama hujui jf ni sehemu watu hutolea stress, kuna watu akimkera mtu basi ndo yeye hufurahi, na wewe ulivyo na roho nyepesi chap tu washakubeba.
 
CHAJ CHAI CHAI CHAI CHAI
GAHAWA GAHAWA GAHAWA
KASHATA KASHATA KASHATA
TANGAWIZI TANGAWIZI TANGAWIZI
 
HIVI JAMANI MBONA KILA UZI WATU WANASEMA CHAI HIVI SHIDA NI NINI?

HAYA PICHA HII HAPA, HII TABIA INANIKWAZA SANA SASA KAMA KILA UZI NI UJI NYUZI ZIPI NI ZA KWELI? MNABOA MNAJIFANYA WAJUAJI SANA.
SISI WABONGO TUNASHIDA SANA, UJUAJI MWINGI NA UPUUZI NDO USISEME NDOMANA HATA TUNATAWALIWA KAMA MA MBUMBUMBU NA HATUFANYI CHOCHOTE KAZI KUFARIJIANA NA MAMBO YA KIJINGA.
SASA KUKOSEA TAREHE TU TYPING ERROR JITU LISHACOMMENT UJINGA, HUU NI UPUUZI WAPUUZI NYIE.


View attachment 3037205
Chai.
 
Tuendeleee.....................

Nikakaa na yule mwanamke kwenye kile ki sofa nikaanza kumdadisi. Kwanza kabla sijaanza maswali yangu akasema anaenda police kushitaki, nikamuliza shida nini akanambia kuna kesi mbili.

Kesi ya kwanza kuna mtu alimpa kiasi cha laki na nusu kama mkopo yani huyu dada alimpa mtu wa hapo kijijini kwao maana anatokea vijijini huko milimani toka mwaka 2022 mpka leo hajamlipa sasa unajua watu wa hivi wakikukoposha pesa hata kama ni ndogo kazi utaipata huwa hawakati tamaa kirahisi kwenye kutafuta haki zao.

Kesi ya pili akanambia kuna nyumba yake anaijenga ameshajenga chumba kimoja ndo anacholala yeye na wanae wa kiume wawili.
Sasa alikuwa na mpango wa kuongeza chumba cha pili. Katika huo mpango ilimbidi amtafute mtu wa guta ili aje ambebee mchanga apeleke site.
Yule mjinga wa guta kapewa pesa sa trip mbili kasepa mazima ndo ikabidi aende kuripot police apewe na RB ili jamaa akamatwe. Akatoa pale makarataai yake ya reference ameyafunga kwenye mifuko ya nylon kama yote anadai hataki yachafuke wala mvua iliyafikie.

Basi nikamplease pale kumcomfort kwasababu ya hali yake Ile mimba kabakiza kama mwezi mmoja ajifungue.
Nikaanza kumuliza anakoishi akanambia, nikamuliza kuhusu baba wa watoto na Ile mimba akanambia wote walimkataa baada ya kumpa ujauzito.

Nikamuliza kwanini wanamkimbia akanijibu kwamba anashida ya kifafa akafunua mdomo kwenye lip ya chini kwa ndani kaumia akasema kaanguka siku si nyingi zimepita. Kwahiyo wanaume wanakuwa wanamkimbia kwasababu ya hilo tatizo japo pia mimi nikajiongeza kimoyomoyo kwamba shida ni wenge alokuwa nalo japo anaongea vzr tu na anamawazo ya kiutu uzima japo muda mwingine anachanganya maneno katika upangiliaji ila anajitahid katika communication na social interaction yupo vizuri.

Nikamuliza kuhusu ujauzito akanambia alimpigia cm mwanaume mwenye ule ujauzito akamkataa akamwambia akatafute baba wa huo ujauzito yeye hahusiki this statement kidogo initoe machozi kweli sisi wanaume TUNAZINGUA yani unamlala mwanamke then badae unakataa matunda wakat kipindi unamla ulikuwa unajua kabisa possible outcomes.

Nikamuliza ni vipi anaendesha maisha yake labda kama anamsaada wowote unaomuwezesha yeye kuihudumia familia yake na yeye mwenyewe akanijibu hakuna zaidi ya pesa za tassaf ambazo nazo mara zije mara zisije.

Nikamuliza ni kitu gani sasa kinakufanya uweze kujikimu katika maisha yako akanambia anafanya biashara na anapesa kama million moja na laki saba bank watu walimshauri afungue account ili akiwa anapata pesa kutoka katika biashara zake basi aweke bank, hapa alidai kwamba hapo mwanzo walikuwa wanamuibia pesa zake akitoka katika biashara zake akizifikiaha nyumbani watu wanaingia wanaiba huko vijijini including her relativea wenye akili timamu kabisa wanaingia wakati yeye hayupo na wanaiba pesa zake.

Tutaendele I am a bit busy...........
 
Back
Top Bottom