Huyu Mwanamke ni mfano wa kuigwa na wadangaji

Huyu Mwanamke ni mfano wa kuigwa na wadangaji

Mjianike humu ili kuwafurahisha watu ambao hawakuingizii chochote kwenye maisha yako?? 😹😹
Humu kuna raia wana stress, depression na wengine wanalog in wakiwa bar wanalewa.!!
Hata ulete kitu gani km uthibitisho watakupinga tyuu.!!
Ww endeleza chai yako usisome comments mpk iishe.
Hujaulizwa
 
Ole wako kwenye kuleta picha ya huyo binti kutuaminisha hii story, binti umuanike halafu wewe ujifiche.

Ukimuanika binti jianike na wewe, na huyo binti uwe ushamuuliza kama anataka picha yake uitumie kuaminisha watu jf au hataki, jali utu.

Huwezi kuaminiwa na kila mtu, jitahidi kucontrol hisia zako bw.mdogo.
 
Kwani ungesema kuwa wewe ndo baba wa Watoto na hiyo mimba ni Yako ungepoteza Nini mkuu?

Wanaume hatuangalii huyu chizi ama mbaya kitu kinaitwa unyevunyevu tu basi kama anacho Basi yatosha jangwani.
 
Ole wako kwenye kuleta picha ya huyo binti kutuaminisha hii story, binti umuanike halafu wewe ujifiche.

Ukimuanika binti jianike na wewe, na huyo binti uwe ushamuuliza kama anataka picha yake uitumie kuaminisha watu jf au hataki, jali utu.

Huwezi kuaminiwa na kila mtu, jitahidi kucontrol hisia zako bw.mdogo.
Usikute wewe ndio baba kijacho uliyekura kona
 
Back
Top Bottom