Huyu Mwanamke ni mfano wa kuigwa na wadangaji

Huyu Mwanamke ni mfano wa kuigwa na wadangaji

Katika kitu ambacho nimejisoma na nina uhakika nacho kuhusu mimi ni kwamba "sina roho mbaya".
Mimi ni mwepesi sana kugundua tatizo alilonalo mtu hata asiponambia, na huwa ni mwepesi sana wa kumuonea mtu huruma.
 
NULIKUWA BIZE SANA, MUENDELEZO KWA WANAOUHITAJI UTAKUJA JIONI NIPO BIZE NADHANI NATURE YA KAZI NAYOIFANYA MSHAIJUA NA YULE BINTI AKIRUDI TENA NITAPIGA NAYE PICHA NIWAONYESHE MAANA KUNA WAJINGA WENGI HAPA DUNIANI.
 
NULIKUWA BIZE SANA, MUENDELEZO KWA WANAOUHITAJI UTAKUJA JIONI NIPO BIZE NADHANI NATURE YA KAZI NAYOIFANYA MSHAIJUA NA YULE BINTI AKIRUDI TENA NITAPIGA NAYE PICHA NIWAONYESHE MAANA KUNA WAJINGA WENGI HAPA DUNIANI.
Acha kupoteza muda kutu prove wrong, sis wala hatujali. Iwe kwel au uongo cha muhimu wewe weka muendelezo...
uko busy kwel wewe??
 
HIVI JAMANI MBONA KILA UZI WATU WANASEMA CHAI HIVI SHIDA NI NINI?

HAYA PICHA HII HAPA, HII TABIA INANIKWAZA SANA SASA KAMA KILA UZI NI UJI NYUZI ZIPI NI ZA KWELI? MNABOA MNAJIFANYA WAJUAJI SANA.
SISI WABONGO TUNASHIDA SANA, UJUAJI MWINGI NA UPUUZI NDO USISEME NDOMANA HATA TUNATAWALIWA KAMA MA MBUMBUMBU NA HATUFANYI CHOCHOTE KAZI KUFARIJIANA NA MAMBO YA KIJINGA.
SASA KUKOSEA TAREHE TU TYPING ERROR JITU LISHACOMMENT UJINGA, HUU NI UPUUZI WAPUUZI NYIE.


View attachment 3037205
Mzee humu ndani ukitaka kuwa na amani wewe leta uzi wako uwe kama vile unajiandikia novel hujui watanunua au hawatanunua. Watu wana stress za maisha wako oves sana labda mwanzoni ungeanza kuwaambia wataosema stori yako Chai wote wakalie dole la kati.
 
Nikishaona Uzi sa kuunga unga nachulia tu kama hekaya za abunuazi..Wala siendelei kusoma....sijui hii Hali ipo kwangu tu?
 
NULIKUWA BIZE SANA, MUENDELEZO KWA WANAOUHITAJI UTAKUJA JIONI NIPO BIZE NADHANI NATURE YA KAZI NAYOIFANYA MSHAIJUA NA YULE BINTI AKIRUDI TENA NITAPIGA NAYE PICHA NIWAONYESHE MAANA KUNA WAJINGA WENGI HAPA DUNIANI.
Mjianike humu ili kuwafurahisha watu ambao hawakuingizii chochote kwenye maisha yako?? 😹😹
Humu kuna raia wana stress, depression na wengine wanalog in wakiwa bar wanalewa.!!
Hata ulete kitu gani km uthibitisho watakupinga tyuu.!!
Ww endeleza chai yako usisome comments mpk iishe.
 
Mzee humu ndani ukitaka kuwa na amani wewe leta uzi wako uwe kama vile unajiandikia novel hujui watanunua au hawatanunua. Watu wana stress za maisha wako oves sana labda mwanzoni ungeanza kuwaambia wataosema stori yako Chai wote wakalie dole la kati.
Tuwaitie RC mstaafu
 
Tuendeleee..........

Wakati tunaongea alikuwa anakohoa kohoa ikabidi pia nimulize kulikoni akanambia kwamba anashida pia ya kifua ndio maana kavaa maguo mengi na makubwa ili kujistili na baridi dhidi ya kifua.

Nikamuliza ni changamoto zipi zinazomkabili alitaja kadhaa lakini katika zote hakutaja kwamba anashida na pesa ndo ikabidi nimulize kuhusu pesa ya mahitaji gues what alinijibu pesa kwake so shida kwasababu anafanya biashara na anapata pesa na bank ana kama 1.7m na akanipigia mahesabu kwamba pea ya tassaf imetoka kapata laki na 20. Akasema anapita sokoni kuchukua kidumu cha mafuta cha Lita 5, ananunua mchele kilo 10, unga mahindi yapo kwake atasaga, ananunua pia dagaa kilo tatu na unga wa ngano kilo 25, amefuga ma bata kwake kwahiyo hayo yatakuwa ni maandalizi kwaajili ya kujifungua.

Akanambia watoto wake wote hawana shida mahitaji ya shule wapata wanakula vizuri na wanavaa.
Nikamuliza ni biashara gani anafanya akanambia anajumua kabichi, peasi na nanasi then anaziuzia hukohuko kwao milimani na pesa anapata ya kumtosha.

Nilipatwa na mshangao na nilikuwa na mengi ya kujiuliza, binti unakuta ana akili timamu na afya timamu lakini anaruhusu mwili wake utumike vibaya kama chanzo cha kipato kwake vitendo ambavyo vinawadanya mabinti wengi kuishia kuwa watu wa hovyo katika jamii.

Yule binti nilimuuliza ni kwanini sasa anaendelea kuzaa wakati mara zote anakimbiwa na wanaomzalisha.

Alinijibu kwamba kuna muda anapatwa na hamu ya kufanya mapenzi kwasababu unakuta anakaa hata miaka miwili bila kuguswa na mwanaume kwahiyo hamu ikimshika basi anatafuta mwanaume kitu ambacho sometimes kinaoelekea kupata ujauzito kwasababu hajui pia kutumia calendar na kutoa mimba hawezi.

Nikamuliza anajilinda vipi na magonjwa ya zinaa, hapa nilitamani kulia, alinijibu yeye anajua ni kutumia kondomu lakini wanaume anaokutana nao wengine wanakataa kutumia kondomu kwahiyo inambidi tu akubali ili hamu imuishe lakini akanambia huwa anahudhuria clinic na anaambiwa Hana ukimwi wala ugomjwa wowote wa zinaa.

Tutaonana.........
 
Back
Top Bottom