Huyu mwanamke wangu wa nje kanitamkia kuwa anahitaji siku moja tufanye “Threesome” nimeogopa sana mood ya kuendelea nae imepotea kabisa

Yaani huyo mwanamke mpeleke hadi dubai...wala usilaze damu demu anamleta rafiki yake kabisa. Gonga hiyo threesome mzeya utaenjoy balaa ila hakikisha wanakuwa wamegonga monde kabla ya majamboz. Kweli ipo addictive ila ukishindwa nialike dodoma niwape raha hao warembo
 
Mzee kapeleke moto " iyo mambo huwa naitamani siku niifanye " mi nishafanya ile ya masela wawili na maduu wawili room moja huwa inanoga balaa
Uzinzi sio dili mwana alafu hayo mambo sio ya muhim u ktk maisha, sasa ulipata faida gn? Dah haya ngoja niunge mkono jamaa mmoja mbowe sio gaidi
 
Kwa mwanamke ni vigumu sana kutamka haya kutokana na nature ilivyo kwao
Huenda tena labda kasema ila hapana haileti maana
Haya mambo huwa yanatokea aidha kwa bahati mbaya mnakuta yametokea tu au labda apange mwenyewe bila kukuambia

Yaani aje kwako huku akiwa kamuita rafiki yake hapo italeta maana

Lakini kukutamkia moja kwa moja ni ngumu ingawa siku hizi watoto pia wamekuwa walevi hilo nalo linawezekana
 
Safi sana Mkuu. Yani ogopa hio SANA kwa ww binafsi.. na sababu umeleta mada TUTAKUPA MSAADA. Tupatie namba yake tu Ujionee mwenyewe.. sababu TUPO hapa tutakusaidia kazi hio Fulu 😂😂😂
Wewe si uko ulaya mkuu utampata wapi?
 
Kwa namna yoyote ile tayar huyo mchepuko ni 3Gang sasa amua uachane nae au na ww ukajiunge bas shuhul iishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…