kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Mziki wenyewe ni kama hauweziMuziki ni Ajira, anapo imba hujiingizia kipato! usimdharau kwakuwa ndio passion yake!
Kama unaweza kuwa na channel za kumpa appart from music mcheki!
Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974
Anadhalilisha wazee wenzieMuache ainjoy maisha yake, zeeka wewe
Anauweza kulingana ma mazingira anayoimbia. Nyimbo nyingi anazoimba sana niza Kiingereza, ambazo huvutia sana hadhira iliyopo maeneo hayo.Mziki wenyewe ni kama hauwezi
Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974
kama unakereka na anachokifanya, kwanini unamfatilia kwenye mitandao ya kijamii?. mpige block ili usione content zake.Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974
huna akili.Anadhalilisha wazee wenzie
Nimeshangaa kusikia Kisauji hajui kuimba wallah kha!Kuhusu kuimba jamaa anaimba Tena haswa wala usimsingizie
Labda kwenye hayo mambo ya kitoto nakubali lakn napo anaingiza pesa kupitia hvyo vituko anapata deals nyingi Kama interviews ja connection za ...
Humjui vyema weweMziki wenyewe ni kama hauwezi