Huyu mzee kwanini hataki kuzeeka?

Huyu mzee kwanini hataki kuzeeka?

Mleta mada utakuwa hujui mziki, ukijua sana labda kina Marioo na Harmonize.

Huyu mzee ni multitalented anaweza imba nyimbo aina zote live tena smooth bila kupayuka kama show za fiesta.

Ukimsikiliza akiimba stuck on you, coward of the county, mysterious girl n.k halafu ukirudi kwenye lingala na zilipendwa za kina marijani rajab na tabora jazz usingesema hayo
 
Haumjui vizuri Babuu kisauji ,huyo ni mwanamuziki ,hata Asu yeye ndio aliyemtungia Misambano.
 
Ghafla nimemkumbuka Le mutuz super brand
Kweli kila mtu na bahati yake.

Le Mutuz anatukanwa kwa vituko vyake mtandaoni kuwa haviendani na umri wake, hapa Mzee huyu kwenye mada anatetewa!?

Diamond alisemwa sana kumkana baba yake, lakin Omy Dimpoz anatetewa kumkana baba yake.

YES, BAHATI YA MWENZIO USIILALIE MLANGO WAZI!!@#)(&%$=÷×%@(₩
 
Mbona kwenye insta yake anaonekana ni msanii tu anatafuta ugali wake?

Watu wanalipa kwenda kumuona kama wasingekuwa wanaridhika wasingelipa...
 
Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.

Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.

Sijui hata kama anawashauri huyu.

View attachment 2351974
Kama walivyotamka wajumbe wengine nami nakazia kwa kusema wewe mleta uzi ni MTU MPUMBAVU.
 
Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.

Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.

Sijui hata kama anawashauri huyu.

View attachment 2351974
kavutiwa na danga lako nini mjomba, mbona dis za kutosha ivo?
 
Kila mtu haangaike na mambo yake.
Kwanza kumjadili mtu ni akili ndogo tu ndio hufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom