Huyu mzee kwanini hataki kuzeeka?

Huyu mzee kwanini hataki kuzeeka?

.we live once
EMOxdHHXsAI9oYM.jpeg
 
Anadhalilisha wazee wenzie
Wewe bado una ule utamaduni wa kizamani wa kutaka wazee wajiepushe na starehe waishi kama wafungwa. Zamani mtu mzee hata akiwa anatoka toka nyumbani utasikia anasimangwa. Maisha yamebadilika sana na ile miiko ya kijinga iliyokuwa inawekwa kuongoza makundi mbali mbali kama wanawake, watoto au wazee ni hadithi.
 
Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.

Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.

Sijui hata kama anawashauri huyu.

View attachment 2351974
Mind your business lady! Nimeenda utube nimekuta ulichoandika hapa ni upupu mtupu
 
Back
Top Bottom