Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.we live once
Wivu tu unakutesa Mpwa, hahahahahahaAnajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974
Yaani anajuaKisauji anajua mpaka anajua ten,
Namfuatilia vizuri yupo sawa kabisa tofauti na unavyotaka kutuanibisha.
Mziki ni biashara anapata riziki.
Ni kama?? sawa tuambie anaye weza mziki ni nani?Mziki wenyewe ni kama hauwezi
A man is as old as he feels, a woman is asa old as she looks.Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974
Wewe bado una ule utamaduni wa kizamani wa kutaka wazee wajiepushe na starehe waishi kama wafungwa. Zamani mtu mzee hata akiwa anatoka toka nyumbani utasikia anasimangwa. Maisha yamebadilika sana na ile miiko ya kijinga iliyokuwa inawekwa kuongoza makundi mbali mbali kama wanawake, watoto au wazee ni hadithi.Anadhalilisha wazee wenzie
Mind your business lady! Nimeenda utube nimekuta ulichoandika hapa ni upupu mtupuAnajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974
Umemjibu kimaudhi sana..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Muziki ni Ajira, anapo imba hujiingizia kipato! usimdharau kwakuwa ndio passion yake!
Kama unaweza kuwa na channel za kumpa appart from music mcheki!