The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mleta mada kachimba shimo kisha akachimba shimo lingine ndani ya shimo halafu akajifukia kwa aibu ya hizi comment zilivyo muandama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMleta mada kachimba shimo kisha akachimba shimo lingine ndani ya shimo halafu akajifukia kwa aibu ya hizi comment zilivyo muandama.
Labda jamaa hajui namna ya Ku_block wale asiopenda posts zao. Hilo ndilo LA kufanyakama unakereka na anachokifanya, kwanini unamfatilia kwenye mitandao ya kijamii?. mpige block ili usione content zake.
kama mziki unaojua wewe ndio huu wa Comi namba wani,au inama tupachike rungu pangoni au nichue ngiri kwa maji ya madafu....sikulaumi kusema "Bablum Kisauji hajui mziki" endelea kutojua mziki!!Mziki wenyewe ni kama hauwezi
Njoo nikupelekeHuyu jamaa anaimba bhana, natamani kumuona live
Shukran sana😃Njoo nikupeleke
Kapotelea wapi yule mzee babaGhafla nimemkumbuka Le mutuz super brand
Sijui yupo wapi mara ya mwisho ni picha zake akituonesha akiwa hospital India...hata kwenye university bash haonekani tenaKapotelea wapi yule mzee baba
LolAha..mmenichamba eeeh