muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Mwamba ni balaaa sana huyu!Anauweza kulingana ma mazingira anayoimbia. Nyimbo nyingi anazoimba sana niza Kiingereza, ambazo huvutia sana hadhira iliyopo maeneo hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba ni balaaa sana huyu!Anauweza kulingana ma mazingira anayoimbia. Nyimbo nyingi anazoimba sana niza Kiingereza, ambazo huvutia sana hadhira iliyopo maeneo hayo.
Sio huyu, anayetajwa na Bob Junior ni mtoto wa huyuBabuu kisauji...huyo ndie alimpa connection bob junior kwenye muziki[emoji16][emoji23]
Hujui muzikiMziki wenyewe ni kama hauwezi
Wajinga wajinga ndio huishi mda mrefu...wewe kuwa siriaz kwa kila kitu uone kama hujafa na presha.Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974
inauma sana pale unapokuja kifua mbele jf kuanzisha uzi halafu unakula uppercut chembe kidevu kupitia uzi wako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Limekimbia uzi kwa aibu
Alijua anaongea vya maanainauma sana pale unapokuja kifua mbele jf kuanzisha uzi halafu unakula uppercut chembe kidevu kupitia uzi wako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inakuhusu nini wewe, kavae dels bn, hayo ni maisha yake we kaa kilalamika yeye anapiga mkwanja kwa vitu unavyoviita vya kipumbavu watu wanamlipahata weee ulikodownload video yako umemfanya alipweAnajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974
Babuu kisauji...huyo ndie alimpa connection bob junior kwenye muziki[emoji16][emoji23]
Kweli kabisa mzee huyu kajichetua uzeen mi naona ana upungufu wa akili na si mzima kabisaAnajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu.
Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki.
Sijui hata kama anawashauri huyu.
View attachment 2351974