Huyu Mzee Mstaafu askari wa IDF Anachozungumza Ndicho IDF Imefanya Gaza

Huyu Mzee Mstaafu askari wa IDF Anachozungumza Ndicho IDF Imefanya Gaza

Palestine ipo na mipaka ipo, tatizo lao hawataki kukubali uwepo wa Israel, lakini wanataka Israel akubali uwepo wa Palestine, hapo kazi ipo.

Kwani utaifa wako unataka nani autambue ndio uwepo? wamezagaa kila kona ya dunia wanajiita Palestinian, sasa wanakuwaje na utaifa kama halipo?

PLO ilishindwa na HAMAS na HEZbollah watashindwa, huwezi kumkataa mwenzako lakaini unataka yeye akukubali.
Wakubali uwepo wa Israel naye atakubali uwepo wao.

Wana nunua ugomvi usio wahusu, IRAN anataka sifa anawatumia wengine kupigana, HAMAS na HEZBOLLAH wamejitolea kubeba ugomvi wa IRAN dhid ya Israel, sasa ISRAEL ikiwaua inakosa gani?

Wapalestina wangeachana na IRAN, wakaishi na jirani yao kwa amani wala kusingekuwa na shida yoyote lakini ugomvi wa kujitakia, mnavuna mauti ya kujitakia.
 
Basi ni rahisi.Palestina wakawaambie Uingereza wawaoneshe uhuru wao ulipo.Laa sivyo wataendelea kuchakaa.
Brits wapi tena, nshakuambia ile ni Israel ya mchongo wale ni wazungu kutoka EU wapo pale kwa kujificha kwenye mwavuli wa Israel, ndio maana hata hizo agenda LGBTQ wanazitambua.

Hakuna uyahudi wala watoto wa Yakobo, ukoloni ni ule ule , ndio maana wengi hapa mnashangaa kuna kitu gani Israel kusaidiwa silaha na misaada kiasi kile, ndipo utambue wale ni wazungu hakuna cha jews.

David Cameron mwenyewe alishasema yeye ni mzayuni....
 
Palestine ipo na mipaka ipo, tatizo lao hawataki kukubali uwepo wa Israel, lakini wanataka Israel akubali uwepo wa Palestine, hapo kazi ipo.

Kwani utaifa wako unataka nani autambue ndio uwepo? wamezagaa kila kona ya dunia wanajiita Palestinian, sasa wanakuwaje na utaifa kama halipo?

PLO ilishindwa na HAMAS na HEZbollah watashindwa, huwezi kumkataa mwenzako lakaini unataka yeye akukubali.
Wakubali uwepo wa Israel naye atakubali uwepo wao.

Wana nunua ugomvi usio wahusu, IRAN anataka sifa anawatumia wengine kupigana, HAMAS na HEZBOLLAH wamejitolea kubeba ugomvi wa IRAN dhid ya Israel, sasa ISRAEL ikiwaua inakosa gani?

Wapalestina wangeachana na IRAN, wakaishi na jirani yao kwa amani wala kusingekuwa na shida yoyote lakini ugomvi wa kujitakia, mnavuna mauti ya kujitakia.
Rudia kusoma tena historia vyema.
Kasome Balfour declaration..

Hio sehemu yote Israel wanakaa unajua iliitwa British Palestine?
 
Waislamu na propaganda
Sasa uislamu wapi na wapi?
Mbona unatumia akili ndogo sana na ujinga mwingi, kama hujui kinachoendelea sio lazima ukomenti..

Wengi wenu mnaochukulia huu mgogoro ni udini vichwani ni weupe...

Mada zenu ni kula tunda kimasihara... Lakini kusoma hata page 2 za historia huwezi... 😂
 
Kwani mkuu, Israel ilikuwa wapi kabla ya WW2?
Kama wao walitoka huko waliko hawana ardhi wakafika pale wamekaribishwa...

Kwanini wasiruhusu wenzao wawe na taifa linalotambulika? Si uonevu huo?
Hata uwe umevuta bangi kiasi gani lakini hii ya Israel kuanzishwa 1948 as if haikuwahi kuexist inahitaji kujitoa ufahamu.
 
Brits wapi tena, nshakuambia ile ni Israel ya mchongo wale ni wazungu kutoka EU wapo pale kwa kujificha kwenye mwavuli wa Israel, ndio maana hata hizo agenda LGBTQ wanazitambua.

Hakuna uyahudi wala watoto wa Yakobo, ukoloni ni ule ule , ndio maana wengi hapa mnashangaa kuna kitu gani Israel kusaidiwa silaha na misaada kiasi kile, ndipo utambue wale ni wazungu hakuna cha jews.

David Cameron mwenyewe alishasema yeye ni mzayuni....
Wayahudi unaodhani si wa mchongo wako wapi sasa?
 
Ilikuwepo mwaka gani hapo?
Naomba jibu.
Jipe utulivu pitia hapa. Ukiweza pinga kwa hoja.

 
Wayahudi unaodhani si wa mchongo wako wapi sasa?
We uliona taifa la kiyahudi linakubali LGBTQ?😂
Hivi mbona mambo mengine mbona simple hata ukitumia akili za kuvuka barabara mzee?

Kwamba nchi ya ahadi...

Pale miaka ya 1920 paliitwa British Palestine.
 
Jipe utulivu pitia hapa. Ukiweza pinga kwa hoja.

Nitapitia...
Ahsante.
 
Jipe utulivu pitia hapa. Ukiweza pinga kwa hoja.

Hivi jiji la yerusalemu lina miaka mingapi kule middle east,? Ili tupate kufahamu umri wa Israel huko mashariki ya kati angalau kidogo,

Ikiwa Tanzania ina jumla ya miaka siyo sio zaidi ya 70 tangu kuundwa kwake, ikiwa marekani ina angalau jumla isiyozidi 300 tangu kuundwa kwake hivi lile jiji pale Middle East la yerusalemu lina muda gani ni zaidi ya miaka 5000 hivi au 4000 hivi na nijiji la israeli how israeli iundwe miaka ya 1948 kama ilikuwa na majiji ya kale kupita majiji yote duniani

100 others unajua rafiki yangu baada ya dola la rumi kuanguka miaka ya 1800 kama ufalme ulio tawala dunia ndipo mfumo wa mataifa ya kisiasa yalipo anza kuundwa mfano marekani, china, japan, Tanzania nk, kwamba zamani dunia hakuwai kuwa na mfumo wa serikali za kisiasa bali za kifalme Kwahiyo kuundwa kwa Israel kama taifa miaka ya 1948 hatuwezi kutafsiri kama ndio mwanzo wa uwepo wake bali ndio mwanzo wa mfumo wa serikali ya kisiasa lakini israeli ilikuwepo tangu kale kama tawala za kifalme.
 
Rudia kusoma tena historia vyema.
Kasome Balfour declaration..

Hio sehemu yote Israel wanakaa unajua iliitwa British Palestine?
Ubishi kila kitu ndio maana mnauwawa bila sababu za msingi.

Unajua pale ulipojengwa uwanja wa Mkapa palikuwa panaitwaje zamani? Leo panaitwa kwa Mkapa. Sasa wewe nenda na historia zako.

Sasa hivi ni Israel, utake usitake itabaki kuitwa hivyo.
 
magnifico na 100 others

Hapo zamani Tanzania ilitawaliwa na machifu haikuwa na mfumo wa kisiasa hadi pale ilipo pata uhuru wake ndipo ikaunda jina Tanzania haimaanishi kwamba wakati huu ndio tutaanza kuhesabu kuwa Tanzania ndio imeanza kuwepo bali ndio imeanza kuwa kama taifa la kisiasa, na ndiyo vile vile zamani hakukuwa na waziri wala raisi kule israeli au kule china au korea kulikuwa na wafalme na machifu

Kwa mataifa haya kuhusu kuingia kwenye mfumo wa kisiasa haimaanishi ndio kwamba yameanza muda huo, baadhi ya mataifa ambayo yameendelea angalau kuwa na utawala wa kale wa kifalme ni England hili ni taifa ambalo bado lina mfalme unajua historia ya ufalme wake ni nini? Ule ni mfumo wa kale wa utawala katika eneo hilo
 
Kwa hiyo hizo rockets zinazorushwa kutokea Gaza, ni mawe yanarushwa kwa manati?
Mlishabikia sana mlipoua watoto wa Wayahudi.
 
We uliona taifa la kiyahudi linakubali LGBTQ?😂
Hivi mbona mambo mengine mbona simple hata ukitumia akili za kuvuka barabara mzee?

Kwamba nchi ya ahadi...

Pale miaka ya 1920 paliitwa British Palestine.
Kwa hiyo unataka mimi niwachagulie ya kufanya?Mbona wewe umechagua kujitoa ufahamu na hakuna anayekubughudhi?
 
Wale majamaa waliovamia Israel na yale mapikipiki ya kupaa angani na kukata watu vichwa wameenda wapi? Hakuna nchi itavumilia vitendo vya namna ile kutoka kwa jirani yake. Urusi alisikia tuu Ukraine anaanza kutengeneza silaha na huenda akajiunga na NATO akavamia haraka haraka. Tena naona Israel ilichelewa hata maadau wake wakaota pembe.
Hata hayo mashambulizi ya Hamas Oct 7 ni baada ya mauaji na mnanyanyaso ya muda mrefu naamini Palestinians raia wake wameuawa wengi zaidi kabla ya hio oct 7.

Ni muda sasa Israel iwaache Palestinians iwe nchi kamili.

Kinachofanyika Gaza ni genocide, ni mauaji ya makusudi kwa kisingizio cha hamas wanatumia human shield.
 
Genius Man, ume-raise hoja muhimu; was Jerusalem established in 1948? If not, when? Who owned the city during those old days of its establishment?

Hoja ya Jerusalem ikijibiwa bila mihemuko wala propaganda itatupa mwanga kuhusu uhalali wa taifa la Israel maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom