Huyu Mzee Mstaafu askari wa IDF Anachozungumza Ndicho IDF Imefanya Gaza

Huyu Mzee Mstaafu askari wa IDF Anachozungumza Ndicho IDF Imefanya Gaza

Hio october 7 ilikuwa ni kisasi cha Hamas dhidi ya mauaji na unyanyasaji wa jeshi la Israel, hao ugomvi wao hukuanza oct 7..

Ukirudi nyuma utagundua tu Israel ndiye tatizo, hadi hao Paleatinians wanafanya kile tarehe 7 Oct walikuwa wamechoka, na wao ni binadamu...

Kama mtu hapa Tanzania, tunasikia mtu kamuua mpenzi wake kwa kumpiga risasi au kumchoma moto, vipi mtu anayeua watoto wako, anakalia ardhi yako kimabavu, utafanya nini?

Hao Palestinians ni watu kama sisi, wanaumia na wana kikomo cha kuvumilia...

Ndio maana kina Nyerere waliiunga mkono Paleatine, kina Mandela, si kwa sababu ya udini la hasha, ila ule ni ukoloni.

Hata South Africa wananchi wamepambana sana na makaburu kudai ardhi yao. Ndio maana SA wengi ni Pro Palestine cause issue inawakumbusha pia wao nyakati zao na harakati za kupambania uhuru.


Israel akubali, Palestine itambulike taifa, vita haitosimama.
Ona na wewe ulivyosimama kwenye upande!

Kwa hiyo suluhu ama haki hutafutwa kwa kulipiza kisasi?

Mtu akikupiga nawe ukampiga tayari huo ni ugomvi.

Palestinians hawakustahili kutafuta suluhu kwa kufanya ugaidi.

Ugaidi kwa kingereza ni terrorist, kuwatisha mahasimu kwa kuteka watu wao ili watekeleze unachokitaka, hilo ni kosa la kisheria za kimataifa

Sasa uliyemtisha naye kajibu tishio kwa ukamilifu unaopaswa, matokeo ni mwendo wa kulia lia na kukimbizana kwenye mahandaki kama nyaga pamoja na kuwakinga raia kama ngao.

Mwana kulitafuta mwana kulipata, hivyo ni vita hatupaswi kuelekeza lawama ama upendeleo kwa upande wowote, wacha wapambane, mshindi ndiye atakayelibeba kombe.
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Yaani HAMAS waue watu halafu saizi eti mnaketa story za kipuuzi. Wapamane na hali yao
 
Hapo wa kushauriwa ni Israel awaachie hao jamaa ardhi yao, na watambulike kama taifa.

Hata babu zenu kina Kinjekitile, Chief Mkwawa n.k walipambana na ukoloni, ndicho kinachotokea hapo ME.

Hata South Africa walipambana na mkaburu, na ndicho kinachotokea Gaza, ila wazee wa mihemko watakuambia ni wavaa kobazi...
Inawezekana huwa unasoma sana hadithi badala ya habari Ungekuwa mfuatiliaji ungejua kuwa waarabu wa Palestine mwaka 1948 walipewa 48% ya eneo lote, lakini Waarabu waliwazuia wasikubali kwa vile wao watawasaidia kuwaua wayahudi wote, hivyo wao waarabu wa Palestine watapata 100% ya eneo lote. Mwaka huo huo wa 1948, kwa msaada wa nchi za kiarabu, walianzisha vita, wakadondwa. Myahudi akazidi kujimegea eneo, maana aliyepewa amelikataa. Mwaka 1956, wakaanzisha vita tena, wakadundwa tena, myahudi akaongeza eneo. Mwaka 1967 wakaanzisha vita tena, wakapigwa. Mwaka 1972, wakaanzisha tena, wakapigwa tena. Misri iliyokuwa kiongozi wa kuwaambia waarabu wa Palestine wakatae, kwa vile watawamaliza wayahudi wote, akawa wa kwanza kusalimu amri na kuomba uhusiano wa kibalozi na wayahudi.

Iran na makundi yake ya kigaidi bado wameshikilia msimamo wao kuwa wazayoni lazima wamalizwe Duniani, wasiwepo.

Tuwaache, tuone jinsi Iran itakavyowafuta wazayuni duniani.
 
Unachokiamini siwezi kukubadilisha.Asante.
Yaani wataisha wote tatizo la kizazi hiki ujuaji mwingi soma biblia aliyoyatabiri yesu kuhusu taifa la Israel kutawanyika kwake na kurudi kwake hata hicho kipande cha palestinians lazima liwe lote kwa Israel na ndiyo maana kila walioamua mipaka vita Tambua tangu zamani hiyo ardhi haikuwa ya Israel ilikuwa ya wafilist walipewa kiunabii hiyo nchi na siyo kuwa Israel ni watu wema kivile wana mabaya yao ila bahati nzuri tayari wana kibali kwa Mungu ya ahadi za Ibrahim sisi nawe tukiweka ushabiki wa kidini inakula kwetu tuwaachiye wayamalize wenyewe
 
Umw
Inawezekana huwa unasoma sana hadithi badala ya habari Ungekuwa mfuatiliaji ungejua kuwa waarabu wa Palestine mwaka 1948 walipewa 48% ya eneo lote, lakini Waarabu waliwazuia wasikubali kwa vile wao watawasaidia kuwaua wayahudi wote, hivyo wao waarabu wa Palestine watapata 100% ya eneo lote. Mwaka huo huo wa 1948, kwa msaada wa nchi za kiarabu, walianzisha vita, wakadondwa. Myahudi akazidi kujimegea eneo, maana aliyepewa amelikataa. Mwaka 1956, wakaanzisha vita tena, wakadundwa tena, myahudi akaongeza eneo. Mwaka 1967 wakaanzisha vita tena, wakapigwa. Mwaka 1972, wakaanzisha tena, wakapigwa tena. Misri iliyokuwa kiongozi wa kuwaambia waarabu wa Palestine wakatae, kwa vile watawamaliza wayahudi wote, akawa wa kwanza kusalimu amri na kuomba uhusiano wa kibalozi na wayahudi.

Iran na makundi yake ya kigaidi bado wameshikilia msimamo wao kuwa wazayoni lazima wamalizwe Duniani, wasiwepo.

Tuwaache, tuone jinsi Iran itakavyowafuta wazayuni duniani.
Umenena vema tatizo la waswahili wa dini ya kiislamu humu wanadhani ni dini inapigwa pale ni ardhi inagombaniwa na unabii wa Yesu aliyeuliwa na hao wayahudi alitabiri taifa la kizazi hicho kitaisha kisha taifa litachupuka upya na walimkana lazima warudi wote na lazima wate wamuubiri duniani kote ndipo laana yao itaisha kwa sasa ole wao wanaoshindana nao hawatapata ushindi aliyebarikiwa kabarikiwa tu
 
Yaani wataisha wote tatizo la kizazi hiki ujuaji mwingi soma biblia aliyoyatabiri yesu kuhusu taifa la Israel kutawanyika kwake na kurudi kwake hata hicho kipande cha palestinians lazima liwe lote kwa Israel na ndiyo maana kila walioamua mipaka vita Tambua tangu zamani hiyo ardhi haikuwa ya Israel ilikuwa ya wafilist walipewa kiunabii hiyo nchi na siyo kuwa Israel ni watu wema kivile wana mabaya yao ila bahati nzuri tayari wana kibali kwa Mungu ya ahadi za Ibrahim sisi nawe tukiweka ushabiki wa kidini inakula kwetu tuwaachiye wayamalize wenyewe
Niliandika "Asante" sijui kama uliiona?
 
Kwa hiyo ardhi/nchi ya Israeli iko wapi hapa duniani?
Kwani mkuu, Israel ilikuwa wapi kabla ya WW2?
Kama wao walitoka huko waliko hawana ardhi wakafika pale wamekaribishwa...

Kwanini wasiruhusu wenzao wawe na taifa linalotambulika? Si uonevu huo?
Hapo Israel walipo ndiyo kwao na hata Waarabu wastaarabu na wenye hekima wanashuhudia hivyo. Hao Wapalestina ndo waache vurugu warudi kwao..

View: https://x.com/sanderson17280/status/1774137548605993180?t=s7Qp7LsCkxnF0Cg5nKuU5g&s=09
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Weka na aya za Quran zinazosema kuangamiza Wayahudi hata wakijificha nyuma ya mawe yatazungumza kusema hey kuna jahudi kajificha hapa mje mumuue.. Dini ya Iblis uislam..

Tukusaidie Sura al maedah 51
 
Back
Top Bottom