Huyu Mzee Mstaafu askari wa IDF Anachozungumza Ndicho IDF Imefanya Gaza

Huyu Mzee Mstaafu askari wa IDF Anachozungumza Ndicho IDF Imefanya Gaza

Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Tena wabeba mimba ndio wakuanza nao. Maana mwanaume mmoja anaweza kuzaa hata na wanawake 1000.
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Kwa hiyo tufanyaje sasa?

Tuandamane au?
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Wewe ni mbumbumbu na mvivu wa kusoma, na wapumbavu kama wewe ni kuwaacha mpate lesson kwa vitendo; kwamba huko Gaza, Lebanon, Yemen hao islamists wako waabudu kaallah watapigwa na hako allah hakawasaidia viongozi wao watapukutishwa mmoja baada ya mwingine.hatimaye the head of the octopus the Ayatollah Ali Khamenei naye atapelehwa kwa mabikira 72.
Yaani wewe unajifanya hukusoma kuwa Sinwar alikuwa anaomba israel kumspare uhai wake? Haujui kuwa alipokutwa ndiyo alikuwa njiani atorokee Egypt kwa msaada wa some Army official wa Egypt? Wajifanya hujui kuwa alikuwa na fake passport ya kutorokea, akiwa na a lot of dollas. Sasa nikwambie kuwa wewe muislam wa mchongo wenzio Sunni wa Middle East huko Saudia, UAE na kuingine wanampigia video call Netanyahu kumshukuru. Ona hapa chini

View: https://x.com/AzatAlsalim/status/1847395554453536901
Na huko Gaza baadhi ya watu wanamshukuru waziwazi Netanyahu

View: https://x.com/MahyarTousi/status/1847205926123507734

View: https://x.com/Osint613/status/1847055502351782132
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Angalau mumeanza kuwaelewa hawa watu rafiki kabisa ya walokole, wamebadili vitabu vyenu na vyao muwaone wa maana ila ipo siku watu wote watawajua
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Vipi na hao waarabu wanaotaka kuifuta Israel kwèñye uso wa Dunia
Wewe ukisikia Mtu anataka kukufuta wewe na kizazi chako utafanyaje kama sio kuanza kuwafuta waô?
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Onesha kambi moja tu ya Hamas ( military camp) kudhibitisha kua Hamas hawatumii wanawake na watoto Kama human shields na makazi ya raia kama shule na hospital Kama military camp zao onesha Moja tuuuu

nikuoneshe kuku mwenye mguu mmoja Niko pale uniite nani vile hahaha
 
Kwani mkuu, Israel ilikuwa wapi kabla ya WW2?
Kama wao walitoka huko waliko hawana ardhi wakafika pale wamekaribishwa...

Kwanini wasiruhusu wenzao wawe na taifa linalotambulika? Si uonevu huo?
"The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”

 
Uswahili ndio huu..
Mijadala ya namna hii huwa siwezi, swali jepesi sana ilipaswa ujibu kwa maelezo machache tu.
20241019_081549.jpg

GOD BLESS ISRAEL
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.

NDO ULIVYODANGANYWA NA SHEIKH KITINKU?
HAYA NENDA KACHUKUE BIKRA 72
Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
 
Maneno mengi tumeshaongea sana humu ugomvi wote huu chanzo kikuu ni oct 7

Nenda kawasaidie ndg zako acha kupiga porojo nyingi hapa hazitasaidia lolote . Tutaendelea kuwamaliza magaidi wote kadri iwezekanavyo
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Yani hapo ndio mwisho wa akili yako!! Unafikiri kujificha kwa kiongozi wa Hamas Sinwar ni sawa na kujificha kwa wanamgambo wa level ya chini wa Hamasi? Hapo wanaozungumziwa human shield ni wanamgambo wa level ya chini au kati ambao ni wengi. Ukishakuwa kiongozi wa juu kama Sinwar hawezi kujificha kwenye kundi la raia vinginevyo iwe imetokea amezidiwa kwenye mapigano then ajichanganye kwa raia.

Hicho kinachosemwa wanamgambo wa Hamasi kujificha kwa raia ni kitu sahihi tu, na wala si ajabu kwa mwanajeshi au mgambo ambae amezidiwa kwenye uwanja wa vita na ndio maana adui anapogundua hilo anawapelekea tu moto bila kujali kwenye kundi kuna raia au la.
 
😂😂😂😂😂Kama Israeli imeundwa mwaka 1948 na Palestina ilikuwepo,sasa Israeli wawapeje utaifa tena waliokuwa nao tayari?Kwani ni nani aliwapoka Palestina utaifa wao hadi waudai tena?
Sasa wewe unaongea kuwa taifa la Israel kimeundwa 1948 kwa mujibu wa UN lakini tambua kabla ya UN taifa hilo la kitambo kama wewe ni msomi soma taifa la rumi ndiyo utayafuta hayo mawazo ya waalimu wa madarasa na tangu kuumbwa kwa ulimwengu hapajakuwepo taifa wa nchi ya wapalestina kwa taarifa yako mrumi baada ya kumshinda Israel kwa kuwa ndilo taifa lilikuwa tishio kwa warumi baada ya kumshinda wayahudi wengi wala tawanyika ulimwenguni kote wengi walikimbilia Eritrea na Ethiopia american na Maida ya ulaya ndipo mrumi kawakaribisha jamii ya kiarabu kwakuwa wayahudi walibakia wachache baadaye wakaongezeka wakaanza kupewa nguvu na wale waliotanyika kwakuwa huko kote walikoenda wayahudi walienda kuwa matajiri hivyo wanarudi na bado hawajarudi wote na kibiblia sharti warudi wote kwa hiyo wenyekudhani wapalestina wasipokubali kuishi na wayahudi kwa amani hakuna jiwe litasalia na huyo waajemi wamejiwekea jiko la mkaa kichwani huo mzozo ukiingilia kwa hao wayahudi lazima upate anguko saidia siyo wajinga wanajua bora wasiingiliye
 
Sasa wewe unaongea kuwa taifa la Israel kimeundwa 1948 kwa mujibu wa UN lakini tambua kabla ya UN taifa hilo la kitambo kama wewe ni msomi soma taifa la rumi ndiyo utayafuta hayo mawazo ya waalimu wa madarasa na tangu kuumbwa kwa ulimwengu hapajakuwepo taifa wa nchi ya wapalestina kwa taarifa yako mrumi baada ya kumshinda Israel kwa kuwa ndilo taifa lilikuwa tishio kwa warumi baada ya kumshinda wayahudi wengi wala tawanyika ulimwenguni kote wengi walikimbilia Eritrea na Ethiopia american na Maida ya ulaya ndipo mrumi kawakaribisha jamii ya kiarabu kwakuwa wayahudi walibakia wachache baadaye wakaongezeka wakaanza kupewa nguvu na wale waliotanyika kwakuwa huko kote walikoenda wayahudi walienda kuwa matajiri hivyo wanarudi na bado hawajarudi wote na kibiblia sharti warudi wote kwa hiyo wenyekudhani wapalestina wasipokubali kuishi na wayahudi kwa amani hakuna jiwe litasalia na huyo waajemi wamejiwekea jiko la mkaa kichwani huo mzozo ukiingilia kwa hao wayahudi lazima upate anguko saidia siyo wajinga wanajua bora wasiingiliye
Sidhani kama unaelewa hata nilichokieleza hapo na msimamo wangu.Uwe unanisoma vema.Asante.
 
Unatafuta huruma na afua ya vipigo kutoka kwa mazayuni?Ulipaswa uwashauri walioanzisha uchokozi wa 7 October watumie akili njema kuwaepusha raia na dhahma hiyo.Kwani walitegemea ingekuwa ni sherehe ya kula ubwab
Tofauti ya dini ndio inakufanya uwe kipofu ila naamini kwenye nafsi zenu mnajua ukweli
 
Sidhani kama unaelewa hata nilichokieleza hapo na msimamo wangu.Uwe unanisoma vema.Asante.
Shida wewe unafafanua ukiwa na elements za udini pale kinachogombewa ni ardhi siyo dini wengine wanatumia dini ilikupata kuungwa mkono kama hamas wanavyojificha kwa watoto na wamama ili kupata huruma ila mimi nawalaumu wapalestina walioukataa mpango wa UN kama wenzao Israel wao walivyokubali ona sasa wamekuja kujikuta wamekuwa ndani ya taifa moja ila kwa unabii bado
 
Shida wewe unafafanua ukiwa na elements za udini pale kinachogombewa ni ardhi siyo dini wengine wanatumia dini ilikupata kuungwa mkono kama hamas wanavyojificha kwa watoto na wamama ili kupata huruma ila mimi nawalaumu wapalestina walioukataa mpango wa UN kama wenzao Israel wao walivyokubali ona sasa wamekuja kujikuta wamekuwa ndani ya taifa moja ila kwa unabii bado
Unachokiamini siwezi kukubadilisha.Asante.
 
Back
Top Bottom