Huyu Mzee Mstaafu askari wa IDF Anachozungumza Ndicho IDF Imefanya Gaza

Huyu Mzee Mstaafu askari wa IDF Anachozungumza Ndicho IDF Imefanya Gaza

Hio october 7 ilikuwa ni kisasi cha Hamas dhidi ya mauaji na unyanyasaji wa jeshi la Israel, hao ugomvi wao hukuanza oct 7..

Ukirudi nyuma utagundua tu Israel ndiye tatizo, hadi hao Paleatinians wanafanya kile tarehe 7 Oct walikuwa wamechoka, na wao ni binadamu...

Kama mtu hapa Tanzania, tunasikia mtu kamuua mpenzi wake kwa kumpiga risasi au kumchoma moto, vipi mtu anayeua watoto wako, anakalia ardhi yako kimabavu, utafanya nini?

Hao Palestinians ni watu kama sisi, wanaumia na wana kikomo cha kuvumilia...

Ndio maana kina Nyerere waliiunga mkono Paleatine, kina Mandela, si kwa sababu ya udini la hasha, ila ule ni ukoloni.

Hata South Africa wananchi wamepambana sana na makaburu kudai ardhi yao. Ndio maana SA wengi ni Pro Palestine cause issue inawakumbusha pia wao nyakati zao na harakati za kupambania uhuru.


Israel akubali, Palestine itambulike taifa, vita haitosimama.
Walikuwa na asila na israel na sio tanzania.......kwanini waliua watanzania wenzetu bila hatia na wakati hawakuwakuta hata na kiwembe??? Waache waipate maana israel ametulipia pia watanzania wenzetu waliokufa kinyama kama wezi au majambazi......huku familia zao zikiwa hazina msaada wowote........tena maiti ya mmoja mpaka leo haijawai kupatikana
 
Yani kwamba Kuna mtu alikuwa hajui hili?, ajabu kweli kama ulikuwa hufahamu...ikiwa akili yako Iko free, Yani haijazongwa na masuala ya dini, itikadi nk za huko mashariki ya kati lazima ujue Hilo, Israel anatumia kisingizio chochote Ili kuangamiza na kuwarudisha nyuma waarabu, ni aidha upotee au uungane naye. Nchi kama Saudi, Qatar nk wamefanikiwa, kinachotokea hv Sasa Israel anapigana na Iran peke yake, waarabu ni miongoni mwa watu wapumbavu na wajinga (wametuzidi akili kidogo, Kwa maana ya kujikubali) baada ya sisi Africans. Mwarabu yyte ni adui wa muisrael hasa the so called Jews.
 
magnifico na 100 others

Hapo zamani Tanzania ilitawaliwa na machifu haikuwa na mfumo wa kisiasa hadi pale ilipo pata uhuru wake ndipo ikaunda jina Tanzania haimaanishi kwamba wakati huu ndio tutaanza kuhesabu kuwa Tanzania ndio imeanza kuwepo bali ndio imeanza kuwa kama taifa la kisiasa, na ndiyo vile vile zamani hakukuwa na waziri wala raisi kule israeli au kule china au korea kulikuwa na wafalme na machifu

Kwa mataifa haya kuhusu kuingia kwenye mfumo wa kisiasa haimaanishi ndio kwamba yameanza muda huo, baadhi ya mataifa ambayo yameendelea angalau kuwa na utawala wa kale wa kifalme ni England hili ni taifa ambalo bado lina mfalme unajua historia ya ufalme wake ni nini? Ule ni mfumo wa kale wa utawala katika eneo hilo
Uko sahihi sana mkuu. Nakubaliana na wewe.
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Mtu / Binadamu yoyote yule anayewachukia Waisraeli hasa kwa Wakifanyacho huko Middle East ni Fool and Mental.
 
Mnatafuta huruma kupitia watoto na wanawwke? Pateni kinachowastahili
 
Siungi mkono vifo vya yoyote, lakini hayo ni maoni yake binadsi yasifunganishwe na Israel
 
Maneno mengi tumeshaongea sana humu ugomvi wote huu chanzo kikuu ni oct 7

Nenda kawasaidie ndg zako acha kupiga porojo nyingi hapa hazitasaidia lolote . Tutaendelea kuwamaliza magaidi wote kadri iwezekanavyo
Lakini si kuua wananchi wasio na hatia.
Wapambane na Hamas.
 
Samahani hivi unajua jiji la yerusalemu lina muda wa miaka mingapi mashariki ya kati Nataka tuchambue Israel ilikuwepo kuanzia lini naomba unifahamishe kama unajua rafiki?
Nshakumbia wale waliopo no wazungu kutoka EU, Israel mlioisoma kwenye biblia sio ile.

Wale ndio wamekaa pale kimabavu na story zao za uongo na kweli za miaka 3000 iliyopita.

Ndio maana nawauliza taifa la kiyahudi linalotambua LGBTQ, ile Israel walipo kuwepo kina King David n.k
 
Nshakumbia wale waliopo no wazungu kutoka EU, Israel mlioisoma kwenye biblia sio ile.

Wale ndio wamekaa pale kimabavu na story zao za uongo na kweli za miaka 3000 iliyopita.

Ndio maana nawauliza taifa la kiyahudi linalotambua LGBTQ, ile Israel walipo kuwepo kina King David n.k
Kwahiyo nyinyi mnapigania ardhi ya israeli ambayo sio yenu na wao sio yao walio ikalia pale?
 
Nshakumbia wale waliopo no wazungu kutoka EU, Israel mlioisoma kwenye biblia sio ile.

Wale ndio wamekaa pale kimabavu na story zao za uongo na kweli za miaka 3000 iliyopita.

Ndio maana nawauliza taifa la kiyahudi linalotambua LGBTQ, ile Israel walipo kuwepo kina King David n.k
Unajua LGBTQ ilianzia kwa waarabu wa kale umesoma historia ya dunia kweli,?
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.
Oyaa mgalatia uchwara and 100 others unakera asee.

Kambaku Sir John Roberts
 
Nshakumbia wale waliopo no wazungu kutoka EU, Israel mlioisoma kwenye biblia sio ile.

Wale ndio wamekaa pale kimabavu na story zao za uongo na kweli za miaka 3000 iliyopita.

Ndio maana nawauliza taifa la kiyahudi linalotambua LGBTQ, ile Israel walipo kuwepo kina King David n.k
magnifico kijana hapa anadai wale waliopo israeli pale sio waisraeli wa kale, sasa Kwahiyo anamaanisha kuwa wapalestina wanapigania ardhi ya waisraeli wa kale ambayo sio yao inamaana wapalestina na wale waliopo hivi sasa wote sio ardhi yao.

100 others kijana ngoja nikupe historia kwa ufupi hapo kulikuwa na dola kubwa la rumi lililotawala kwa zaidi ya miaka 1200 dola hili lilifanya vita na israeli ya kale na kuishinda, wakawatanya waisraeli wote katika ardhi yao wengine walikimbia nchi yao kwasababu ya vita huko ulaya na maeneo mengine.

sasa baada ya kupita miaka mingi wapalestina waliokuwa wakiitwa wafilist walivamia maeneo ya waisraeli wa kale na kuyakalia kwa muda mrefu sana, sasa kile kipindi cha miaka ya 1800 dola la rumi lilianguka na kupoteza mamlaka yake hapa ndipo mataifa ya kisiasa yalianza kuundwa mfano marekani, china, japan, urusi nk

Sasa ndipo wale waisraeli waliokimbia vita walianza kurudi katika nchi yao ya israeli kutokea maeneo mbalimbali wengi walitokea ulaya, walivuorudi kutaka kurudisha ardhi yao kulitokea vita na wapalestina lakini israeli ilishinda vita hivyo na kuwafukuza wapalestina katika sehemu kubwa walio kuwa wakiikalia ikiwemo yerusalemu ambayo ni mji wa israeli sio wa Palestine,.

Ndipo kufikia ule mwaka wa 1948 ndipo israeli rasmi iliunda taifa la kisiasa na kuufanya mji wa yerusalemu kuwa kama mji wao mkuu, kitu ambacho wapalestina walipinga vikali na kupelekea vita vikubwa vya kikanda lakini waisraeli waliwashinda kwenye vita hivyo, basi ndio hadi leo hii kumekuwa na mivutano kati ya israeli na wapalestina.


Wewe unadai kuwa wale wa sasa sio wa israeli ni wazungubkutoka ulaya waliounda taifa 1948 inamaana wapalestina wanajua kuwa ile ardhi sio yao Kwahiyo wanapigania ardhi ambayo ni ya israeli
 
Hii video niliitizama Oct 2023, kipindi Israel inajiandaa kufanya mashambulizi Gaza kama retaliation ya Oct 7.

Nikaipuuzia, baadae baada ya kusikia mauaji ya watu karibu 40K nikaitafuta kwenye chanzo youtube nikakuta imefutwa.

Kwa kile wanachosema watu hapa kwamba Hamas ni human shield, kwamba IDF wanaua watoto kwa sababu wapiganaji wanajificha miongoni mwa raia. Nasema si kweli.

Kama mlivyoona kiongozi wa Hamas Sinwar ameuawa akiwa peke yake, hakuwa kwenye handaki wala kazungukwa na watu, ndipo tutambue kinachoendewlea Gaza ni mauaji ya makusudi dhidi ya wananchi wasio na hatia na watoto.

Mzee huyo mwenye miaka 95 (Ezra Yachin) ambae alikuwa motivational speaker wa askari wa IDF waliokuwa wakielekea Gaza aliwaambia.




" Hakikisheni mnashinda na mnawamaliza wote haraka iwezekanavyo na hata isiwepo kumbukumbu yao, wafuteni kabisa, watoto wao, mama zao na familia zao, hao wanyama hawawezi kuendelea kuishi, kesho Hezbollah wanaweza kuturushia makombora , na waarabu wote wanaotuzunguka hapa wanaweza kutugeuka , kwa hivi sasa hatuna kisingizio.

Kila myahudi mwenye silaha inabidi aende akawamalize, kama una jirani mwarabu usisubiri hadi afike nyumbani kwako , ingia nyumbani kwake na mpige risasi, msisubiri hadi watushambulie kwa njia ya anga na iron dome kuji activate , ingieni kabla ya hayo na tunajiandaa kuvamia sio kama ilivyozoeleka , tunaharibu na kusonga mbele, tunaharibu na kusonga mbele kwa mizinga na mabomu, ingia kwenye nyumba na iharibu"

Ukisikiliza maneno ya huyo mzee ambae ni veterani wa jeshi la Israel, utagundua anachokisema ndio agenda waliyokuwa nayo Israel, kuua watoto, mama zao na familia hapo Gaza

Huku wakitumia kauli yao pendwa ya kisingizio, kwamba Hamas na viongozi wao wanajificha mashuleni hapo waanataka kulenga vitoto, hamas wanajificha hospitalini hapo wanataka kulenga wagonjwa na mama wajawazito, kwamba hamas wanajificha makazi ya watu hapo wanataka kulenga familia zao.

Soma Pia: Kiongozi Mkuu wa Hamas, Yahya Sinwar auawa na Israel

Inawezekana Hitler alikuwa katili lakini nahisi hakuwa kichaa, hakutokea kuwachukia wayahudi pasipo na sababu, nitafuatilia, nitafanya research kwenye vitabu mbali mbali kufahamu ukweli.

Nilichogundua elimu kubwa na siri nyingi kwenye hii dunia zimefichwa, ni wachache tu ndio wanajua, na ndio wanaoitawala hii dunia.

Pia si kila anayesemwa mbaya ni mbaya kweli.

Mfumo wa dunia unataka ujue na usome tu kile wanachotaka usome, ufikiri kile wanachotaka ufikiri.

Hii dunia ina siri nyingi.

Mkuu, hii ni charter ya hamas, ipo kwenye katiba yao, wao mpango wao ni kuwafuta Wa-Israel katika uso wa Dunia, na kumbuka Israel na wao wana fuata ile notion ya "Jino kwa Jino"
 

Attachments

  • D953DAC5-6E3C-4BF6-8BEE-D9BD76DB1971.jpeg
    D953DAC5-6E3C-4BF6-8BEE-D9BD76DB1971.jpeg
    328.3 KB · Views: 1
Brits wapi tena, nshakuambia ile ni Israel ya mchongo wale ni wazungu kutoka EU wapo pale kwa kujificha kwenye mwavuli wa Israel, ndio maana hata hizo agenda LGBTQ wanazitambua.

Hakuna uyahudi wala watoto wa Yakobo, ukoloni ni ule ule , ndio maana wengi hapa mnashangaa kuna kitu gani Israel kusaidiwa silaha na misaada kiasi kile, ndipo utambue wale ni wazungu hakuna cha jews.

David Cameron mwenyewe alishasema yeye ni mzayuni....
Israel kuna blacks lakini.
 
Back
Top Bottom