stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Ehehehehe we naeeee!
Anauza dildo huyu ujuee
Anazo mpk za umeme,I hope anauza na tu jenereta twake,in case umeme umekatika!
haa yaani kama mlemavu wa ngozi..
chezea cm za kichna wewe?
hivi unajua ni kwa ini mwanume anaitwa kichwa? ni kwa sababu ni anatakiwa kuwa mmiliki... hivi umekuja kwangu nyumba yangu , kila kitu changu do u think unaweza kuwa nasay pale kwa maana hiyo wewe ni mkia... you have power because you have something
wapi? Natumia mchina.
mrsleo mgeni mjini hahahaha! akikukamata huyo weeh utamuona mr leo ni wa juziiiii
Hahaha ganda la mua la jana hilo prezidaa, chungu kaona kivuno.
wanaume marioo ndo dawa yao hiyo. Mume wa flora mbasha nae si kapatana na mkewe? Anamsindikiza mahakamani?
Ay jamani hahaha
Jamaa anavyoongea hadi anatia huruma.
Halafu sielewi kabisa kilichomvutia kwa huyo Dida.
:bump2:
Dida mbaya jamaniiii khaaa!!!!
anatisha kwa kweli yaani ngozi imechunika hadi damu naona inaonekana...ulishawahi kuona wapi ngozi ya binadamu inakuwa transparent? mtiririko wa damu wote out...majanga !!!
mbona hizi picha zilitokaga vibaya hivi?