Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukistaajabu ya Emmanuel Mbasha utayaona ya Ezden.....habari ya mujini now days ni wanaume kulelewa na wanawake wenye pesa...nani anataka kufa kapuku..
Nasubiri siku gadna akiliaa kwenye media kua kafukuzwaaaa teh teh
Acha upuuzi we, jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, unatumia vigezo gani kumwita mtu "anafugwa"..!? Ezden na Dida wameanza uhusiano zamani sana kabla hata hajamiliki hayo magari.
Aaaa aaa hawaelewiiiiiii! Sijui wazazi wa kiume wameacha kufundisha vijana wao?
Hata kama mwanamke ana kwake, ukimuoa anahama kumfuata mume kwake! Hata kama ni gorofa linapangishwa then ile hela inatumika kwa matumizi mengine huko kwa mumewe! Si mwanaume mzima kwachu kwachu na rasket unahamia kwa mwanamke! Ukifumaniwa unarushiwa kibegi chako kwendraaaa
sinung'uniki sina viatu wenzangu hawana miguu, hivi ana watoto wangapi huyo dida? tatizo la ma ebebee wanapiga wanapenda kulelewa.
Lugha ya mkoloni kwasababu Dida alitakiwa kwenda big brother si unajua kule hawaongei kiswahili
Nasubiri siku gadna akiliaa kwenye media kua kafukuzwaaaa teh teh
ha ha haha kwachu kwachu eti naenda kukaa kwa mwanamke nahisi vichwani mwao amna alarm kwamba hiki nacho fanya ni kinyume na utamaduni wa kwetu,...... hata zile familia ambazo mke ndio anaoaa lakini mwanume anafanya kazi kubwa kujenga mji wa mwanmke hiyo ni kuweka heshima kwa dume..... dume umesimamisha nanilii afu unataka heshima... alafu mijianaume ya hivi ndiyo inayomeza viagra ili ingonoke weeeee mpaka atoe povu eti ni heshima nani kasema.... mwanaume heshima kuwezakulinda nyumba yako ... ulinzi nikimaanisha nyumba nzuri, chakula, matumizi yote ya home.... hapo ndiyo heshima ,.. s kukamia K kama unaendesha baiskeli kutoka dar es salaam kuelekea morogoro. aiiii michosho tu
Hahahahahaa...unapigwa kipumpwiko mpaka unahisi kuna moto wa jehanam, unakuta kijana kakukunja umekuwa kama kiwete!
Hiyo avatar yako imenifanya nikupende bure..
He he......unaendeleaje kwanza........
Vijana wa bajaj
Hakikisheni kweny kila nyumba ya star wa kike mnaweka kijiwe!
Anzieni kwa shilole.
Snura
Jide ah huyu hakuna biashara washavuka hii stage!