Mnakumbuka mambo ya pweza miaka ile?Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ni pendekezo sahihi na la uhakika, kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2025.
Eeh ilikuajeMnakumbuka mambo ya pweza miaka ile?View attachment 2788748
Subiri wajeEeh ilikuaje
ili mzidi kuiba kwa uhuru au sioMama aendelee mpaka 2035
Chawa in ChiefHuo ndio ukweli wenyewe kuwa Rais samia ndio mtu sahihi aliyesheheni sifa zote zinazohitajika na watanzania juu ya kiongozi wanayemhitaji.,anastahili kuendelea kututumikia watanzania kwa kuwa amekata kiu yetu na kukidhi matarajio yetu watanzania.
Tujipangeje na tayari tunapigwa left and right na vibaraka wake.mnajipanga kuibiwa kwa uhuru right?
unamzungumzia adv. Robert Amstardam wakili mbobezi wa mjamaa wa uhamishoni mwenye makazi yake ya kudumu na familia mpya huko ngamabo na huku tz anakuja kuwahadaa tu waTz, au mimi ndio sijaelewa vizuri?Tujipangeje na tayari tunapigwa left and right na vibaraka wake.
Atakuvusha wewe tu, Hafai kwa nchi yetuMzalendo msikivu, Mwenye huruma, anaye jali utu wa watu wa hali zote, muungwana kwa maneno na vitendo, mchapakazi makini, mahiri na hodari wa kuhubiri Amani, Umoja, mshikamano na utangamano wa waTanzania.
Ni alama ya demokrasia, uhuru, haki, uwazi, uwajibikaji na usawa nchini. Mwenye maono ya maendeleo ya watu na vitu aliebeba matumaini ya uhakika ya waTanzania.
Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ni pendekezo sahihi na la uhakika, kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2025.
Neema na Baraka za Mungu zikuandame vema dominika ya leo .
Mzalendo msikivu, Mwenye huruma, anaye jali utu wa watu wa hali zote, muungwana kwa maneno na vitendo, mchapakazi makini, mahiri na hodari wa kuhubiri Amani, Umoja, mshikamano na utangamano wa waTanzania.
Ni alama ya demokrasia, uhuru, haki, uwazi, uwajibikaji na usawa nchini. Mwenye maono ya maendeleo ya watu na vitu aliebeba matumaini ya uhakika ya waTanzania.
Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ni pendekezo sahihi na la uhakika, kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2025.
Neema na Baraka za Mungu zikuandame vema dominika ya leo .
Mbona hujaweka gazeti Leo, au simu inakaribia kukata charge kutokana na mgao Nini?Huo ndio ukweli wenyewe kuwa Rais samia ndio mtu sahihi aliyesheheni sifa zote zinazohitajika na watanzania juu ya kiongozi wanayemhitaji.,anastahili kuendelea kututumikia watanzania kwa kuwa amekata kiu yetu na kukidhi matarajio yetu watanzania.