Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Mzalendo msikivu, Mwenye huruma, anaye jali utu wa watu wa hali zote, muungwana kwa maneno na vitendo, mchapakazi makini, mahiri na hodari wa kuhubiri Amani, Umoja, mshikamano na utangamano wa waTanzania.
Ni alama ya demokrasia, uhuru, haki, uwazi, uwajibikaji na usawa nchini. Mwenye maono ya maendeleo ya watu na vitu aliebeba matumaini ya uhakika ya waTanzania.
Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ni pendekezo sahihi na la uhakika, kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2025.
Neema na Baraka za Mungu zikuandame vema dominika ya leo .
Ni alama ya demokrasia, uhuru, haki, uwazi, uwajibikaji na usawa nchini. Mwenye maono ya maendeleo ya watu na vitu aliebeba matumaini ya uhakika ya waTanzania.
Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ni pendekezo sahihi na la uhakika, kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2025.
Neema na Baraka za Mungu zikuandame vema dominika ya leo .