Huyu ndio Dr. Emmanuel Nchimbi ninayemfahamu

Huyu ndio Dr. Emmanuel Nchimbi ninayemfahamu

Hivi waliokua na mitambo ya kutengeneza pesa bandia majumbani kwao ni kina nani ??tena wakiwa viongozi wa wizara nyeti kabisa ,
 
Twende na Nchimbi
Ni msomi
Ni kijana
Ana uwezo
Ana uzoefu mkubwa
Anaweza kuunganisha watu wa mitizamo tofauti
Ni mwanadiplomasia
Ana kipaji cha uongozi
Ni rika la wabunge waliowengi ktk kipindi hiki
Anaijua ccm ndani nje
Anaijua nchi yetu

Anaweza tumsaidie atalisaidia bunge.
umesahau UVCCM ya huyu jamaa? wakati akiwa Mwenyekiti?
unamkumbuka Amina Chifupa-Mpakanjia?
 
Mtakemsitake inaonekana Sitta atarudi tena,Zungu hawezi Kuwa Spika kwa kuwa ni mtu ambaye hana misimamo mikali kama akina Ndugai ni kama yupo neutral kidogo kwa sababu hiyo anaweza akaungwa mkono pia na wapinzani, kwa chama changu ninavyokifahamu huyu mtu hatapitishwa kwa hofu ya kuhatarisha maslahi ya chama akiwa Spika. Kwa Nchimbi kitendo cha kutofautiana na kamati kuu hadharani wakati wa uteuzi wa mgombea urais kitaendelea kumw?ndama hawezi kupitishwa na CCM licha ya kukosa uzoefu hata wa kuwa mwenyekiti wa bunge kwenye naf?si hiyo.Lkn huenda ni mkakati wake wa kutaka afikiriwe kwenye nafasi fulani endapo ataukosa uspika. Sitta anaonekana in mtetezi wa kweli wa maslahi ya chama, mfano mdogo tu ni namna alivyoshiriki kuingiza matakwa ya chama katika katiba pendekezwa lkn lolote laweza kutokea ngoja tuone.
 
Mimi ukiniambia anasimamia anachokiamini sikuelewi maana tumeshuhudia hapa majuzi katoka nje ya kikao cha kamati kuu akisema CCM hawajatenda haki, halafu baada ya mwezi mmoja anapanda jukwaani kumnadi huyo mtu aliyesema hakupitishwa kwa haki, huu msimamo wa kinafiki umenifanya nimshushe vyeo
Mkuu kula 5 maanake kitufe cha LIKE siku hizi hakionekani sijui ni kwangu tu.
 
Haya ndiyo majibu kutoka kwa Nyamagaro

nyamagaro is offline nyamagaro
5th December 2011 10:41
#61 Report Post
nyamagaro's Avatar
JF Senior Expert Member Array

Join Date : 25th February 2010
Posts : 344

Rep Power : 666

Likes Received
54
Likes Given
19

Default PhD mbili za Nchimbi Emmanuel ni halali? High level ya uchakachuaji Tanzania

wakuu wa kazi, juzi mzumbe walikaririwa na vyombo vya habari wakimtunuka nchimbi phd. Ieleweke kuwa kwa muda mrefu huyu jamaa amekuwa akiitwa doctor kumbe hana phd. Kama hali imefikia hivi hatuoni kuwa Tanzania tumefika kubaya? Mtu anajiita dr wakati he doesnt have such qualification. Na hata kama mzumbe wamempa hii phd tuambiwe amesoma saa ngapi?

hiyo thesis imefanywa na nani kwa sababu ndi ngumu sana kubalance between masomo na siasa, especially being a minister. I am doubting universities zetu hizi, zinachangia kuzalisha wasomi feki. The top most three in fake phd are UDOM, UDSM and MZUMBE. Hii ni embarassment kwa jamii ya wasomi kutoa degree zisizofanyiwa kazi.

Hatuwezi kufika huko tunakotaka kama hali yetu ndiyo hii. maana tumefikia upumbavu wa hali ya juu kwa kujidanganya kuwa tuna wasomi kumbe sifa haziendani na kisomo cha mtu. Huu ni ufisadi wa aina ya pekee. Wanasiasa wanaweza kupata phd ki rahais hivi!
 
Jitahidi kumpigia debe. Lakini wengi tunajua kwamba yeye ni mmoja wa wanamtandao. Wanamtandao ndiyo waliompakazia Salim, ndiyo waliocheza bao la kutuletea JK, na baada ya hapo wakasambaratika, na karibu watuletee machafuko hivi karibuni. Na yeye huyu, alitoka hadharani kupinga mambo yao ya CCM huko. Siku mbili baadae his true opportunistic face showed up kwenye majukwaa akiwanadi CCM wake hao hao aliowashutumu kwa kubaka demokrasia. Tunamjua kwa mambo mengi mengine ya hovyo. Huyu ataendeleza ubabe na kuleta makambi mengine ya hovyo. Hawezi kutakata hata mkimsafisha. Ni bora mhifadhi nguvu zenu mkaangalia wengine.
 
Mimi ukiniambia anasimamia anachokiamini sikuelewi maana tumeshuhudia hapa majuzi katoka nje ya kikao cha kamati kuu akisema CCM hawajatenda haki, halafu baada ya mwezi mmoja anapanda jukwaani kumnadi huyo mtu aliyesema hakupitishwa kwa haki, huu msimamo wa kinafiki umenifanya nimshushe vyeo

Wametumea Team dodoki na ID zao kusapoti kutetea kama Yale yaliyopita
Kitu gan alifanya ktk uwaziri mambo ya ndani....business as usual
 
Mimi ukiniambia anasimamia anachokiamini sikuelewi maana tumeshuhudia hapa majuzi katoka nje ya kikao cha kamati kuu akisema CCM hawajatenda haki, halafu baada ya mwezi mmoja anapanda jukwaani kumnadi huyo mtu aliyesema hakupitishwa kwa haki, huu msimamo wa kinafiki umenifanya nimshushe vyeo
Mkuu hakumlalamikia uteuzi wa Magufuli alikuwa analalamikia utaratibu ulitumika kuchuja wao ambao hawakuingia Tano bora ni jambo la kawaida kabisa kuhoja kama unaamini umeoneo mbona raisi mstaafu alivyokatwa 1995 nae alilalamika hivyo ni haki yake ya kikatiba.
Uzuri wa Nchimbi hana jazba, Kijana tofauti na wengine, Mzee sita mnakumbuka madudu yake ya kupindisha kanuni katka bunge la katiba yaliyotoke tunayajuwa, Mama Anna Makinda nae ana jazba sana bunge liliopita lilimshinda Job Ndugai ndiyo kabisa haifa kwenye kampeni karibu aue mtu kwa hasira,
 
Mabasi yalipotea miaka hiyo unatakiwa kuwauliza Mameya wa Dar Miaka ya hiyo ya 1992 utaambiwa walipeleka wapi mabasi ya wanafunzi Erythrocyte
 
Last edited by a moderator:
ashakulipa advance huyo nchimbi?? ningefurahi zaidi ukatueleza kawafanyia nini wanasongea ktk hiyo miaka kumi kama siyo kuirudisha nyuma songea yetu
 
Na spika anachagua Magufuli?
pamoja na kuwa hachagui yeye moja kwa moja ila msimamo wa chama chake nani anafaa lazima ashirikiswe na yeye ana kura ya veto. hapo mzee 6 na nafasi kubwa ndani ya CCM ingawa alituangusha sana kwenye bunge la katiba.
 
Mchimbi si timu fisadi huyo!?

Ahg! Hatuna imani huyo!
 
Anaitwa Dr Emmanuel John Nchimbi, Moja Kati Ya Masenior Comredi Ndani Ya Chama Cha Mapinduzi Ni Mtu Mahiri Katika Kile Anachokiamini Na Hafundishwi Punda Kumwita Farasi.

Ni Mwanasiasa Mwenye Nguvu Ndani Na Nje Ya ccm katika Ushawishi na Ukubalikaji wake.

Wasifu wake kiuongozi ni mpana sana Ameanza Kuwa Raisi Wa Chuo Kikuu Mzumbe Akaja kuwa Mwenyekiti Wa uvccm Taifa Akagombea Ubunge jimbo La songea mjini akirisi mikoba ya Laurensi gama.

Amekuwa mbunge kwa miaka kumi na amekuwa waziri kamili katia wizara mbili tofauti Wizara Ya Nyumba Na Makazi Na Wizara Ya mambo ya ndani pia Amekuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti wizara ya habari tamaduni na michezo pamoja na wizara ya mambo ya ndani.

Anasifika kwa uwelewa mpana wa mambo ya kitaifa katika nyanja mbali mbali kijamii kisiasa na kiuchumi.

Ameweza kuwatenegeza wanasiasa wengi mashughuli wakiwemo madc na wabunge wabunge lijalo katika baraza la vijana taifa la mwaka 2008

Makatibu wa uvccm na wa wilaya na mikao ni product yake pia ni mjumbe kamati kuu kwa miaka isopungua 17 anajua ajenda za chama na kitaifa

Kijana na msomi mwenye uwezo wa kulimudu Bunge lijalo la 11

#Twende na Nchimbi Uspika

Ulisoma ile taarifa na emails wakati Dr Mvungi alipouwawa?
 
Team lowasa rostam kazini tena.Mmekosa urais mnataka kumiliki bunge.mtaisoma mwaka huu
 
Anaitwa Dr Emmanuel John Nchimbi, Moja Kati Ya Masenior Comredi Ndani Ya Chama Cha Mapinduzi Ni Mtu Mahiri Katika Kile Anachokiamini Na Hafundishwi Punda Kumwita Farasi.

Ni Mwanasiasa Mwenye Nguvu Ndani Na Nje Ya ccm katika Ushawishi na Ukubalikaji wake.

Wasifu wake kiuongozi ni mpana sana Ameanza Kuwa Raisi Wa Chuo Kikuu Mzumbe Akaja kuwa Mwenyekiti Wa uvccm Taifa Akagombea Ubunge jimbo La songea mjini akirisi mikoba ya Laurensi gama.

Amekuwa mbunge kwa miaka kumi na amekuwa waziri kamili katia wizara mbili tofauti Wizara Ya Nyumba Na Makazi Na Wizara Ya mambo ya ndani pia Amekuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti wizara ya habari tamaduni na michezo pamoja na wizara ya mambo ya ndani.

Anasifika kwa uwelewa mpana wa mambo ya kitaifa katika nyanja mbali mbali kijamii kisiasa na kiuchumi.

Ameweza kuwatenegeza wanasiasa wengi mashughuli wakiwemo madc na wabunge wabunge lijalo katika baraza la vijana taifa la mwaka 2008

Makatibu wa uvccm na wa wilaya na mikao ni product yake pia ni mjumbe kamati kuu kwa miaka isopungua 17 anajua ajenda za chama na kitaifa

Kijana na msomi mwenye uwezo wa kulimudu Bunge lijalo la 11

#Twende na Nchimbi Uspika
Nchimbi aligombea Urais wa Wanafunzi Mzumbe na kushindwa? Au alikuwa Rais? Hebu nikumbushe kidogo kipindi akiwa Rais wa wanafunzi.
 
Back
Top Bottom