Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
-
- #41
Hayo aliyo kariri kwa umri wake ilikua bado. Umeona hata hesabu anafanya bila kuhesabu.Akili ni nini!?
Je kuhifadhi kwa wepesi, kuhifadhi jambo kwa muda mrefu, kuwa na kumbukumbu nzuri? Ama uwezo wa kutatua mambo katika namna tofauti tofauti.
Hapo dogo kaonesha ana uwezo wa kumeza, ila sio ana akili nyingi.
Tukifundishwa 1 jumlisha 1 ni 2, 3+2 ni 5 na tukafundishwa imepatiknaje kisha tukapewa swali maandazi ma5 ukipewa na vitumbua vitatu na chapati sifuri, utakuwa na vitafunwa vingapi.
Ule uwezo wa kuchanganua hilo swali, kujua linahitaji kujumlisha japo hakuna sehemu imesemwa jumlisha, kwangu mimi huyu ndio mwenye akili.
Na si lazima iwe kwenye hesabu tu, hata mazingira yoyote yale.
Hilo tu la kumsubua mtoto kumkaririsha vitabu na matakataka mengine ya kumjazia ubongo wake utoton ndiyo anakuwa na akili kuliko watanzania wote. Au akili ninini labda?Huyu mtoto ukimsikiliza ana uwezo mkubwa sana wa kujieleza na kufanya hesabu.
Anajibu maswali ambayo hata wewe huwezi kuyajibu hapo ulipo saivi
View attachment 3159995
Ee Mungu tunakuomba huyu mtoto asiharibiwe na mfumo wa elimu yetu.
Mtumie huyu mtoto kuonyesha ukuu wako.
Amen na Jumapili njema
WE PROTECT THIS YOUNG ANGEL BY BLOOD OF JESUS. AMEN
Ni umri gani mlete hapa. Huyo anafanya hadi hesabu hadi siasa anajua. Ana miaka 4.Kuna vitoto vya madurasa vimekariri Qoran nzima na hadithi sijui za Ibn Omar!
Sasa, hiyo siyo akili. Kuwakaririsha watoto mavitabu ya kishamba kama bibilia na Kuruani ni kuendeleza ujinga na ujima katika jamii.
Watoto wafundishwe vitu vya maana.
Ewa sasa hapo 1 jumlisha 1 kasema 2, naamini kakariri, akiuliza 7+3, 5+2,4+5, n.k hapo sasa angeluwa katumia sehemu nyimgine ya ubongo nje ya kumbukumbuHayo aliyo kariri kwa umri wake ilikua bado. Umeona hata hesabu anafanya bila kuhesabu.
Watoto wenye uwezo wa kukariri siyo lazima wawe wana akili sana. Tulio kwenye mitandao kwa muda mrefu tumeshakutana na visa vingi vya aiana hii na hao watoto walipokuwa watu wazima hawakuwa na chochote cha zaidi.Huyu mtoto ukimsikiliza ana uwezo mkubwa sana wa kujieleza na kufanya hesabu.
Anajibu maswali ambayo hata wewe huwezi kuyajibu hapo ulipo saivi
View attachment 3159995
Ee Mungu tunakuomba huyu mtoto asiharibiwe na mfumo wa elimu yetu.
Mtumie huyu mtoto kuonyesha ukuu wako.
Amen na Jumapili njema
WE PROTECT THIS YOUNG ANGEL BY BLOOD OF JESUS. AMEN
Ajibu maswali ya siasa na hesabu angalau.Ni umri gani mlete hapa. Huyo anafanya hadi hesabu hadi siasa anajua. Ana miaka 4.
Waambie wa google kuhusu Bethuel Mbugua wa Kenya , mtoto aliyekuwa anatoa lecture vyuo vikuu akiwa na miaka 6. Mambo ya human anatomy alikuwa anayajua kama mtu mzima.Akili ni nini!?
Je kuhifadhi kwa wepesi, kuhifadhi jambo kwa muda mrefu, kuwa na kumbukumbu nzuri? Ama uwezo wa kutatua mambo katika namna tofauti tofauti.
Hapo dogo kaonesha ana uwezo wa kumeza, ila sio ana akili nyingi.
Tukifundishwa 1 jumlisha 1 ni 2, 3+2 ni 5 na tukafundishwa imepatiknaje kisha tukapewa swali maandazi ma5 ukipewa na vitumbua vitatu na chapati sifuri, utakuwa na vitafunwa vingapi.
Ule uwezo wa kuchanganua hilo swali, kujua linahitaji kujumlisha japo hakuna sehemu imesemwa jumlisha, kwangu mimi huyu ndio mwenye akili.
Na si lazima iwe kwenye hesabu tu, hata mazingira
Ewa sasa hapo 1 jumlisha 1 kasema 2, naamini kakariri, akiuliza 7+3, 5+2,4+5, n.k hapo sasa angeluwa katumia sehemu nyimgine ya ubongo nje ya kumbukumbu
Kukariri haimaanishi uwezo wa kiakili, infact kukariri siyo akili kabisa.Watoto wenye uwezo wa kukariri siyo lazima wawe wana akili sana. Tulio kwenye mitandao kwa muda mrefu tumeshakutana na visa vingi vya aiana hii na hao watoto walipokuwa watu wazima hawakuwa na chochote cha zaidi.
Huu ni mtazamo wakoKukariri haimaanishi uwezo wa kiakili, infact kukariri siyo akili kabisa.
Kukariri ni matokeo ya kutokuelewa.
Akili siyo kujua idadi ya vitabu vya biblia, akili ni kujua kwa nini biblia iliandikwa.
Mleta mada abadili kichwa cha habari.
Aandike MTOTO MWENYE UWEZO WA KUKARIRI.
Kwasababu anajibu kwa kejelianaonekana ana akili nyingi kwa sababu yupo pia mwenye ujinga mwingi
Mtazamo wa nani unaosema kwamba kukariri ndio akili?Huu ni mtazamo wako
Alimeza meza anatomy. Watu kuja kumoa iq test akaonekana hana u GENIUS huo.Waambie wa google kuhusu Bethuel Mbugua wa Kenya , mtoto aliyekuwa anatoa lecture vyuo vikuu akiwa na miaka 6. Mambo ya human anatomy alikuwa anayajua kama mtu mzima.
Bethuel Mbugua: Kenyan Who Joined Form Four Aged 7, Lectured at Dar es Salaam University While he was 9
Born in 1978, Bethuel Mbugua made headlines in the country in the 80s after displaying a mastery of human anatomy that saw him move from class six to form four.www.nairobileo.co.ke
Napingana na wale wanaosema kakaririshwa ujinga (kisa: Aina ya content mtoto anayotiririka). ELIMU zipo za Aina nyingi: dini, sayansi, arts, fedha, n.k. Mtoto kakaririshwa elimu ya dini, watu wanaponda, eti ni ujinga. Loh! Wangependa kusikia Mtoto anatiririka Archemedes Principle, anatomy, atom, molecular biology, etc. ndipo wangefurahi, na wangeamini kweli mtoto anaupekee. Ila kwa kuwa Ni Elimu ya dini wanahitimisha kwamba "Hana lolote".Mleta mada umetumia san emotion and not your head kutoa maoni yako kuhusiana ni hio video. Hio ni script mtoto kamezeshwa akarili.
Nawewe arrange hiyo script kwa mwanao na mjukuu wako.Mbona kama ni script tu hiyo 😎
Upo sahihi tatizo ni mleta mada kuandika " huyu ndio mtoto mwenye akili nyingi kuliko wote Tanzania'Pamoja na hayo, basi tukubaliane kwamba memory capacity ya mtoto Ni Kubwa kuliko watoto wengi walio na umri sawa na yeye.
Kakaririshwa sawa, lakini uwezo wa kukumbuka ulichokaririshwa ndiyo jambo la msingi.
Napingana na wale wanaosema kakaririshwa ujinga (kisa: Aina ya content mtoto anayotiririka). ELIMU zipo za Aina nyingi: dini, sayansi, arts, fedha, n.k. Mtoto kakaririshwa elimu ya dini, watu wanaponda, eti ni ujinga. Loh! Wangependa kusikia Mtoto anatiririka Archemedes Principle, anatomy, atom, molecular biology, etc. ndipo wangefurahi, na wangeamini kweli mtoto anaupekee. Ila kwa kuwa Ni Elimu ya dini wanahitimisha kwamba "Hana lolote".