Haya kila la kheri nikutakie uchaguzi mwema najua ni wa huru na wa sifa tajwa, ila hiyo kaz ya kuchambua wenye sifa Tume ya Taifa ya Uchaguz wanauzoefu nayo ungewashirikisha maana watatoa mpaka asilimia za hao washiriki huko PM,si mpaka kwanza nimalize kusoma pm? nipo nina short list, kwanza nipunguze wavulana atlest wabaki wanaume
jecha atanisaidiaHaya kila la kheri nikutakie uchaguzi mwema najua ni wa huru na wa sifa tajwa, ila hiyo kaz ya kuchambua wenye sifa Tume ya Taifa ya Uchaguz wanauzoefu nayo ungewashirikisha maana watatoa mpaka asilimia za hao washiriki huko PM,
Tunaambiwa siku hizi mwanaume Mashine , Mimi Nina mashine, VP apo naweza kufikiliwa?
exception to the general rule kwa upande wa dhehebu dia naomba unisamehe , nahisi dhehebu lako ni la kufunga ushungi, dia nitashindwa. sorry lakiniNina sifa zote ila kwenye u rc nimetupwa nje. Sasa sijui kama mleta uzi ana exemption kwenye baadhi ya vigezo maana mwishoni hajaandika vigezo na masharti kuzingatiwa. Kama kuna exemption kwenye dhehebu niambie niingie kwenye kinyang'anyiro. You never know bwana...
Mashine ya kusugua vitu laini tuu.mashine ikasage mahindi.
kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.Mchonge wa kwako,weka ndani
Hapana mimi ni Mkristo ila si Roman Catholic. Ni mfuasi wa Martin Luther.exception to the general rule kwa upande wa dhehebu dia naomba unisamehe , nahisi dhehebu lako ni la kufunga ushungi, dia nitashindwa. sorry lakini
update yr cv and come for interview atleast ujue jinsi formal interviews zinavyokuwaga.Hapana mimi ni Mkristo ila si Roman Catholic. Ni mfuasi wa Martin Luther.
update yr cv and come for interview atleast ujue jinsi formal interviews zinavyokuwaga.[/QUOTE Interview for what?!!!!
Double ID au nini? ID yako ya kwanza iko wapi?mashine ikasage mahindi.
ahaa wa nyongeza utampata wap wakati wewe huna hata wa kusingiziwa?Ukimpata wa sifa zote hizo nitakupa na wanyongeza.