Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

si mpaka kwanza nimalize kusoma pm? nipo nina short list, kwanza nipunguze wavulana atlest wabaki wanaume
Haya kila la kheri nikutakie uchaguzi mwema najua ni wa huru na wa sifa tajwa, ila hiyo kaz ya kuchambua wenye sifa Tume ya Taifa ya Uchaguz wanauzoefu nayo ungewashirikisha maana watatoa mpaka asilimia za hao washiriki huko PM,
 
Tunaambiwa siku hizi mwanaume Mashine , Mimi Nina mashine, VP apo naweza kufikiliwa?
 
Nina sifa zote ila kwenye u rc nimetupwa nje. Sasa sijui kama mleta uzi ana exemption kwenye baadhi ya vigezo maana mwishoni hajaandika vigezo na masharti kuzingatiwa. Kama kuna exemption kwenye dhehebu niambie niingie kwenye kinyang'anyiro. You never know bwana...
 
j
Haya kila la kheri nikutakie uchaguzi mwema najua ni wa huru na wa sifa tajwa, ila hiyo kaz ya kuchambua wenye sifa Tume ya Taifa ya Uchaguz wanauzoefu nayo ungewashirikisha maana watatoa mpaka asilimia za hao washiriki huko PM,
jecha atanisaidia
 
Nina sifa zote ila kwenye u rc nimetupwa nje. Sasa sijui kama mleta uzi ana exemption kwenye baadhi ya vigezo maana mwishoni hajaandika vigezo na masharti kuzingatiwa. Kama kuna exemption kwenye dhehebu niambie niingie kwenye kinyang'anyiro. You never know bwana...
exception to the general rule kwa upande wa dhehebu dia naomba unisamehe , nahisi dhehebu lako ni la kufunga ushungi, dia nitashindwa. sorry lakini
 
Duh mi expert wa IT huwa tunaita criteria, zimekuwa nyingi mno aisee, nafikiri upo 20+ ngoja tukupe miaka mingine michache naamini zitakuwa zimepungua. Itakuwa hivi "namtaka yeyote anayevaa suruali" hata sio riziki
 
exception to the general rule kwa upande wa dhehebu dia naomba unisamehe , nahisi dhehebu lako ni la kufunga ushungi, dia nitashindwa. sorry lakini
Hapana mimi ni Mkristo ila si Roman Catholic. Ni mfuasi wa Martin Luther.
 
kwaiyo unafikiri unanipata kirahisi bila kujibu maswali? baba goodbyeeee.
 
Endelea kuchagua
1. Wewe ni virgin?
2. Huna kale kaharufu kabaya Kwenye mapenz
3. Nikutakie uchaguzi mwema wa huyo babu umtakaye
 
Back
Top Bottom