Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

Tuache unafiki, ametuachia Ukabila, ametuchia chuki, ametuachia deni kubwa sana la Haifa, ametuachia umaskini uliotamalaki. Alikua na mema machache
Kwa kifupi amelirudisha taifa nyuma mara mia moja, ameacha mikosi na mabalaa ya kila aina
 
Mbn mnatumia Nguvu kubwa ?
The passed one he had did nothing the issue of an assassination attempt it unforgettably , Lissu is prophet Alive.
Ze Inglishi izi camu wiz ze shipu. Tupende Kiswahili jamani unaweza kutukana pasipo kukusudia.
 
Asante kwa uzi mwanana! You are genius!
 
Nadhani Mbelgiji atakuwa amepata somo la kutosha kutokana na msiba wa mpendwa wetu, viatu vya marehemu Magufuli ni vikubwa sana na nashukuru JF kwa kumuenzi kwa kuweka rangi nyeusi kuashiria kwamba tupo kwenye msiba,wema,uadilifu na mapenzi aliyokuwa Raisi Magufuli kwa nchi hii ndio unaotutoa machozi na hatuamini kama hatutamuona tena, ni matarajio yetu kwamba ambao watashika hatamu watafuata nyayo za Magufuli, Magufuli ametufanya tutembee vifua mbele ,tujiamini ,tuipende nchi yetu na zaidi ya yote heshima kwa aliyenacho na asiyenacho,tunaamini yale mambo ya '' unanijua mimi nani" au kusimamisha gari katikati ya barabara na kutoa bastola kutishia watu hayatarudi tena. Wakati namlilia raisi wangu mpendwa Magufuli yafaa tu kumuombea kwa Mungu ili ampe pumziko la milele,kwa heri Magufuli hakika ulikuwa mzalendo wa kweli na msalimie Mwalimu Nyerere,ulikuwa mwanafunzi mzuri wa falsafa ya mwalimu pamoja na kuwa hukuwahi kufanya nae kazi au kuwa mwananfunzi wake.
 
😭😭😭😭😭😭😭

Pumzika Mwamba toka Chato
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • VID-20210321-WA0069.mp4
    5 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…