Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

Nonsense....

Kafa,nendeni nae

Mnazidi kutusukumizia his failed ideoogies....Tupo na mtu mpya,huyo kafa na yake,geez!

Rais wa Watanzania watu wako wanakulilia😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭




Ulale salama mzalendo, mwamba wa Tanzania, kimbilio la wanyonge John Pombe Magufuli πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”


Mbele yetu nyuma yako
 
Seriously, you need some reality check.
Mnaoenda uwanja wa taifa kumuaga mpendwa wetu John Pombe Magufuli kwa sasa uwanja umejaaa kabisa, foleni ipo vingunguti na ma gate yote yamefungwa. Mngevumilia nyumbani kidogo watu wapungue

Mwenyezi Mungu atupe imani ya kupokea hili
 

Uwanja umefurika, Milango imefungwa, foleni ipo vingunguti

Hawa wamama na vijana wamegoma, wanatafuta njia yoyote wakamuage kipenzi chao John Pombe Magufuli
20210321_161003.jpg


Pole nchi yangu

20210321_161033.jpg



Mungu awape imani wanawake hawa na watoto wao kwamba hakuna linalomshinda yeye
Tanzania bado iko imara chini ya Rais Samia Suluhu Hassan πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ™
 
This nigga is deaddddddd

Deal with it

Nachojua atleast 50% of this country ambao ni in favor with opposition dont like him

Hii nchi now ni ya mama,now follow democratic liberal order,hutaki nenda North Korea!

50% hiyo KwioπŸ‘£πŸ‘£πŸ‘£
Hiyo fifti pasenti ndio waligomea upuuzi wa kuandamana na Tundu eeeeh. Muwage mnajiongeza



Pumzika kwa amani John Pombe Joseph Magufuli, Dodoma inakulilia
 
kwani mnaumia sana??

pole nshomile kula hata ndizi.
Wanaonea wivu msiba wa rais John Pombe Magufuli hadi wanatamani angekua mgombea wao

Lala salama MwambaπŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”
 
[emoji16][emoji16][emoji16]mtu anaonea wivu mpaka maiti kuagwa??
Ukisikia laana ndio hiyo

Sisi wafiwatumshukuru Mungu sana kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa taifa letu.

Na wenye chuki wajue tuu John Pombe Joseph Magufuli ataendelea kuishi kwa vizazi kwa vizazi ndani ya mioyo ya watanzania, kwani alijenga nchi katika misingi imara isiyotikisika.

Tuliokua tunamkubali kabla hajaondoka tunaelewana



Alale salama MwambaπŸ’”πŸ™
 
Ila waimba mapambio hamjambo mpaka marehemu bado mnamuimbia mapambio eti shujaa? Wa kuteka ,kufunga watu kwenye viroba , kufungulia watu kesi za uonezi za uhujumu uchumi, utakatishaji fedha , kupoteza watu kina Azory, Saanane , Kanguye , shujaa wa kuvunjia watu nyumba zao ,kutumbua na kufukuzia watu kazi kwa uonezi ? Alazwe anapostahili .
 
Ndio hapo unapofeli ndugu yangu

Watu wenye opposition sentiments hua wapo kwenye spectrum.....kutoka moderates,centre na extremists akama akina Tundu

Spectrum nzima ni 50% ya Watanzania wote ni opposition

Kuandamana inataka Extremists kama akina Tundu,ni wachache....ila regardless wote kwa ujumla ni opposition leaning na effect yake unaipata kwenye kura

Sasa basi,mtu aje kwa mazishi au asije,au aandamane au asiandamane huwezi determine his position kwa kuangalia extremism measures kama maandamano.....

Effect yake utaipata kwenye democratic process kama uchaguzi,pale ni spectrum yote wanakuja

Mataga mtumie akili,mnafeli mnoo

Cha kujua ni kwamba nchi hii kutoka 43-50% ya Watanzania wana opposition sentiments au leanings.....

Chunga sana unachoongea

Hahaa 43-50% ya Watanzania wana opposition sentiments au leanings.....πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… pole sana


Hamjui ndio maana mnafeli. Tumieni basi hata ile ruzuku kidogo mfanye utafiti!? Yaani mkiendelea na haya mawazo ya kusadikika hamtokaa mfanikiwe

Tumieni ruzuku kuimarisha chama mashinani, mkizikula wenyewe halafu mnasubiri mwaka wa uchaguzi mfanye kampeni mtaendelea kulalamika hadi kiama

Wenzenu wanachama wao wanaweza kukosa kadi ya benki lakini kamwe hawakosi kadi ya chama, tena wanalipia kila mwaka. Amkeni tujenge nchi acheni kufurahia kifo cha John Pombe Magufuli sababu CCM sio mtu mmoja CCM ni taasisi kubwaaa

Naongea hivi kama mtanzania ninayeheshimu demokrasia na nakujua faida ya vyama pinzani pia. Ila nikuambie ukweli unaouma sana..... tanzania hakuna vyama pinzani ila kuna saccos kwa maslahi ya wachache

John Pombe Joseph Magufuli ameondoka lakini CCM haijaondoka iko palepele tena ikiwa imara zaidi. Kufurahia kifo chake hakuwaingizi upinzani madarakani maana chama chake kina rasilimali za kutosha

Mjue rais Samia Suluhu Hassan alikotoka


Fahamu utendaji kazi wa Samia Suluhu Hassan kama VP chini ya John Pombe Magufuli


Alale salama kipenzi chetu John Pombe Magufuli πŸ™

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’₯

Cc 50thebe
 
Hahaa 43-50% ya Watanzania wana opposition sentiments au leanings.....πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… pole sana


Hamjui ndio maana mnafeli. Tumieni basi hata ile ruzuku kidogo mfanye utafiti!? Yaani mkiendelea na haya mawazo ya kusadikika hamtokaa mfanikiwe

Tumieni ruzuku kuimarisha chama mashinani, mkizikula wenyewe halafu mnasubiri mwaka wa uchaguzi mfanye kampeni mtaendelea kulalamika hadi kiama

Wenzenu wanachama wao wanaweza kukosa kadi ya benki lakini kamwe hawakosi kadi ya chama, tena wanalipia kila mwaka. Amkeni tujenge nchi acheni kufurahia kifo cha John Pombe Magufuli sababu CCM sio mtu mmoja CCM ni taasisi kubwaaa

Naongea hivi kama mtanzania ninayeheshimu demokrasia na nakua faida ya vyama pinzani pia. Ila nikuambie ukweli unaouma sana..... tanzania hakuna vyama pinzani ila kuna saccos kwa maslahi ya wachache



Alale salama kipenzi chetu John Pombe Magufuli πŸ™

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ’₯

Why most of people have pleasure?
 
Why most of people have pleasure?

Most of people πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Unachekesha wewe!

Sema watu wachache nyuma ya key board kwa msaada wa mitandao kule twita na jf

Wananchi 90% walimkubali mwamba na wanaumia sababu wamepoteza.... ila wanajuΓ  pia serikali aliyoiacha ipo imara zaidi ya jana
 
Most of people πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Unachekesha wewe!

Sema watu wachache nyuma ya key board kwa msaada wa mitandao kule twita na jf

Wananchi 90% walimkubali mwamba na wanaumia sababu wamepoteza.... ila wanajuΓ  pia serikali aliyoiacha ipo imara zaidi ya Numbers don't lie dsm Kuna watu Mil7+ lakin idadi ya watu Jana haikufika hata lakimoja ...!!!!

Most of people πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Unachekesha wewe!

Sema watu wachache nyuma ya key board kwa msaada wa mitandao kule twita na jf

Wananchi 90% walimkubali mwamba na wanaumia sababu wamepoteza.... ila wanajuΓ  pia serikali aliyoiacha ipo imara zaidi ya jana
Numbers don't lie dsm Kuna watu Mil7+ lakin idadi ya watu Jana haikufika hata lakimoja ...!!!!
 
Still naona hujui tofauti kati ya MAGUFULI na CCM

Ni vitu viwili tofauti

MAGUFULI kafa,keshaondoka,kaputiiii

Ambacho hatukitaki ni MAGUFULI na wala sio CCM....CCM ipo na inaendelea....We want that

Adui yetu ni MAGUFULI,ekshakufa,end of story!
Magufuli alikua CCM na CCM ndio ilimtuma Magufuli
Kikwete alimkata Lowasa aliyekua amekubuhu kwa ufisadi ili kukirudisha chama kwenye heshma yake
Na Magufuli alionekana bora na ameweza kudhihirisha ubora wake field.... chama kimeshika hatamu

Wacha tuendelee kumshukuru Mungu kwaajili ya uhai wa John Pombe Magufuli kwa taifa letu la tanzania.

Tena tunasema asante kwa kutuachia nchi yenye amani, chama makini na serikali imara chini rais Samia Suluhu Hassan

Yajayo yanafurahisha
 
Numbers don't lie dsm Kuna watu Mil7+ lakin idadi ya watu Jana haikufika hata lakimoja ...!!!!
Mwambie rais wako afe watafika elfu2😎😎😎😎
Maandamano tuu mlijificha uvunguniπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Mwambie rais wako afe watafika elfu2😎😎😎😎
Maandamano tuu mlijificha uvunguniπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
I get anxious
People are dying like flies
People were assassinated
People were dined their basic Right
People were taken by Unknown people
Increase of detention

Honestly Mungu kaonysh Ukubwa wake.
 
Back
Top Bottom