Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Labda nina tatizo la uelewa. Inakuwaje kuubeba mwili wa marehemu kuwa ni jambo la kihistoria??! Ninadhani ni kumbukumbu tu. Historia ni mama Samia kuwa Rais wa kwanza mwanamke!! Kama rubani huyu ndio wa kwanza wa kike, inawezeka kuwa historia!!

Utamaduni wa kukuza vitu vidogo umetujaa. Sio ajabu unaona jina la mkuu wa mkoa liko kwenye kibao cha ufunguzi wa matundu sita ya vyoo katika shule ya msingi!! Tutaanza kuwaza mambo makubwa lini??
Nisaidie kushangaa... Ujue haya mataga ni manyani kweli kweli...
 
Siku ukivuna tani nyingi kuliko kwenye shamba lako utastahili pongezi...
Ila kwa hivo unavoshika jembe na kuliima kwa mazoea, sahau
Hata kushika majembe ya kuvutwa na trekta ni kazi pia ya kujisifia
 
Hakika huyu dada historia itambeba.

Ameendesha ndege iliyo mbeba Jpm kutoka dsm to Dodoma, Dodoma to Zanzibar, Zanzibar to Mwanza.

.https://www.instagram.com/p/CMuszSDLbRL3cGlceGUOg_05Q5I5_Dmxz9HuD00/?igshid=vgd923hzhfsm.View attachment 1731957
Mbona Dodoma Zanzibar na Zanzibar Mwanza bado. Au mwenzetu uko ahead of the time.
 
Back
Top Bottom