Mwiba1
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,122
- 2,445
Tena unapaswa kuichakata KISAWASAWAWanachokiafuata kwake ni Status tu siunajua kuna hadhi yake kutafuna mototo wa Raisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena unapaswa kuichakata KISAWASAWAWanachokiafuata kwake ni Status tu siunajua kuna hadhi yake kutafuna mototo wa Raisi
Inatafutwa fursa.Unaambiwa wanaume wa Kenya wanapigana vikumbo kusaka penzi la Charlene Ruto binti wa Rais Ruto. Ama kweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu
View attachment 2569911
Gado mwenye huyo apo mkuu nadhani ndo unae mzungumziaAchana na waandishi wa habari, njoo kwenye uchoraji wa vibonzo jamaa wako mbali sana[emoji23][emoji23][emoji23].
Jamaa kwenye kuchora vibonzo vya wanasiasa hawajambo. Kuna jamaa anaitwa Gado kwenye kuchora vibonzo kwa Africa ni namba Moja. Kuna wakati aliwaikumbana na jaribio la kufukuzwa Kenya ilhali ni mkenya.
Kweli? Basi mi najua ni mkenya, kumbe sipo sahihi!Basi huyu jamaa kwenye vibonzo kipanya ajipange mara elfu🤣🤣Gado mwenye huyo apo mkuu nadhani ndo unae mzungumzia
Huyu jamaa jina lake halisi anaitwa Godfrey Mwampembwa
Huyu sio mkenya mkuu huyu ni Mtanzania kwakuzaliwaView attachment 2570736
Kweli mkuu nakubaliana na wwKweli? Basi mi najua ni mkenya, kumbe sipo sahihi!Basi huyu jamaa kwenye vibonzo kipanya ajipange mara elfu[emoji1787][emoji1787]
Haah Haah. Yaan nina mahaba na vibonzo balaah.Kweli mkuu nakubaliana na ww
Inaonekana wewe ni mfuatiliaji mzuri saana wa vibonzo mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]