Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Ngoma ipo. Ni halisi na kweli. ARV zona side effect zake, ni sawa. Huyu mbeki ni Psycho. Na sio Mwanasayansi
 
Ngoma ipo. Ni halisi na kweli. ARV zona side effect zake, ni sawa. Huyu mbeki ni Psycho. Na sio Mwanasayansi
Umeshawahi kujiuliza ni kwanini hadi leo hakuna kipimo cha kupima uwepo wa 'VIRUSI VYA UKIMWI'? Badala yake tunapima uwepo wa 'ANTI-BODIES' ambazo mtu huzalisha mwilini hata akiwa anaumwa T.B au Malaria?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…