Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Asavali mkuu, basi njoo piemu tusiamini wote....😩😩😩Hata me siamini kama kuna ukimwi.
Na kuanzia leo sitapima tenaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asavali mkuu, basi njoo piemu tusiamini wote....😩😩😩Hata me siamini kama kuna ukimwi.
Na kuanzia leo sitapima tenaa
😀😀😀😀😀😀😀Asavali mkuu, basi njoo piemu tusiamini wote....😩😩😩
Achana na hoja ya ARV ambayo imekuja juzi.Nani aliesema hakuna Ukimwi? Ndio maana nakuambia unadandia treni kwa mbele. Ukimwi upo, ila tunachojadili hapa ni uwezekano wa ARV kusababisha Ukimwi na si Retro-Virus per say
Kabla hujaconclude hvyo, jiulize haya maswali..Kwa mujibu wa Dr Biswaroop Roy, alipata kusema kwamba "VVU-UKIMWI, sio ugonjwa bali ni biashara ya hofu! "
Without education our life has got a lot of superstitions threats and worries, money is not an issueNaelewa, ila kuna maswali ya msingi nmeyauliza hujanijibu bado..
Ni hv mkuu, hatukatai unavovisema hapa, ila inavyooneka wew umejielekeza zaidi ktk tafiti zinazopinga uwepo wa HIV/AIDS ambazo kweli zina facts...
Sasa lazima mwsho wa siku utuambie solution ni nin.
Kwa bahati mbaya solution zako zote hazina majibu ya kutosha. Mfano nmekuuliza..
1. JE UNA USHAHIDI WA WATU WALIOGUNDULIKA NA UKIMWI HALAFU WAKAJITIBU HAYO MAGOMJWA NYEMELEZ KISHA WAKAPONA..??
2. NMEKUULIZA KAMA NGONO HAIENEZ UKIMW NN INAENEZA TENA KWA KASI SANA.. Mfano ni Botswana waliisha watu ila baada ya kudhibiti ngono zembe basi ikaisha kama sio kupungua. Mifano ni mingi kuwa toka watu waache ngono zembe ndio rate ys vifo na wagonjwa ikapungua.
3. NIMEKUULIZA KAMA UKIMW HAUPO NA HAUAMBUKIZW KWA NGONO..IWEJE MTU ANAYEKUFA KWA UKIMWI AKIANDIKA LIST YA ALIOLALA NAO BASI SIKU SI NYNG NAO WANAKUFA
4. NIMEKUULIZA KAMA VIRUS HAVIPO IWEJE WATU WEUS PEKEE NDIO TUNASHAMBULIWA KWA KASI NA UGONJWA HUU HATA KAMA UPO MAREKANI/ULAYA.. as so long you are black basi ukiambukizwa unakufa. Weupe hawaadhirik kama sis
5. NIMEKUULIZA UKISEMA ISHU NI KINGA ZETU KUWA ZINAKUWA NDOGO KISA NUTRITION , HIVI HII INAUKWELI GANI WAKATI MAREKANI BLACK-AMERCAN WENYE PESA ZAO BADO WANAKUFA NA HATA HAPA KWETU TUSINGEZIKA MATAJIRI WENYE HELA ZA KUTOSHA ZA KUNUNUA HVYO VYAKULA
Hahahaaaaaaa kama mimi vileHivyo kwa lugha nyepesi ni VVU hakuna.!
Ila UKIMWI upo.! Yaani unaweza patikana kwa mtu mwenye matatizo ya kiafya ikiwemo magonjwa na lishe.!
Ngumu kumeza_ ila kwenye asilimia hii hoja kwangu imechukua 75% na zilizobaki ni kwenye ile ya kumezeshwa.
Na nikienda kuhakiki kwa mtu mmoja ninayemfahamu kwa karibu akinihakikishia kuwa wanachowapima watu ni antbody na kirusi hakipo
Izo 25% nafuta kabisa.Na nakuwa balozi wa kutangaza HIV hakuna chini chini
Hayo maswali uliyoyauliza yameshajibiwa yote huko nyumaAchana na hoja ya ARV ambayo imekuja juzi.
Jibu hayo maswali niliyouluza
Leo hii mtu akiambiwa ana Hepatitis na akiambiwa ana Ukimwi,kipi kitampa stroke na kwanini?Kabla hujaconclude hvyo, jiulize haya maswali..
Hv, unajua kuwa Cancer haina dawa
Hv unajua Heipatites B,& C hazina dawa kabsa na zinauwa sana tu
Hv unajua Homa ya Ini haina dawa
Ila kwann watu wa magonjwa hayo hawafi kwa mawazo, hadi, ukimwi, ndio msingizie wanakufa kwa mawazo..??
Nitajie post no ngap zmejibu swali moja moja..Hayo maswali uliyoyauliza yameshajibiwa yote huko nyuma
Uzi ni mrefu, legeza ubongo na usome kwa nia ya kujifunza na si kupingaNitajie post no ngap zmejibu swali moja moja..
Kumbuka hii thread nimeisoma yote. Nifanyie reference ya hapo majibu kwa post no ngap na ngap
Hakuna aliyejib woote wamerukaruka kama ww nnavyokwambia unijib hapa halafu unambwelambwela.
Na kwann kama majbu yapo usiyaweke hapa.
ni kupeana kavu tu saiv..Hata me siamini kama kuna ukimwi.
Na kuanzia leo sitapima tenaa
Hapana.japo siamini ila me sio muhuni wa kuhangaika na kila mwanamume ninae mwona mbele yangu.in short NAJIHESHIMU SANAni kupeana kavu tu saiv..
Jibu kidg hoja zao basi sio kupingaYawezekana una miaka 18 hujui unachokisema